Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Acha kabisa mwanaume hawezi kuachana na mwanamke alienyooka kitabia akaoe mwingine, unapoona mwanamke ameachwa ujue hayupo vyema kitabia, unanikumbushia kuna jamaa yangu demu wake kila mara kwenye shoo demu anataja experience alivyokua na ma X wakeShenzi sana havijiulizi kwanin huyu mwanaume haja fanya maamuzi ya kuoa sababu ya tabia zao za kipumbavu na mda wote huo vinaona vimepotezewa kumbe mwanaume alikua anaskilizia labda kitajirejkebisha
vinalalamika lalamika tu pumbafu kabisa
Uko sahihi💯💯jidai huyo mwenye sijui kujali muda uone mapicha picha kama gardiola na kakaHuyu ndo mnampenda mnamuita 'mvulana mbaya' yaani bad boy
Huyo mwingine mnamuona zoba, ndo maana vijana wapole wanateseka kimapenzi
Alikua na Malaya tu hapaAcha kabisa mwanaume hawezi kuachana na mwanamke alienyooka kitabia akaoe mwingine, unapoona mwanamke ameachwa ujue hayupo vyema kitabia, unanikumbushia kuna jamaa yangu demu wake kila mara kwenye shoo demu anataja experience alivyokua na ma X wake
Wanawake wanapaswa kuwa na ufahamu wa kutambua ni mwanaume gani yuko tayari kwa ndoa na ni nani ambaye hana malengo ya ndoa .Hii itawawezesha kuwa na uamuzi bora kuhusu uhusiano wao na kuepuka kuumizwa.
Mwanaume Aliye Tayari kwa Ndoa:
1. Anaonyesha nia ya dhati: Mwanaume ambaye yuko tayari kwa ndoa atakuwa na mazungumzo ya wazi kuhusu mustakabali wa uhusiano wenu. Atasema wazi kuhusu ndoa, familia, na malengo yake ya baadaye. Hatakuwa na aibu kusema anahitaji mpenzi ambaye atakuwa mwenzi wake wa maisha.
2. Ataheshimu muda wako: Ataonyesha kuheshimu muda wako na kukupa kipaumbele. Hatachelewa bila sababu, na atakuwa na mpango wa kuwa na wewe kwa muda mrefu.
3. Anaonyesha utegemezi wa kihemko: Mwanaume ambaye yuko tayari kwa ndoa atakuwa tayari kuwekeza kihemko na kufanya juhudi za kuwa na uhusiano mzuri. Hatakuwa na tabia ya kujificha hisia zake na atakuwa wazi kuhusu kile anachohisi.
4. Husimama na wewe katika nyakati ngumu: Atakuwa karibu yako wakati wa shida, sio tu wakati mambo ni rahisi. Atajitolea kusaidia kutatua matatizo yenu pamoja na wewe.
Mwanaume Ambaye hana nia ya kukuoa:
1. Hana mazungumzo ya dhati kuhusu ndoa: Mwanaume anayetaka kukuchezea atakuwa na mazungumzo ya kuepuka kuhusu ndoa au maisha ya baadaye. Ataweza kusema mambo ya jumla kama “Tutaona baadaye” au “Si sasa hivi” bila kuweka wazi malengo yake.
2. Hatajali muda wako: Atakuwa na tabia ya kukufanya uhisi kama una thamani kidogo. Ataweza kuondoka na kurudi katika maisha yako bila kujali na hataweza kuweka mipango thabiti.
3. Anaweza kuwa na hofu ya kuonyesha hisia: Mwanaume anayekuchezea atakuwa na tabia ya kujificha hisia zake au hata kusema maneno yasiyo na maana kuhusu uhusiano wenu. Hatakuwa wazi kuhusu anachohisi.
4. Hataonyesha ushirikiano wa dhati: Ataweza kukupa ahadi za kidogo na kisha kuzitelekeza. Mwanaume anayetaka kukuchezea hawezi kuwa mstari wa mbele wakati wa matatizo.
Wanawake tunapaswa kuwa na macho makini ili kutambua ishara hizi mapema. Kujua ni nani anayejiandaa kwa ndoa na ni nani ambaye hana nia , itasaidia kujiepusha na maumivu ya kuingia katika uhusiano usio na faida na kupata mpenzi ambaye anajali na kuwa na malengo ya pamoja .
