mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kuna watu bado wanaiona CHADEMA lulu hata baada ya kuusaliti UMMA 2015 kwa kukubali dili la maCCM?Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.
Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.
Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Julius Mtatiro , Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.
Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.
Majuto ni mjukuu.
Mkuu ashaona huko ccm kna watu wenye uwezoBavicha bana! Sasa hii inaisaidiaje chadema?
Hiki ndiyo kinatuumiza sana ndani ya ccm. Malipo ya jasho letu ndiyo yawe kuwaachia majimbo walioasi vyama vyao??? Hii ni sawa na kupata mgeni halafu wenyeji mnamuachia chumba na kuamua kulala sebuleni.
Basi watakuwa wabinafsi kuliko chochoteMalalamiko yanaletwa na wanaccm wenyewe
Lini wanaccm wameacha ubinafsi tangu kuzaliwa kwake?Basi watakuwa wabinafsi kuliko chochote
Nje ya madaMbona kuna watu bado wanaiona CHADEMA lulu hata baada ya kuusaliti UMMA 2015 kwa kukubali dili la maCCM?
Na waliopiga lile dili ndo leo mmoja kapewa uwenyekiti na mwenzake umakamu mwenyekiti.
Need we say more?
Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.
Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.
Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Julius Mtatiro , Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.
Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.
Majuto ni mjukuu.
Kama uko ccm kutafuta cheo au uteuzi utalia tu. Wengine tunapigania itikadi tu. Ccm ikitetetereka tunaiponda bila huruma. Msimamo wa magufuli ndio umetukosha na huenda tukaanza kuiponda ccm ya samia. Kwa sasa tunaisanifu kuona kama inafuata njia ya kimapinduzi au inatekwa na oppurtunists wapenda ukuu na wapinga maendeleo.Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.
Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.
Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Julius Mtatiro , Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.
Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.
Majuto ni mjukuu.
Na bado !Kama
Kama uko ccm kutafuta cheo au uteuzi utalia tu. Wengine tunapigania itikadi tu. Ccm ikitetetereka tunaiponda bila huruma. Msimamo wa magufuli ndio umetukosha na huenda tukaanza kuiponda ccm ya samia. Kwa sasa tunaisanifu kuona kama inafuata njia ya kimapinduzi au inatekwa na oppurtunists wapenda ukuu na wapinga maendeleo.
RBC unataka wateuliwe wote wanaokipigania chama ?!!Na bado !
Sijui kama wamekuelewa. Akili zao ni duni sana.Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.
Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.
Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Julius Mtatiro , Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.
Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.
Majuto ni mjukuu.
😲Sijui kama wamekuelewa. Akili zao ni duni sana.
Wacha wivu. Maendeleo hayana vyama. Kama na wewe unatamani hizo teuzi hama kutokà hiyo sacos!Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.
Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.
Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Julius Mtatiro , Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.
Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.
Majuto ni mjukuu.
Ungetoa tahadhari kwa Mbowe aliyewapokea na kuwapa nafasi za uongozi akina Nyalandu,Mzee Lowassa, Sumaye n.kSi taarifa pekee , ni tahadhari pia .
Sijamuona Wema, sijui huyu dada anafeli wapi wenzake wote wanagawiwa vyeo.😲
Wanaokitetea chama wako wengi ...sasa wateuliwe wote jameni ?!!!
Ikumbukwe kila anayeteuliwa ni pia kwa sababu ya ushawishi alionao katika nafasi/kundi/tasnia fulani kipindi mahsusi....
Let say Kihongosi ni msanii pia ila labda wameona wamteua Niki Wa Pili kwa "kipindi hiki"......
Mfano Chopa Mchopanga naye ndani....huyo ni msanii pia.....
Teuzi zinagusa kila "HAIBA".....