Hata ungekuwa wewe ungewapa vyeo hawa ?makada wengi wa ccm vyeo vya t-shirt, kofia na viberiti ndiyo size yao nafasi za uongozi wanasubiriwa wapinzani wahamie ndo wapewe hii inadhirisha vijana wengi wa ccm kuongoza hawawezi kwani haiwezekani wageni wachukue vyeo tena vikubwa na wao wapo kimya hadi leo
Peleka hoja za kipuuzi huko.Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.
Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.
Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.
Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.
Majuto ni mjukuu.
Jibu ni simpo, "wamenunuliwa" na mojawapo ya terms ni kuwa watateuliwa tena kwa wadhifa ule ule! Wangekuwa hawapitishwi kugombea tena wala nisingeshawishika kusema wananunuliwa. Kama sio manunuzi ni nini?Wana JF
Sipati picha, wanachama wa CCM wananuna mtaani balaa, kati ya vitu ambavyo vimewakera ni pamoja na kwenda kinyume na katiba ya chama ambayo inasema kila mwanachama anayejiunga na chama cha mapinduzi lazima awe amekaa kwa kipindi flan ndipo atagombe kwenye nafasi za uongozi. Tunacho shuhudia hapa ni kuona walio kihama chama ndio wanao rudishwa kwenye maeneo yale yale, mpaka sasa wanachama wa ccm wanataka kupasuka maana wapo waliokuwa wanamendea hizo nafasi lakini hawawezi kupata tena, sasa ni dhahiri kuwa uchaguzi wa madiwani, wenyeviti na wabunge ndani ya chama kabla ya kuwasilisha tume ya uchaguzi utakuwa ni wa maamuzi na matakwa ya viongozi kwa kuamua nani atakae pewa au kuhidhinishwa agombee.
Hata ningekuwa mimi nisingeteuwa hizi takataja, hapo hakuna tofauti na maiti.Hata ungekuwa wewe ungewapa vyeo hawa ?View attachment 842583
Kweli tuangalie nchiKifupi vyama tusivisujudu saana maana havina mdhamana, tuangalie nchi
......Hapa Iringa aliyekuwa diwani kupitia CHADEMA Baraka kimata ndiye amependekezwa kuwania tena kiti hicho kupitia CCM huku wana CCM damu wakigeuzwa wapiga debe kwa ujira wa T-shirt na kofia!
Halafu CCM hawana shukrani kabisa kwa wafia chama wao!!
Nilipopanda Dreamliner ndo nimeelewa CCM wanamaanisha aisee. Tofaut na awamu zilizopita za kununua Presidential jet awamu hii wamefufua shirikakabisa mkuu
Jikite kwenye mada mkuuSio kila mpigania chama anatafuta cheo. Hivi wewe unae kesha humu jf kupigania chadema na wewe unasubiri cheo huko?
Jikite kwenye mada mkuu
kabisa mkuuWord!
kabisa mkuu
Maneno yako yametimia mkuu inabidi tukuite mtabiri maana leo hii tena Mtatiro kesha pewa eneo lake la kujidaiHili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.
Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.
Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Julius Mtatiro , Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.
Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.
Majuto ni mjukuu.
Yote kheri maana hakuna geni chini ya juammmh!
Lakini si hata CDM nako EDO alipata nafasi ya kugombea u presidia matokeo yake Slaa akatoswa?
Au hata hiyo nafasi ya Sumaye Pwani kwani hakuna watu wa CDM waliokitumikia muda mrefu wangefaa?