JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
-
- #81
Pole aiseeee....Mimi Subaru yangu iliingia maji kwenye mafuriko ECU ilinicost kati ya laki tatu hadi sita sijumbuki..
Shukrani mkuu...Uaminifu ni moja ya siri ya mafanikio katika maisha,
Big up Mkuu.
Mara nyingi watu likitokea tatizo baada ya kuchukua gari kutoka kwa watu aliowapa, atawarudishia watu haohao....Ni lazima ukaushie kwao?
Unapeleka gari kwa mtu haina tatizo unataka tu akukaushie sababu maji yameingia ndani.Lengo lake kukata huo waya ni nini?
Hahaha umeamua urahisishe mambo. Watu wana vichwa vigumu hawajaelewa wanaendelea kuuliza tu.Ni simple logic tu mkuu. Kama jamaa angekubali kulipa hiyo laki na nusu, jamaa wangeingia tu wakaunganisha huo waya chap then wakala hiyo hela.
In short, wamelitengeneza wao hilo tatizo then wakamuongopea mmiliki wa gari kua tatizo ni kitu kingine kikubwa. Tatizo lilikua waya walioukata makusudi, sio oxygen sensor aliyoambiwa mwenye gari.
ECU yake ipo chini chenye foot rest ya abiria wa mbele..that's why..gari zingine unakaa juu kwenye Bonet kulePole aiseeee....
Ila ECU za subaru zimekaa uchi uchi sana, kuingia maji ni kufumba na kufumbua....
Kuna magari hata itokee gari liogelee lote kwenye maji na lizame bado ECU haitaingia maji...
Duh aiseeLabda kwa kuanza nieleze kisa kilichomkuta jamaa yangu.
Jamaa ana Subaru Forester 2006 2.0L
Usiku wa kuamkia 9 january 2023 zilinyesha sana mvua na kuna maeneo mjini yalijaa maji, sasa bahati mbaya wakati anaenda mishemishe kuna mahali alifika maji yakawa mengi.
Katika kupita maji yakawa yameingia mpaka ndani ya gari.
Sasa baadae kuna jamaa akawa amewapelekea ili watoe seat na makapeti ndani ili wayakaushe.
Jioni alipoenda kuchukua gari alipoendesha kidogo ikaanza kuwaka Check engine.
Akarudi wa wale jamaa wanamkaushia vitu vya ndani, wakacheck weeee mwisho wa siku wakasema Control box (ECU) imelowana hivyo inabidi ikakaushwe na bei ya kukaushwa ni Tsh. 150,000/=. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Basi jamaa akanipigia, kuniuliza kuhusu hayo aliyoambiwa na hao jamaa. Nikamuambia ninachokifahamu kuhusu check engine kwamba kuna chances kuna connectors maji yameingia na hivyo kupelekea kuwaka kwa hiyo check engine.
Lakini pia nikamshauri alete gari tuangalie kama kweli control box imeingia maji, me nitaikausha na hot air gun.
basi akaja jioni hiyohiyo, Kufanya diagnosis shida ikatokea P0037 HO2S heater circuit low(B1S2). Hii ni O2 sensor ya nyuma au baada ya masega(CAT converter).
View attachment 2525315
Nikasema labda maji yameingia kwenye connector ya Oxygen Sensor nikacheck connector iko poa, pia nikacheck connector zingine mpaka kwenye ecu wala hakuna maji.
Basi nikamuambia atembelee kama haitazima basi sensor inaweza kuwa imeshaleta shida.
Katembelea almost a week bila check engine kuzima basi akarudi tukatafuta Oxygen sensor tukaona bei mlima (180k sensor used, ndugu zangu wa Subaru poleni sana).
Basi tukafikia hitimisho kwamba tuagize tu nje. Lakini kabla ya kuagiza nikasema nijiridhishe tena na wiring ya ile gari. Hiyo ilikuwa ni jana.
Oxygen sensor ina waya 4, nikaanza na waya mmoja baada ya mwingine. Diagram yake hii hapa chini.
View attachment 2525288
View attachment 2525290
Hapo wire mbili za heater circuit, mmoja signal line na mmoja ni ground.
Signal line na ground niliziconfirm haraka sana kwa kutumia signal generator. Yaani naingiza signal kutoka kwenye wiring ya o2 sensor halafu naangalia kwenye live data inasomaje. Nikaona inavyosoma kwenye signal generator ndio inavyosoma kwenye live data.
Wire za Heater circuit, kuna mmoja unatoka kwenye Main relay na unakuwa na Voltage ya battery. Huu nao ulikuwa poa.
Huu mmoja uliobaki wa heater circuit unaenda straight kwenye ecu, nikaanza kuufatilia kama unafika kwenye ECU, nikajaribu pin zote kwenye connectors za ECU hamna kitu. Basi jana nikaishia hapo sababu muda ulikuwa umeenda.
Kazi ya leo ikawa kufatilia huo waya mmoja umekatika wapi maana signal haifiki kwenye ecu.
Nikaspend muda mwingi sana kuangalia hizo diagrams baada nilivyoenda kule mbele mahali ambapo connector ya oxygen sensor inaingia nikanote vitu viwili.
1. Kulikuwa na tape mpya imefungwa, (mind you, hiyo gari haina hata miezi 6 toka iagizwe nje).
View attachment 2525300
Hapo baada ya kuitoa hiyo tape.
2. Waya niliokuwa naususpect kwamba una shida ulikuwa umetokeza kwa nje.
View attachment 2525301
Basi nikatoa hilo gamba jeusi na hiki ndio nilichokikuta ndani.
View attachment 2525302
Huo waya umekaatika kama hivyo, na siyo kwamba umekatika wenyewe, bali umekatwa.
Nikauunga huo wire na creamper pin.
View attachment 2525303
Nikarudishia gamba lake, nikapiga tape, nikarudisha kila kitu, nikawasha gari kwenda kutest, kila kitu kiko poa.
Jamaa alikuwa smart kwa waya alioukata sababu katika waya zote nne ndio waya mgumu kuufatilia.
Kiukweli kama ambavyo imekuwa ikishauriwa siku zote humu ndani kuhusu suala ya kuachia mtu gari halafu wewe unaenda kwenye mambo yako, Usimuamini mtu.
Trust get you killed.
Fine, umeamua kumpiga mtu basi angalau usimuharibie gari yake.
Inavyoonesha hujui chochote kuhusu gari na mifumo yake kaongee na boda boda wenzio tusawa mzee wa proglam[emoji1787][emoji1787]ila wee sio fundi bado coz ingine namfumo mzima unaofanya gari itembee hugusi unadili na waya tuu.kwahio ng'ombe wataendelea kupigwa tuu
kulayangu inategemea magari mporipori wewe🤣🤣huyo nimtu wa proglam. Kama unabisha muulizeInavyoonesha hujui chochote kuhusu gari na mifumo yake kaongee na boda boda wenzio tu
Magomeni, mwembechai.Umeeleza kitaalamu kabisa, ofisi yako ipo wapi?
ECU yake ipo chini chenye foot rest ya abiria wa mbele..that's why..gari zingine unakaa juu kwenye Bonet kule
Kuna tatizo mkuu?, yes kwenye gari sijui vitu vingi sana.sawa mzee wa proglam🤣🤣ila wee sio fundi bado coz ingine namfumo mzima unaofanya gari itembee hugusi unadili na waya tuu.kwahio ng'ombe wataendelea kupigwa tuu
Boss unafanya kazi zipi kwenye magari?kulayangu inategemea magari mporipori wewe🤣🤣huyo nimtu wa proglam. Kama unabisha muulize
Kwa hiyo walitoa nn ndo wakafunga hiyo tape!!!Labda kwa kuanza nieleze kisa kilichomkuta jamaa yangu.
Jamaa ana Subaru Forester 2006 2.0L
Usiku wa kuamkia 9 january 2023 zilinyesha sana mvua na kuna maeneo mjini yalijaa maji, sasa bahati mbaya wakati anaenda mishemishe kuna mahali alifika maji yakawa mengi.
Katika kupita maji yakawa yameingia mpaka ndani ya gari.
Sasa baadae kuna jamaa akawa amewapelekea ili watoe seat na makapeti ndani ili wayakaushe.
Jioni alipoenda kuchukua gari alipoendesha kidogo ikaanza kuwaka Check engine.
Akarudi wa wale jamaa wanamkaushia vitu vya ndani, wakacheck weeee mwisho wa siku wakasema Control box (ECU) imelowana hivyo inabidi ikakaushwe na bei ya kukaushwa ni Tsh. 150,000/=. 😂😂😂😂.
