Jinsi "wasaliti " wanavyoula CCM, huku wafia chama wakitoswa

Jinsi "wasaliti " wanavyoula CCM, huku wafia chama wakitoswa

Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.

Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.

Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Julius Mtatiro , Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.

Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.

Majuto ni mjukuu.
KAMANDA HAPO KWENYE " THE TIME IS NOW" INGE TAKIWA IWE "TIME IS NOW" LOL
 
Tuendelee.....na mimi najitoa na kuhamia chama cha wanyonge aka ccm kwa sharti lazima niwe mgombea wa ubunge.

Kiinua mgongo changu chote na mshahara uliobakia lazima wanipe wote
BARIKIWA SANA WEWE NI AKILI KUBWA
 
Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.

Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.

Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Julius Mtatiro , Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.

Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.

Majuto ni mjukuu.
Kama wapo walipo kutokana na kupigania chama, fikiria wakijinyofoa kwenye chama watakuwa na hali gani with reference kwa wale PMs wawili wa kutokea Northern Zone.
 
Tuendelee.....na mimi najitoa na kuhamia chama cha wanyonge aka ccm kwa sharti lazima niwe mgombea wa ubunge.

Kiinua mgongo changu chote na mshahara uliobakia lazima wanipe wote
Nafasi za ubunge zinauzwa na polepole , anao wagombea wake mfukoni
 
Kama wapo walipo kutokana na kupigania chama, fikiria wakijinyofoa kwenye chama watakuwa na hali gani with reference kwa
wale PMs wawili wa kutokea Northern Zone.
Hakuna ushahidi wowote wa Lowassa na Sumaye kuwahi kuipambania ccm , masikini ndio wanaohangaika
 
Hawa Ni wageni,lazima tuwapokee vizuri ili wajisikie wako nyumbani,sisi ccm Ni wakalimu Sana na tunsonyesha kwa vitendo kwa kuwaenzi Hawa mashujaa waliojitoa upinzani na kurejea kuja kuunga mkono juhudi za kuleta mahendeleo.
 
Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.

Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.

Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Julius Mtatiro , Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.

Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.

Majuto ni mjukuu.
Jikite kwenye saccos yenu wewe inazidi potea. Achana na sisiemu.
 
Makamba alijidai kusimamia ushindi wa CCM 2015 lakini leo Waitara anaonekana wa Maana kuliko yeye....

Cc Mwigulu Nchemba
Tafuteni njia nyingine ya kuomba huruma ya uvccm. Ni wazi bavicha mmeshindwa sasa mnaomba huruma eti kuwataka sisiemu wengine waone wamewekwa kando waungane nanyi?
sahauni, hiyo meli yenu iliyoyoboka muichomelee wenyewe.
 
Back
Top Bottom