Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
- Thread starter
- #81
Sahihi kabisaFact
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaFact
Nimekuelewa mkuu.MSHUKURU SANA MUNGU WAKO KAMA WALIKUTUMIA MITUMBA VAA UPUMNZIKE LAKINI NAKUONYA USIRUDIE TENA HIYO BIASHARA.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawa sawa mkuuUsirudie tena.Koma kabisa kutumia hela watu usiowajua.
Imeeleweka
Daaa mzee hatari sana.Niliwahi nunua laptop kwa njia hiyo huko dar nikatuma cash kwa mhusika, akanitumia mzigo vizuri tu.
Mara ya pili niko dar nikampigia simu ili aniuzie laptop nyingine, akaniambia njoo unikute sehemu x ndipo mzigo ulipo.
Baada ya kufika kwake, swali la kwanza aliloniuliza lilikuwa, " ULIPATA WAPI UJASIRI WA KUNITUMIA FEDHA ZOTE ZILE KIPINDI KILE WAKATI HAUNIFAHAMU?.
Nilishikwa na bumbuwazi kidogo, baada ya hapo tukafanya biashara nikanunua mzigo nikaondoka, lakini tangu kipindi hicho sijawahi fikiri kufanya biashara kichaa tena ya kuagiza mzigo kwa mtu asiyejulikana.