Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Yes,gia namba 3 ni kwa ajili ya kupanda milimaGari inapokuwa nzito....ndivyo hivyo hivyo mafuta hutumika kwa wingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes,gia namba 3 ni kwa ajili ya kupanda milimaGari inapokuwa nzito....ndivyo hivyo hivyo mafuta hutumika kwa wingi
Sisi post yetu ya kucomment ni ile post yako inayohusu majikoTuna komenti wapi sisi ambao hatuna magari...!!??[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Hivi huwa hazionei mtu?Naombeni kuuliza hizi torch za trafic zinafanya je kazi?
Hadi zinajua gari flani ilikuwa speed numaer ngapi
😜😜😜😜😜😜😜😜Sisi post yetu ya kucomment ni ile post yako inayohusu majiko
Zile ni kisanga.. Sijui haziwezi Ku detect magari ya viongoziHivi huwa hazionei mtu?
labda off ila ukitia on inaachilia gia zote ziwe tano au sita gari inapepea tu. Ukiweka off inarudi namba 3 automaticallyMimi kwa kuwa nishazoea kukanyaga mafuta ,huwa naweka ovedfrive on.basi inakuwa nzito na kupungua mwendo yenyewe kwa ukanyagaji ule ule
unajiuliza breki ziliwekwa za niniUtapata hasara kwenya mafuta. Unashindwa nini kukotrol gari wakati hizo km 50 hazijitokezi ghafla?
Mbona humzungumzii aliejenga njia ya Goba. Yani kila baada ya meter 130 ni tuta mpaka kero. Njia nyengine ni ya Mbezi - Kinyerezi yani mituta njia nzima. Tanzania bana sijui watu wanafikiria kwa kutumia masaburi.😂😂😂Exactly zile rasta zinakata body za gari yani hili nchi bana wenzetu wanafunga cameras unapigwa fine electronically sisi tunajenga matuta barabarani kama walima viazi. Rubbish!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna gari kama Subaru Legacy, Forester na Altezza hazina overdriveMimi kwa kuwa nishazoea kukanyaga mafuta ,huwa naweka ovedfrive on.basi inakuwa nzito na kupungua mwendo yenyewe kwa ukanyagaji ule ule
unaeka on ama unaeka offMimi kwa kuwa nishazoea kukanyaga mafuta ,huwa naweka ovedfrive on.basi inakuwa nzito na kupungua mwendo yenyewe kwa ukanyagaji ule ule
Kwa kawaida ni ngumu sana kuendesha haya magari ya kisasa kwa speed chini ya 50KpH!
Ukikanyaga mafuta kiduchu unakuta gari ishafika kwenye sitini au zaidi.
Njia ninayoitumia kujizuia kuvuka 50KpH ni kulimit gears.
Huwa nikifika maeneo hayo huwa naweka gia kwenye D3 au gia no 3 kutegemea na gari.
Hii hufanya gari kuwa nzito hivyo kushindwa kuvuka speed limit.
Siku hizi kwangu kukamatwa kwa over speed ni ndoto.