Jinsi Wanawake wanavyoweza kutambua Mwanaume ambaye ana malengo ya ndoa na Mwanaume ambaye hana mpango wa kukuoa

Shenzi sana havijiulizi kwanin huyu mwanaume haja fanya maamuzi ya kuoa sababu ya tabia zao za kipumbavu na mda wote huo vinaona vimepotezewa kumbe mwanaume alikua anaskilizia labda kitajirejkebisha

vinalalamika lalamika tu pumbafu kabisa
Acha kabisa mwanaume hawezi kuachana na mwanamke alienyooka kitabia akaoe mwingine, unapoona mwanamke ameachwa ujue hayupo vyema kitabia, unanikumbushia kuna jamaa yangu demu wake kila mara kwenye shoo demu anataja experience alivyokua na ma X wake
 
Ushauri ni mzuri sana sema wanakuja kwa njia hizo zote lakini bado wengi wao ni matapeli
 
una uhakika au unataka kutuingiza mkenge wenzio
 
Acha kabisa mwanaume hawezi kuachana na mwanamke alienyooka kitabia akaoe mwingine, unapoona mwanamke ameachwa ujue hayupo vyema kitabia, unanikumbushia kuna jamaa yangu demu wake kila mara kwenye shoo demu anataja experience alivyokua na ma X wake
Alikua na Malaya tu hapa

+vinaomba hela kishenzi
 


Hizi ni research za Google Tu But kwenye uhalisia mambo sio hivyo

Kama wewe ni mwanamke unatakiwa umfanye mwanaume wako akuoe Kwa kumuonesha vitu vya tofauti na wanawake wengine

Sasa wewe tangu asubuh unaomba ela tuuuuuuuuuuuu,

Maongezi yako wewe ni elaaaaaaaa mwanaume gani atakuoa?
 
Si kila mwanamke anaomba pesa muda wote. Mwanaume makini anayetafuta mke haangalii tu vitu vya tofauti, bali pia maadili kama heshima, upendo, na uelewano. Kama mwanaume anahitaji ‘kushawishiwa’ ndio afikirie ndoa, basi huenda bado hajakomaa kwa ajili ya kujenga ndoa ya kweli.
 

Hakuna ready-made woman au ready- man

Hizo tabia sijui vitu gani ni vigezo Tu ambavyo sio wanaume wengi tunafata

Mwanamke anabadilishwa na kuwa wife material, hata mwanaume anaweza kubadilishwa na mwanamke wake akawa husband

I know someone ambae amemuoa changudoa ambae alimnunua buguruni but kambadilisha na sasa ni bonge la wife

Ishu ya mwanamke kuomba ela it's big deal because mpaka mwanaume anakutongoza anajua gharama zako zitakuwa ni sh ngapi

Na mpaka anakufata means anajua anakumudu vizuri Tu

But ishu ni ela unaombaje?

Hata wewe mwanamke unajua kabisa huyu jamaa anataka sex but nikikwambia Tu straight let's go and https://jamii.app/JFUserGuide I'm very sure uwezi kwenda kufanya
 


Upo wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…