Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Huu ndio ukweli..
Huwezi kuwa bilionea kwa kuanza na mtaji au biashara ya kawaida (ndogo) and then eti ndiyo hiyo hiyo ikukuze mpaka uwe bilionea.
Lazima, ukwapue sehemu au ufanye janja fulani ili ukue zaidi.
Ndiyo maana biashara haramu zipo kwa ajili hiyo.
Sasa wewe komaa na laki mbili kama mtaji wako huku ukitegemea kuwa bilionea, haitatokea.