Jinsi ya kuendesha gari kwa 50Km/Hr bila kukamatwa na polisi

Jinsi ya kuendesha gari kwa 50Km/Hr bila kukamatwa na polisi

Ni namna tu ya kubalance mafuta hakuna ujanja mana kama wewe unashindwa kubalance mafuta yako ili uwe bellow 50 sasa unaweza kubalance manual car ipande kilimani kwa rivers bila kupiga race!
Udereva wa veta bana[emoji23][emoji16]🤣

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni dereva? Huwezi ku-control throttle isizidi certain rpm? Kama huwezi ku-control kitu kidogo hivyo ulipataje leseni? Kuna kitu kwenye gari kinaitwa Cruise Control hio ndio kazi yake. Ukifika 50kph una-activate, in case umepunguza mwendo unabonyeza resume ina-accelerate yenyewe hadi 50kph uliotega mwanzo. Magari mengi kuanzia 2000 yana hii kitu ila madereva wengi wa Bongo hawajui kutumia.
Mkuu fafanua kidogo hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kawaida ni ngumu sana kuendesha haya magari ya kisasa kwa speed chini ya 50KpH!
Ukikanyaga mafuta kiduchu unakuta gari ishafika kwenye sitini au zaidi.
Njia ninayoitumia kujizuia kuvuka 50KpH ni kulimit gears.
Huwa nikifika maeneo hayo huwa naweka gia kwenye D3 au gia no 3 kutegemea na gari.
Hii hufanya gari kuwa nzito hivyo kushindwa kuvuka speed limit.
Siku hizi kwangu kukamatwa kwa over speed ni ndoto.
Kwamagari ya kisasa kama Ford Ranger n.k, usipokuwa makini kucheki speedometer inakula kwako maana unakuwa unaendesha gari nakuhisi gari linaenda taratibu kumbe upo unaiaga 80km/h.
 
Ukiona no 3 unavuka weka mbili. Ila sio rahisi kama unaendesha gari ya Diesel. La sivyo gari litakuwa 'linakoroma' sana.
yaani gia za kupanda milima na kuvukia vikwazo ndiyo utumie kuendeshea?
tapatalk_1543766105665_1.jpeg
 
Mimi kwa kuwa nishazoea kukanyaga mafuta ,huwa naweka ovedfrive on.basi inakuwa nzito na kupungua mwendo yenyewe kwa ukanyagaji ule ule
By default gari la automatic gearbox linakuwa na overdrive on, unapobonyeza ile button ya overdrive off, unakuwa unazima overdrive, ndio maana inakuwa nzito. Maana hapo unaifungua kwenye gia namba 3 (kwa gari zenye gia nne). Ila ni bora kulegeza muguu tu, maana inafanya kitu kile kile ila kwa mafuta kidogo. Maana kuzima overdrive kisha ukanyage mafuta unalichosha gari tu.
 
Akili zetu waafrika za ajabu sana. Ile pedal ya mafuta ndo inayo control mwendo na ni rahisi sana kama ni dereva mzuri ku amua uendeshe mwendo gani kwa umbali gani.kusema gari za kisasa ukikanyaga tu speed inaruka sijajua ni gari zilizotengenezwa inch gani.

Mi naelewa gari anayeongeza speed ni dereva kwa kuamua akanyage accelerator kwa kiwango gani na kasi gani isomeke.mimi huwa sometime naamua kabisa ku maintain km 46 ph na inakaa sawa tu.maana mguu wangu upo strong na hautetemeki. Why nilipe gari mzigo na matumizi yasiyo sahihi ya gear?
 
hii si sawa ,elewa unapotumia gia hizo na fuel inatumika kwa wingi,pamoja na athari zingine kama break,wewe umeona wapi freeways zinakuwa na speed limit hiyo?,hiki ni kituko ndani ya nchi yetu na elewa ni makosa kwa binadamu au wanyama kutembea,kusimama kwenye hizi highways na inapotokea freeways zinakatiza miji au makazi ya watu ,alama zinakuwepo kuonya madereva na speed trap au camera zipo pale,kilichowekwa pale mikumi national park ule ni uchafu,na kile kipande cha barabara nzuri mno kutoka pale nje ya mbeya kuja iringa,matuta ni mengi mno aliyeshauri vile ni kiwete wa kufikiria,mle ilitakiwa kujenga speed cameras.tuendelee kusubiri
Exactly zile rasta zinakata body za gari yani hili nchi bana wenzetu wanafunga cameras unapigwa fine electronically sisi tunajenga matuta barabarani kama walima viazi. Rubbish!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa mguu nanga hutoweza kubalance na kutembea chini ya 50km/hr. anaejua kuendesha gari hashindiw kuendeshe chini ya 50km/hr
 
Mimi kwa kuwa nishazoea kukanyaga mafuta ,huwa naweka ovedfrive on.basi inakuwa nzito na kupungua mwendo yenyewe kwa ukanyagaji ule ule
Kuna gari hazina over drive i.e Subaru Legacy, Toyota Altezza...
 
Back
Top Bottom