Hizi ni research za Google Tu But kwenye uhalisia mambo sio hivyo
Kama wewe ni mwanamke unatakiwa umfanye mwanaume wako akuoe Kwa kumuonesha vitu vya tofauti na wanawake wengine
Sasa wewe tangu asubuh unaomba ela tuuuuuuuuuuuu,
Maongezi yako wewe ni elaaaaaaaa mwanaume
Si kila mwanamke anaomba pesa muda wote. Mwanaume makini anayetafuta mke haangalii tu vitu vya tofauti, bali pia maadili kama heshima, upendo, na uelewano. Kama mwanaume anahitaji ‘kushawishiwa’ ndio afikirie ndoa, basi huenda bado hajakomaa kwa ajili ya kujenga ndoa ya kweli.Hizi ni research za Google Tu But kwenye uhalisia mambo sio hivyo
Kama wewe ni mwanamke unatakiwa umfanye mwanaume wako akuoe Kwa kumuonesha vitu vya tofauti na wanawake wengine
Sasa wewe tangu asubuh unaomba ela tuuuuuuuuuuuu,
Maongezi yako wewe ni elaaaaaaaa mwanaume gani atakuoa?
Kama hujawahi kuona au kupata hii experience, haimaanishi haipo. Wapo wanaojua kupenda na kuthamini wenzao!Haipo hivo
Si kila mwanamke anaomba pesa muda wote. Mwanaume makini anayetafuta mke haangalii tu vitu vya tofauti, bali pia maadili kama heshima, upendo, na uelewano. Kama mwanaume anahitaji ‘kushawishiwa’ ndio afikirie ndoa, basi huenda bado hajakomaa kwa ajili ya kujenga ndoa ya kweli.
Hakuna ready-made woman au ready- man
Hizo tabia sijui vitu gani ni vigezo Tu ambavyo sio wanaume wengi tunafata
Mwanamke anabadilishwa na kuwa wife material, hata mwanaume anaweza kubadilishwa na mwanamke wake akawa husband
I know someone ambae amemuoa changudoa ambae alimnunua buguruni but kambadilisha na sasa ni bonge la wife
Ishu ya mwanamke kuomba ela it's big deal because mpaka mwanaume anakutongoza anajua gharama zako zitakuwa ni sh ngapi
Na mpaka anakufata means anajua anakumudu vizuri Tu
But ishu ni ela unaombaje?
Hata wewe mwanamke unajua kabisa huyu jamaa anataka sex but nikikwambia Tu straight let's go and JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala I'm very sure uwezi kwenda
Hakuna ready-made woman au ready- man
Hizo tabia sijui vitu gani ni vigezo Tu ambavyo sio wanaume wengi tunafata
Mwanamke anabadilishwa na kuwa wife material, hata mwanaume anaweza kubadilishwa na mwanamke wake akawa husband
I know someone ambae amemuoa changudoa ambae alimnunua buguruni but kambadilisha na sasa ni bonge la wife
Ishu ya mwanamke kuomba ela it's big deal because mpaka mwanaume anakutongoza anajua gharama zako zitakuwa ni sh ngapi
Na mpaka anakufata means anajua anakumudu vizuri Tu
But ishu ni ela unaombaje?
Hata wewe mwanamke unajua kabisa huyu jamaa anataka sex but nikikwambia Tu straight let's go and JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala I'm very sure uwezi kwenda kufanya
Upo wapi?Hakuna ready-made woman au ready- man
Hizo tabia sijui vitu gani ni vigezo Tu ambavyo sio wanaume wengi tunafata
Mwanamke anabadilishwa na kuwa wife material, hata mwanaume anaweza kubadilishwa na mwanamke wake akawa husband
I know someone ambae amemuoa changudoa ambae alimnunua buguruni but kambadilisha na sasa ni bonge la wife
Ishu ya mwanamke kuomba ela it's big deal because mpaka mwanaume anakutongoza anajua gharama zako zitakuwa ni sh ngapi
Na mpaka anakufata means anajua anakumudu vizuri Tu
But ishu ni ela unaombaje?
Hata wewe mwanamke unajua kabisa huyu jamaa anataka sex but nikikwambia Tu straight let's go and JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala I'm very sure uwezi kwenda kufanya