Jinsi ya kuepuka kupigwa na mawinga Kariakoo

Mpaka mtu anatoa pesa yake mfukoni maana yake alishaiandaa kwa kununua kitu husika na ameridhia, sasa shida iko wapi? Kitu cha msingi asiuziwe bidhaa feki tu, ila kama katimiza lengo lake la kupata bidhaa sahihi hakuna shida wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…