Jinsi ya kuendesha gari kwa 50Km/Hr bila kukamatwa na polisi

Jinsi ya kuendesha gari kwa 50Km/Hr bila kukamatwa na polisi

Mikopo Chefuchefu

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2017
Posts
3,373
Reaction score
6,795
Kwa kawaida ni ngumu sana kuendesha haya magari ya kisasa kwa speed chini ya 50KpH!
Ukikanyaga mafuta kiduchu unakuta gari ishafika kwenye sitini au zaidi.
Njia ninayoitumia kujizuia kuvuka 50KpH ni kulimit gears.
Huwa nikifika maeneo hayo huwa naweka gia kwenye D3 au gia no 3 kutegemea na gari.
Hii hufanya gari kuwa nzito hivyo kushindwa kuvuka speed limit.
Siku hizi kwangu kukamatwa kwa over speed ni ndoto.
 
Kwa kawaida ni ngumu sana kuendesha haya magari ya kisasa kwa speed chini ya 50KpH!
Ukikanyaga mafuta kiduchu unakuta gari ishafika kwenye sitini au zaidi.
Njia ninayoitumia kujizuia kuvuka 50KpH ni kulimit gears.
Huwa nikifika maeneo hayo huwa naweka gia kwenye D3 au gia no 3 kutegemea na gari.
Hii hufanya gari kuwa nzito hivyo kushindwa kuvuka speed limit.
Siku hizi kwangu kukamatwa kwa over speed ni ndoto.
Gari inapokuwa nzito....ndivyo hivyo hivyo mafuta hutumika kwa wingi
 
Mimi kwa kuwa nishazoea kukanyaga mafuta ,huwa naweka ovedfrive on.basi inakuwa nzito na kupungua mwendo yenyewe kwa ukanyagaji ule ule
 
hii si sawa ,elewa unapotumia gia hizo na fuel inatumika kwa wingi,pamoja na athari zingine kama break,wewe umeona wapi freeways zinakuwa na speed limit hiyo?,hiki ni kituko ndani ya nchi yetu na elewa ni makosa kwa binadamu au wanyama kutembea,kusimama kwenye hizi highways na inapotokea freeways zinakatiza miji au makazi ya watu ,alama zinakuwepo kuonya madereva na speed trap au camera zipo pale,kilichowekwa pale mikumi national park ule ni uchafu,na kile kipande cha barabara nzuri mno kutoka pale nje ya mbeya kuja iringa,matuta ni mengi mno aliyeshauri vile ni kiwete wa kufikiria,mle ilitakiwa kujenga speed cameras.tuendelee kusubiri
 
Kwa kawaida ni ngumu sana kuendesha haya magari ya kisasa kwa speed chini ya 50KpH!
Ukikanyaga mafuta kiduchu unakuta gari ishafika kwenye sitini au zaidi.
Njia ninayoitumia kujizuia kuvuka 50KpH ni kulimit gears.
Huwa nikifika maeneo hayo huwa naweka gia kwenye D3 au gia no 3 kutegemea na gari.
Hii hufanya gari kuwa nzito hivyo kushindwa kuvuka speed limit.
Siku hizi kwangu kukamatwa kwa over speed ni ndoto.
Kwani mguu wako hauwezi kuthibiti mwendo kwa kukanyaga au kuachia mafuta? Sioni sababu ya kutumia gia ya kupanda mlima kwenye sehemu tambarare; zoea kutumia mguu wako kuthibiti kiasi cha mafuta utakuwa umethibiti spidi
 
hii si sawa ,elewa unapotumia gia hizo na fuel inatumika kwa wingi,pamoja na athari zingine kama break,wewe umeona wapi freeways zinakuwa na speed limit hiyo?,hiki ni kituko ndani ya nchi yetu na elewa ni makosa kwa binadamu au wanyama kutembea,kusimama kwenye hizi highways na inapotokea freeways zinakatiza miji au makazi ya watu ,alama zinakuwepo kuonya madereva na speed trap au camera zipo pale,kilichowekwa pale mikumi national park ule ni uchafu,na kile kipande cha barabara nzuri mno kutoka pale nje ya mbeya kuja iringa,matuta ni mengi mno aliyeshauri vile ni kiwete wa kufikiria,mle ilitakiwa kujenga speed cameras.tuendelee kusubiri
Speed kamera zingeibiwa, si unajua wabongo tulivyo.
Ila matuta nani wa kwenda kuyaiba?
 
hii si sawa ,elewa unapotumia gia hizo na fuel inatumika kwa wingi,pamoja na athari zingine kama break,wewe umeona wapi freeways zinakuwa na speed limit hiyo?,hiki ni kituko ndani ya nchi yetu na elewa ni makosa kwa binadamu au wanyama kutembea,kusimama kwenye hizi highways na inapotokea freeways zinakatiza miji au makazi ya watu ,alama zinakuwepo kuonya madereva na speed trap au camera zipo pale,kilichowekwa pale mikumi national park ule ni uchafu,na kile kipande cha barabara nzuri mno kutoka pale nje ya mbeya kuja iringa,matuta ni mengi mno aliyeshauri vile ni kiwete wa kufikiria,mle ilitakiwa kujenga speed cameras.tuendelee kusubiri

Ni kweli kabisa, yale matuta katika kipande cha barabara kutokea Igawa mpaka Iringa ni changamoto kwelikweli. Sijui wanawaza nini hawa wataalam wetu. Wakati sehemu zingine kama Tinde-Kahama wanaondoa matuta, kwingine ndo wanayaweka kama ya kupandia viazi.
 
Kwa kawaida ni ngumu sana kuendesha haya magari ya kisasa kwa speed chini ya 50KpH!
Ukikanyaga mafuta kiduchu unakuta gari ishafika kwenye sitini au zaidi.
Njia ninayoitumia kujizuia kuvuka 50KpH ni kulimit gears.
Huwa nikifika maeneo hayo huwa naweka gia kwenye D3 au gia no 3 kutegemea na gari.
Hii hufanya gari kuwa nzito hivyo kushindwa kuvuka speed limit.
Siku hizi kwangu kukamatwa kwa over speed ni ndoto.
Hongera mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kawaida ni ngumu sana kuendesha haya magari ya kisasa kwa speed chini ya 50KpH!
Ukikanyaga mafuta kiduchu unakuta gari ishafika kwenye sitini au zaidi.
Njia ninayoitumia kujizuia kuvuka 50KpH ni kulimit gears.
Huwa nikifika maeneo hayo huwa naweka gia kwenye D3 au gia no 3 kutegemea na gari.
Hii hufanya gari kuwa nzito hivyo kushindwa kuvuka speed limit.
Siku hizi kwangu kukamatwa kwa over speed ni ndoto.
Wewe ni Mwanaume wa Dar? Mwanaume wa mkoani hachagui gia, Anaamua tu ni gia gani kuitupia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom