Jinsi "wasaliti " wanavyoula CCM, huku wafia chama wakitoswa

Jinsi "wasaliti " wanavyoula CCM, huku wafia chama wakitoswa

Na wengi walioipigania CCM ikatokea wakakosea mahali hawajawahi kusaidiwa na chama hata pale walipojirekebisha.
Ila kwa tabia hiyo ndiyo wanapandikiza chuki na hasira kubwa kati ya wafia chama na wageni yaani wanawaita mamluki
 
Ila kwa tabia hiyo ndiyo wanapandikiza chuki na hasira kubwa kati ya wafia chama na wageni yaani wanawaita mamluki
Wafia chama kama wamerogwa vile
tapatalk_1560828941453.jpeg
 
Hill bandiko lina ukweli.Wafia chama ,vijana wa Lumumba wataishia tu kupewa buku7 !
 
Jiwe awe na Huruma na lemutuz ,mbimbo,ampe hata cheo cha kuzuga kwa huu mwaka uliobaki hadi 2020,manake jiwe anaweza asirudi!
 
N
mmmh!
Lakini si hata CDM nako EDO alipata nafasi ya kugombea u presidia matokeo yake Slaa akatoswa?
Au hata hiyo nafasi ya Sumaye Pwani kwani hakuna watu wa CDM waliokitumikia muda mrefu wangefaa?
ndugu acha ujinga. watu tunakufa na gwanda zetu za kijani.. afu wewe unaongea hivyo kirahisi!? 2015 kuna baadhi ya maeneo ili tupite salama tulivaa gwanda za CDM. Leo anaula aliyetutukana hadharani!?
 
hii ni ngumi ya taya,knockout
mmmh!
Lakini si hata CDM nako EDO alipata nafasi ya kugombea u presidia matokeo yake Slaa akatoswa?
Au hata hiyo nafasi ya Sumaye Pwani kwani hakuna watu wa CDM waliokitumikia muda mrefu wangefaa?
 
Nimesikia usajili wa makanisa unapitiwa upya nafikiri sababu Kuu ni hili la jiwe kutokubali kukosolewa!
 
Kwa ufupi hii inaonyesha ccm haina vijana vichwa wanaoweza kuisaidia chama na serikali wote ni wapiga debe wa vijiweni na ndiyo maana chama ikitaka kiongozi makini lazima imchukue kutoka upinzani chukulia uchaguzi mdogo monduli,siha,ukonga,babati majimbo mengine walichukuliwa wagombea kutoka upinzani kama haitoshi wengine ni wakurugezi ma DC wametoka upinzani mtatiro,katambi,kafulila aka tumbili na wengine wengi vijana wenye vichwa ndiyo watapewa nafasi kuisaidia nchi na siyo wanaopiga makele kwenye vijiwe vya wakeretwa au vijiwe vya kahawa
 
Maskini ya mungu kina mtatilo wanaula huko akina jingalao ,Elitwege ,cocichanel,Isis ,sisis ,Lucifer original wakisota mtaani bila naona sisia Isis ,Lucifer original wametundika daruga maskini their vanished .
 
Maskini ya mungu kina mtatilo wanaula huko akina jingalao ,Elitwege ,cocichanel,Isis ,sisis ,Lucifer original wakisota mtaani bila naona sisia Isis ,Lucifer original wametundika daruga maskini their vanished .
umenitoa machozi mkuu
 
Back
Top Bottom