Jinsi ya Kuedit Text au emoji liyoituma WhatsApp Kimakosa au bila Makosa, Ndani ya dakika 15.

Jinsi ya Kuedit Text au emoji liyoituma WhatsApp Kimakosa au bila Makosa, Ndani ya dakika 15.

Hii premium whatsapp ikoje
Premium WhatsApp ni wale verified users na Meta.
1. Unalipia kila mwenzi
2. Inakuwa na bluetick,
Hii option ipo kwa kila whatsap kwa sasa, Haina mashart magumu.


But premium whatsapp zingine zinakuwa hazina bluetick lakini zinakuwa verified bila garama yeyote.. ( hii ina process ndefu kidogo na ni complicated sana, kupigwa bani ni dakika sifuri ukishindwa kufuata policy za meta)
Ndo inavipengere hivyo vya
1. Huwezi kufuta sms ukisha ituma( hamna kipengere cha delete for everyone)
2. Haina kipengere cha edit ( ukituma sms umetuma)
 
Kwangu haijawahi kutoka/kutolewa. Edit function ipo kwa zaidi ya mwaka sasa. Na ni hizohizo dakika 15 ndio ina-function. Ninaitumia kwenye ios na kwenye android.
Tell us what's new? Usikute wewe ndio umechelewa kujua kwamba hiyo huduma ipo>
 
Mbona kitambo sana unaweza kuedit au hapa katikati ulikua hutumii WhatsApp?
 
Mbona kitambo sana unaweza kuedit au hapa katikati ulikua hutumii WhatsApp?
Hii feature ilikuwepo back in 2017 kabla WhatsApp hawajaleta E2EE.

Wakaja ileta Tena Mwaka Jana May 22, 2023 kama unasema umeanza kutumia kabla ya May 22 mwaka Jana, utakuwa muongo.

Lakini baada ya May 22 mwaka Jana wakaja kuitoa na kuirudisha na baadhi walikuwa wanapata kwenye desktop wengine simu wengine hawapati kabisa
 
Hii feature ilikuwepo back in 2017 kabla WhatsApp hawajaleta E2EE.

Wakaja ileta Tena Mwaka Jana May 22, 2023 kama unasema umeanza kutumia kabla ya May 22 mwaka Jana, utakuwa muongo.

Lakini baada ya May 22 mwaka Jana wakaja kuitoa na kuirudisha na baadhi walikuwa wanapata kwenye desktop wengine simu wengine hawapati kabisa
Inakaribia mwaka mtu anaweza kuedit message WhatsApp wewe umeileta kama taarifa mpya
 
Mie Natumia Samsung na ni muda sasa naedit texts. Itaweza isifike mwaka lkn ni muda
nimeshangaa kuona had leo hamna sehem ya ku edit kwenu upande wa (Android) nadhan wanao tumia Iphone ni mwaka sasa au inakarbia mwaka unaweza edit txt sasa sijui kama hiyo haikuwepo kwenye android
 
Back
Top Bottom