Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Naombeni kuuliza hizi torch za trafic zinafanya je kazi?
Hadi zinajua gari flani ilikuwa speed numaer ngapi
Hadi zinajua gari flani ilikuwa speed numaer ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si lazima ukomenti kila uzi.Tuna komenti wapi sisi ambao hatuna magari...!!??[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Nawewe unamiliki gari kwani...!!??[emoji53] [emoji53]Si lazima ukomenti kila uzi.
sawa sawaGari inapokuwa nzito....ndivyo hivyo hivyo mafuta hutumika kwa wingi
Utapata hasara kwenya mafuta. Unashindwa nini kukotrol gari wakati hizo km 50 hazijitokezi ghafla?Kwa kawaida ni ngumu sana kuendesha haya magari ya kisasa kwa speed chini ya 50KpH!
Ukikanyaga mafuta kiduchu unakuta gari ishafika kwenye sitini au zaidi.
Njia ninayoitumia kujizuia kuvuka 50KpH ni kulimit gears.
Huwa nikifika maeneo hayo huwa naweka gia kwenye D3 au gia no 3 kutegemea na gari.
Hii hufanya gari kuwa nzito hivyo kushindwa kuvuka speed limit.
Siku hizi kwangu kukamatwa kwa over speed ni ndoto.
Sasa na kukanyaga breki si unamaluza breki.Utapata hasara kwenya mafuta. Unashindwa nini kukotrol gari wakati hizo km 50 hazijitokezi ghafla?
Waziri kaskazini hii inaitwa Doppler effect.Aliyegundua alikuwa anaitwa Christian Doppler mwaka 1842 raia wa Austria.Kama ulisoma fizikia hadi kidato cha sita utaikuta hii topic.Picha ya gari,Sauti ya engine vinaingia kwenye kio cha camera frequency zinageuzwa kuwa speed au mwendo screen ya camera inasoma.Siwezi kueleza kwa kirefu hapa ingia goggle andika doppler effect utapata majibuNaombeni kuuliza hizi torch za trafic zinafanya je kazi?
Hadi zinajua gari flani ilikuwa speed numaer ngapi
Waziri soma chiniWaziri kaskazini hii inaitwa Doppler effect.Aliyegundua alikuwa anaitwa Christian Doppler mwaka 1842 raia wa Austria.Kama ulisoma fizikia hadi kidato cha sita utaikuta hii topic.Picha ya gari,Sauti ya engine vinaingia kwenye kio cha camera frequency zinageuzwa kuwa speed au mwendo screen ya camera inasoma.Siwezi kueleza kwa kirefu hapa ingia goggle andika doppler effect utapata majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni dereva? Huwezi ku-control throttle isizidi certain rpm? Kama huwezi ku-control kitu kidogo hivyo ulipataje leseni? Kuna kitu kwenye gari kinaitwa Cruise Control hio ndio kazi yake. Ukifika 50kph una-activate, in case umepunguza mwendo unabonyeza resume ina-accelerate yenyewe hadi 50kph uliotega mwanzo. Magari mengi kuanzia 2000 yana hii kitu ila madereva wengi wa Bongo hawajui kutumia.Kwa kawaida ni ngumu sana kuendesha haya magari ya kisasa kwa speed chini ya 50KpH!
Ukikanyaga mafuta kiduchu unakuta gari ishafika kwenye sitini au zaidi.
Njia ninayoitumia kujizuia kuvuka 50KpH ni kulimit gears.
Huwa nikifika maeneo hayo huwa naweka gia kwenye D3 au gia no 3 kutegemea na gari.
Hii hufanya gari kuwa nzito hivyo kushindwa kuvuka speed limit.
Siku hizi kwangu kukamatwa kwa over speed ni ndoto.
Tuna komenti wapi sisi ambao hatuna magari...!!??[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Duuuhh, unalinganisha brake na mafuta. Endelea kutumia gari ukizoea utajua ulichokua unafikiria sicho.Sasa na kukanyaga breki si unamaluza breki.
Wasalimie Katente, Majengo, Soko la zamani, Maganzo, Buhuntubili, Namba 1 hadi Kashelo
Tangia ulipofika Dar, naona umekosa adabu kabisa skuizi. Maana hata wakubwa zako hautusalimiiNdiyo mkuu, namiliki vitz! Njoo nikupe lift
Shikamoo Baba, habari za huko nyumbani. Ndugu zangu hawajambo?Tangia ulipofika Dar, naona umekosa adabu kabisa skuizi. Maana hata wakubwa zako hautusalimii
Marahaba kijana, nakukumbusha tu huko Daslam uwe makini na hasa usije ukaiga tabia za wanaume kama huyu...Shikamoo Baba, habari za huko nyumbani. Ndugu zangu hawajambo?
Nilikuwa bize kidogo ndiyo maana sikuweza kuwasalimia huko nyumbani.
(umefurahi?)