wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Hao Damu Damu ni Wezi SanaTena Magufuli kamjibu kwa kujiamini kuwa CCM damu hamna kitu ndio maanake anatafuta usajili kutoka Vyama pinzani.
Magufuli sio CCM ile tulioizoea,wala hana lugha ya kubembeleza hata kidogo.
Pia yaonekana anajipanga kusajiri hata daraja la pili na la tatu kuliko kuchukuwa CCM damu damu.
Hatuna mpango nao wameibia chama sanaa
Unakumbuka Mali za chama walivo kuwa wamejimilikisha wapumbavu hao
Bora wapinzani kuliko hao Wezi