Jinsi wenye mafanikio wanavyotudanganya

Huu ndio ukweli..
 
changamoto kwa wasomi wengi ni kubadilisha shule/elimu alopata kuwa PESAaaaaaa

walioweza jinasua kwenye matumizi ya nadharia (application of theories) kwenye uhalisia (real life) wamefanikiwa sana
 
Mengi alianza na Ball point pen na mtaji wa kwanza ulikuwa Idea wapili negotiation na wazalishaji pen walivyokubakiana wa import mzigo faida ikisomeka awawsilishie pesa.
Jidanganye tu,ulitaka Mengi akiambie mikopo aliyo default?
 
Mengi alianza na Ball point pen na mtaji wa kwanza ulikuwa Idea wapili negotiation na wazalishaji pen walivyokubakiana wa import mzigo faida ikisomeka awawsilishie pesa.
Unajua hapo wkt Mengi anaanza biashara alikua ni Managing Patner wa Cooper Brothers kwa sasa ikijulikana kama PriceWaterHouseCoopers- PWC?

Usidhani alikua Maskini hata kidogo alikua tajiri tu kwa mazingira ya kibongo bongo,Mengi exposure huko Ulaya ilimsaidia sana,kufanya Auditing kwny Mashirika ya Umma+Ma Co. makubwa ya private kulimfanya akajua sana jinsi yanavyo operate na akatake advantage+Uthubutu wake.

All in all mafanikio ni mchanganyiko wa factors mbalimbali.

Na-declare kuna watu nimewaona wameanzia chini kabisaa na sasa ni matajiri wa kiukweli ukweli,chochote kinawezekana tu.
 
Ki-ukweli kabisa sijawahi kuona mtu yoyote yule aliyefanya kazi serikalini nikimaanisha halmshauri/jiji/mashirika ya umma then akawa tajiri bila kuiba hela ya serikali hayupo hata mmoja.

Wote wezi wezi walidokoa sehemu wakaanzisha vimiradi vyao wakatoboa lkn story za walidunduliza sijui nini hakuna kitu kama hicho.
 
Trueeeee
 
Uzuri dangote hajawahi kuficha story za utajiri wa babu zake.

Hata mtaji wake hua anasema waziwazi alipewa na hao hao ndugu zake miaka hio,na anasemaga wmtaji aliopewa kipindi ni pesa ambayo mtu angeweza kununua mercedes benz mpya 10 kwa miaka hio.

So hapo utajiongeza na kujua alipewa mtaji heavy wa kuanza biashara ya Cement za jumla jumla.
 
Ndio kona kona na ujanja ujanja! Sio kwa Africa tu. Ni duniani kote kwa ujumla..lazima ucheze na system ili ufike juu. Hakuna bilionare yoyote duniani ambae hajacheza na system.
Hata bill gates/warren buffet wana makando kando ya kufa mtu.

Trump ndo hata usimseme amegoma kutoa tax returns zake za miaka 10 iliyopita mpk Judge amelazimisha azitoe zifanyiwe uchunguzi.
 
Na hapo huwezi kukuta panatankwa mahali popote kwa kuwa ndio maisha ya mtu yalipo, hiyo ndio siri. (Ya mtu mmoja)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…