Jinsi watu wanavyotongozana JF

Katika harakati za kuifanya mitandao ya kijamii kuchukua sehemu kubwa ya maisha, ndivyo na uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unavyozidi kushuka
 
Ningekua nikinywa maji nakuona kwenye glass kwa mahaba ningekua nayo
Wewe huwa huna ubinafsi kwenye kutoa like, ingekuwa tofauti ningehisi kitu, ila najua damu yangu hii ni chafu haipendeki [emoji16]
 
Wewe huwa huna ubinafsi kwenye kutoa like, ingekuwa tofauti ningehisi kitu, ila najua damu yangu hii ni chafu haipendeki [emoji16]
Hahahahaa. Mimi namwaga like Sana tu. Sema naangalia kilichoandikwa kwanza
 
Except to married couples au wale inajulikana wazi kuwa wapo ktk ndoa muwaache....spidi ya mauaji, kujinyonga na kuachana imeongezeka kwa kiasi ambcho hakujawai kuonekana tangu Uhuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…