wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,455
- 4,395
Tuendelee au tusiendelee ?
Tuendelee...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuendelee au tusiendelee ?
Yani kazidiwa hadi na chopa wa mchopangaSijamuona Wema, sijui huyu dada anafeli wapi wenzake wote wanagawiwa vyeo.
Akikujibu niambieNauliza tu hivi lowasa aligombea urais 2015 kwa chama cha chadema?
Sasa Pascal Mayalla na Lijuakali nani ameitetea ccmRBC unataka wateuliwe wote wanaokipigania chama ?!!
Nafasi hazitoshi.....
#KaziIendelee
Una ushahidi wowote?Lowasa alishinda urais ingawa hakutangazwa.
the end justified the means!
Upo ila anao kikweteUna ushahidi wowote?
RBC nakukumbusha kuwa tusisahau pia nafasi za uDC ni kwa ajili ya siasa....ikumbukwe DC ni mjumbe wa kamati ya siasa wilaya....kwa kipindi hiki anachomalizia mh.Rais SSH anakwenda pia kujiimarisha kisiasa....ni lazima awe na watu anaoona watamfaa kwa KIPINDI HICHO.....Sasa Pascal Mayalla na Lijuakali nani ameitetea ccm
Mtakoma nyie nyumbu wenye roho mbaya za utabili wa kuombea watu mabaya,Nje ya mada
sasa watoa mapovu wa uvccm na mataga mnawaweka wapi jamani ?RBC nakukumbusha kuwa tusisahau pia nafasi za uDC ni kwa ajili ya siasa....ikumbukwe DC ni mjumbe wa kamati ya siasa wilaya....kwa kipindi hiki anachomalizia mh.Rais SSH anakwenda pia kujiimarisha kisiasa....ni lazima awe na watu anaoona watamfaa kwa KIPINDI HICHO.....
Tusisahau teuzi hizi pia ni kwa ajili ya "nyakati" na "majira".....
Ninakumbuka watu Kama akina Hassan Ngoma walianza kuwa maDAS....leo ni DC....so na wengine pia ninaamini wataanzia HAPO kabla ya kupanda juu baada ya UCHAGUZI WA 2025 panapo afya na uhai aaaamin aaaamin!!
#KaziInaendelea
Kijana wetu huyo tumemlea wenyeweMtakoma nyie nyumbu wenye roho mbaya za utabili wa kuombea watu mabaya,
mlimtabilia mabaya Lijualikali kuwa atateseka sasa muanze kumuheshimu, na mjue tabili zenu hazina malipo kwa mungu.
Ina depend on mahakama itakayokuwepoUna ushahidi wowote?