Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwa speed hii ya Jiwe kuwapa ulaji wasaliti basi tutegemee kundi kubwa la wasaliti kujitokeza na kwenda kuunga mkono juhudiSi taarifa pekee , ni tahadhari pia .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa speed hii ya Jiwe kuwapa ulaji wasaliti basi tutegemee kundi kubwa la wasaliti kujitokeza na kwenda kuunga mkono juhudiSi taarifa pekee , ni tahadhari pia .
Mkuu mwenye ccm ni mmoja tu kwa sasaWatatoka upupu wakisubiri vyeo,kumbe wenye ccm wanamajina ya wanaopaswa kuwa na vyeo.
Ndani ya ccm ukiwa mkosoaji lazima utupiwe viragoMfano mzuri nape na kinana hawa walikuwa wafia chama wazuri tuu lkn saiv wamepotezwa
Kupanga ni kuchagua mkuu kaza buti uwenda ukaupata udcCCM nitakufa nayo! Tumeipenda wenyewe!
Ila kwa tabia hiyo ndiyo wanapandikiza chuki na hasira kubwa kati ya wafia chama na wageni yaani wanawaita mamlukiNa wengi walioipigania CCM ikatokea wakakosea mahali hawajawahi kusaidiwa na chama hata pale walipojirekebisha.
Wafia chama kama wamerogwa vileIla kwa tabia hiyo ndiyo wanapandikiza chuki na hasira kubwa kati ya wafia chama na wageni yaani wanawaita mamluki
Hii picha imenitoa machozi .Wafia chama kama wamerogwa vileView attachment 1153248
Tena mchawi wao aliyewaloga amefariki!Wafia chama kama wamerogwa vileView attachment 1153248
hatubahatishi mkuuHill bandiko lina ukweli.Wafia chama ,vijana wa Lumumba wataishia tu kupewa buku7 !
ndugu acha ujinga. watu tunakufa na gwanda zetu za kijani.. afu wewe unaongea hivyo kirahisi!? 2015 kuna baadhi ya maeneo ili tupite salama tulivaa gwanda za CDM. Leo anaula aliyetutukana hadharani!?mmmh!
Lakini si hata CDM nako EDO alipata nafasi ya kugombea u presidia matokeo yake Slaa akatoswa?
Au hata hiyo nafasi ya Sumaye Pwani kwani hakuna watu wa CDM waliokitumikia muda mrefu wangefaa?
mmmh!
Lakini si hata CDM nako EDO alipata nafasi ya kugombea u presidia matokeo yake Slaa akatoswa?
Au hata hiyo nafasi ya Sumaye Pwani kwani hakuna watu wa CDM waliokitumikia muda mrefu wangefaa?
hakuna kitu kama hichohii ni ngumi ya taya,knockout
hana uwezo huoNisome nje ya mistari .
umenitoa machozi mkuuMaskini ya mungu kina mtatilo wanaula huko akina jingalao ,Elitwege ,cocichanel,Isis ,sisis ,Lucifer original wakisota mtaani bila naona sisia Isis ,Lucifer original wametundika daruga maskini their vanished .