Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita

Mawakili wote wana ripoti nzima ya kesi toka polisi, hivyo maswali mengi yanatokana na hoja za polisi kwenye faili lao.
Hapo polisi kwenye hizo ripoti zao lazima waruke sehemu zinazowagusa ambayo ndo hayo maswali mashahidi wanajichanganya
 

Maelekezo ya msingi aliyopewa shahidi namba moko ni kuhakikisha hiyo mipango haifanikiwi lakini wakati huo huo kuona mtuhumiwa ana nia hiyo kweli? Kwa mfano ikitokea hao makomandoo Mbowe alitafutiwa na yule Mwanajeshi aliye toa taarifa na akaombwa kuendelea kutoa ushirikiano utasema nini tena? Kumbuka wako mashahidi 24.
 
Serikali hawatakubali tena kudhali lishwa Kwenye mitandao kiasi hiki najua wiki ijayo watazuia Kwa nguvu zote watu wasiripoti LIVE....
ni aibu kubwa Sana hii ni Bora hii kesi waachane nayo kuliko kujipaka kinyesi namna hii
 

Kuna vitu vinne:
1: Kuna maelezo kutoka kwenye andiko la hati ya mashitaka/polisi.
2: Kuna maelezo ya shahidi husika/mahakamani.
3: Maelezo ya shahidi mmoja kwenda mwingine kwenye tukio moja.
4: Kuna maelezo ya mshitakiwa kwa wakili wake kwa anachokifahamu.

Ndo maana utasikia, huku mlisema risasi moja huku tatu au tuliwakamata wanakunywa supu vs wanatembea.


Unatengeneza sausages.
 
Polisi imeamua kutengeneza Sinema ya kudharirisha Makomandoo wa JWTZ. Polisi huwa wanatafuta sana nafasi kuwadharirisha JW, wanafikia kutengeneza maelezo ambayo inafikia mahali mtu anajisemea kama Jeshi lenyewe ni hili basi nchi haipo salama.
Makomando wanakua arrested na Kingai bila ya msaada wa Jeshi!? Yaani Kingai na kikosi chake cha watu watano wanajipanga kwenda kukamata Makomandoo watatu wa Jeshi.
 
Wakili mjinga Sana hayo ya babake yatamsaidia nini mbowe kutolewa jera

USSR
 
Duu mkuu umenikumbusha Check Noris mtu mbaayaaaaa
 
[/QUOTE]
Wakili mjinga Sana hayo ya babake yatamsaidia nini mbowe kutolewa jera

USSR

Yanakuvuruga na kukupoteza mazima kama ni mwepesi ku-panic.
Wanasheria wanajua implication yake.
 
Hat
Unamnunulia supu na Mo energy [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata wewe Idawa ni Gaidi Tena mbaya sana.. huwezi kuleta Riwaya Tangu April 2015 Jpm hajawaza Kuwa Rais mpaka Leo katangulia Tena Muhula Wa Pili hujaimalizia... Sasa tukikutia Mikononi hakuna Cha Supu Wala Mo Energy... Ni pingu mikono na Miguu virungu vya Kutosha na Miti ya fagio.... We subiri utaona
 
Duh! Mzee Ngoja niingie maktaba.[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…