Basi jamaa akanipigia, kuniuliza kuhusu hayo aliyoambiwa na hao jamaa. Nikamuambia ninachokifahamu kuhusu check engine kwamba kuna chances kuna connectors maji yameingia na hivyo kupelekea kuwaka kwa hiyo check engine.
Lakini pia nikamshauri alete gari tuangalie kama kweli control box imeingia maji, me nitaikausha na hot air gun.
basi akaja jioni hiyohiyo, Kufanya diagnosis shida ikatokea P0037 HO2S heater circuit low(B1S2). Hii ni O2 sensor ya nyuma au baada ya masega(CAT converter).
View attachment 2525315
Nikasema labda maji yameingia kwenye connector ya Oxygen Sensor nikacheck connector iko poa, pia nikacheck connector zingine mpaka kwenye ecu wala hakuna maji.
Basi nikamuambia atembelee kama haitazima basi sensor inaweza kuwa imeshaleta shida.
Katembelea almost a week bila check engine kuzima basi akarudi tukatafuta Oxygen sensor tukaona bei mlima (180k sensor used, ndugu zangu wa Subaru poleni sana).
Basi tukafikia hitimisho kwamba tuagize tu nje. Lakini kabla ya kuagiza nikasema nijiridhishe tena na wiring ya ile gari. Hiyo ilikuwa ni jana.
Oxygen sensor ina waya 4, nikaanza na waya mmoja baada ya mwingine. Diagram yake hii hapa chini.
View attachment 2525288
View attachment 2525290
Hapo wire mbili za heater circuit, mmoja signal line na mmoja ni ground.
Signal line na ground niliziconfirm haraka sana kwa kutumia signal generator. Yaani naingiza signal kutoka kwenye wiring ya o2 sensor halafu naangalia kwenye live data inasomaje. Nikaona inavyosoma kwenye signal generator ndio inavyosoma kwenye live data.
Wire za Heater circuit, kuna mmoja unatoka kwenye Main relay na unakuwa na Voltage ya battery. Huu nao ulikuwa poa.
Huu mmoja uliobaki wa heater circuit unaenda straight kwenye ecu, nikaanza kuufatilia kama unafika kwenye ECU, nikajaribu pin zote kwenye connectors za ECU hamna kitu. Basi jana nikaishia hapo sababu muda ulikuwa umeenda.
Kazi ya leo ikawa kufatilia huo waya mmoja umekatika wapi maana signal haifiki kwenye ecu.
Nikaspend muda mwingi sana kuangalia hizo diagrams baada nilivyoenda kule mbele mahali ambapo connector ya oxygen sensor inaingia nikanote vitu viwili.
1. Kulikuwa na tape mpya imefungwa, (mind you, hiyo gari haina hata miezi 6 toka iagizwe nje).
View attachment 2525300
Hapo baada ya kuitoa hiyo tape.
2. Waya niliokuwa naususpect kwamba una shida ulikuwa umetokeza kwa nje.
View attachment 2525301
Basi nikatoa hilo gamba jeusi na hiki ndio nilichokikuta ndani.
View attachment 2525302
Huo waya umekaatika kama hivyo, na siyo kwamba umekatika wenyewe, bali umekatwa.
Nikauunga huo wire na creamper pin.
View attachment 2525303
Nikarudishia gamba lake, nikapiga tape, nikarudisha kila kitu, nikawasha gari kwenda kutest, kila kitu kiko poa.
Jamaa alikuwa smart kwa waya alioukata sababu katika waya zote nne ndio waya mgumu kuufatilia.
Kiukweli kama ambavyo imekuwa ikishauriwa siku zote humu ndani kuhusu suala ya kuachia mtu gari halafu wewe unaenda kwenye mambo yako, Usimuamini mtu.
Trust get you killed.
Fine, umeamua kumpiga mtu basi angalau usimuharibie gari yake.
Inaweza kuwa odometer yenyewe au wiring yake....Nini kinafanya waya wa odometer kutokusoma JituMirabaMinne
Walitoa tape zilizokuja na gari, wakatoa waya kwenye gamba lake, wakakata, wakarudishia gamba wakapiga tape mpya....Kwa hiyo walitoa nn ndo wakafunga hiyo tape!!!