Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
full vipensi na sendo na socks😂Wanazingatiwa engo huko saluni na supablaki nyingiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
full vipensi na sendo na socks😂Wanazingatiwa engo huko saluni na supablaki nyingiiiiii
Laki mbili inch 32 unapataHivi wakuu kwa mfano TV YA ALITOP INCH 32 KWA lindi kuna kipindi nilinunua 260000 je mnamaanisha kwamba kwa kariakoo assume bila winga unaweza kuipata kwa 200000?
Mkuu Currys hakuna mawinga?Zamani nilikua nawajua mawinga wa kwenye team tu zinapokua zinacheza Soka viwanjani,
Kumbe siku hizi mawinga wapo mpaka kwenye kuuza Mafriji.
Mbona nahisi wewe ni winga? 🤣🤣Tena Winga wa kike amechangamka kuliko wa kiume..
Hela yangu halafu niteseke hivi? Ndio maana naweza kukaa mwaka sijakanyaga maduka ya Kariakoo. Too much hassle.Hatua zote hizi ni unataka kununua friji, je ukitaka kununua bomu?
Unauziwa 5,000 na mwenye bar sio na mabaqmedi as winga.wizi upi? mbona soda inayouzwa kwa mangi 600 ukienda samaki samaki unauziwa 5000 na kwengine mpaka 7000
Kariakoo kuna bidhaa original?Upande wa pili winga Wana faida wanajua machimbo ya bidhaa feki na Original na wapi wanapotoa bidhaa kwa bei ndogo..
Alishapigwa 🤣🤣190k-210k
Ndo utapeli huo. Hata wale wa tuma kwa namba hii mtumaji ni experience hana.yeye hii hoja lawama anampa mteja. hali ya kua mteja kafika town kafika mpaka dukani lakini anaingizwa mkenge kwa sababu hana experience
Umehalalisha wizi na utapeli kwa jina la usiri na fursa.Kama serikali yenyewe unanunua gari labda Milioni nne ukifika bandarini Kodi Milioni nne tenà hivyo jumla 8m unategemea nini?
Wizi unatokana na usiri WA bei ya Bidhaa
Kama vile nauli serikali inavyotoa bei elekezi vivyohivyo n Bidhaa zingine inatakiwa Kutoa.
Hao Mawinga Kwao NI fursa na lengo la mfanyabiashara NI ku-make profit kadiri iwezekanavyo
Kabisa mkuu. Too much.Hela yangu halafu niteseke hivi? Ndio maana naweza kukaa mwaka sijakanyaga maduka ya Kariakoo. Too much hassle.
Na inauma unapokuta umepigwa parefu alafu mbaya zaidi ukute amekuimbisha receipt aandike pungufu. Yaani winga dawa yao kabla ya kulipa unamwambia anza ku-print receipt huku unahesabu hela, utaona anatoa macho na kuanza ooh unajua etc maana tajiri huwa anaandika receipt kwa bei ile aliyowatajia ila kile cha juu hakiwi documented kwenye receipt, hapa huwa tunaanza upya tena na kumshusha zaidi ikiwezekana kuondoka kabisa, hapa ndo tajiri wa kweli anajitokeza na kijifanya mpe tu kwa bei hiyo na kuwa siku mbaya kwa winga angalau atapozwa buku 5 ya kuleta mteja (maana ukizubaa umenunua mzigo wa laki 5 unakuta receipt imeandikwa laki 3 na nusu)Kinacho waharibia Mawinga NI TAMAA iliyopitiliza.
Imagine Mtu anakupiga Kwa zaidi ya elfu 50-laki Moja.
Mbona mpira wa simba na yanga ukichezwa Benjamini Mkapa unalipa kiingilio kibwa lkn kesho yake au baada ya wiki timu hiyohiyo ikicheza na nyingine kwenye uwanja huohuo kingilio ni tofauti kabsaa, vp hapo viti huwa vinabadilishwa au simba na yanga zikikutana uwanja unafungwa AC ndio maana viingilio huwa vikubwa? Na sijawahi kusikia mtu akisema amepigwa.Wewe Mtu anauziwa Sabufa 150k Wakati bei Yake Mtaa WA pili NI 90k huoni Hapo kuna ulazima wa tahadhari
Inauzwa 195,000 mkuuHivi wakuu kwa mfano TV YA ALITOP INCH 32 KWA lindi kuna kipindi nilinunua 260000 je mnamaanisha kwamba kwa kariakoo assume bila winga unaweza kuipata kwa 200000?
BEI ZA TV KWA LEOHivi wakuu kwa mfano TV YA ALITOP INCH 32 KWA lindi kuna kipindi nilinunua 260000 je mnamaanisha kwamba kwa kariakoo assume bila winga unaweza kuipata kwa 200000?
Mfumo utawaondoa, leo china au nchi nyingine zilizoendelea ukitaka kufika dukani kwake hataki, anataka kila kitu tumalizane online na anauzia dunia nzima kuliko wewe unayedisplay, ukija kwa hawa waswahili wetu ukimwambia nitumie picha ya bidhaa unayouza tayari biashara imekufa au yaweza kuchukua masaa kadhaa kupata hiyo picha na usije ukarogwa ukamwambia picha haionekani vizuri atakuwa hakusikilizi tena.Ila mkuu, hawa mawinga tukiwaendekeza ni suala la muda tu hawatadhibitika kama vishoka.
😂😂😂😂😂dahKariakoo kuna bidhaa original?
Kariakoo ni sehemu ya masikini kwenda kufana shopingKwema Wakuu!
Nimemsikia ndugu yangu ngara23 akilalamika mwezi mzima wa Tisa, na sasa tumeingia mwezi wa Kumi bado anaendelea kulia.
Kariakoo mawinga kabla mteja hajafika tayari wanakuwa na bei wameshakubaliana karibu mtaa mzima.
Mfano, umeenda kununua fridge aina ya Hisense lita 160, watakubaliana labda laki sita na tisini.
Ukifika, atakayekupokea atakuambia laki saba na nusu, kisha atajifanya anakupunguzia mpaka 690k. Hapo atasisitiza kuwa hapunguzi kwani amepunguza vya kutosha.
Wakati huo fridge bei yake ni 570k hadi 620k. Hivyo, ukijichanganya si ajabu ukapigwa zaidi ya laki moja.
Sasa ili usipigwe zingatia mambo yafuatayo:
Nenda ukiwa umevaa kawaida, na usiongee sana ili wasicheze na akili yako. Kumbuka kuwa mawinga, sarange, madalali, na wafanyabiashara wana uwezo wa kusoma saikolojia za wateja wao.
- Kusanya taarifa za kitu unachotaka kununua kabla ya kwenda Kariakoo. Ikiwa tayari una pesa au unatarajia kuwa nazo wiki moja ijayo, fanya utafiti mtandaoni na tembelea maduka Kariakoo ukiwa huna pesa ili ufanye upelelezi vizuri. Kisha weka wastani wa bei baada ya kufanya upelelezi. Mfano wastani wa Hisense ni 670k.
- Usiingie kwenye maduka yenye mtaji mdogo. Kadiri mtaji unavyokuwa mkubwa, ndivyo uwezekano wa kupata bidhaa za bei nafuu unavyokuwa mkubwa.
- Epuka maduka yaliyopo mbele ya barabara. Ikiwa mbele ya barabara, basi loweka kwenye ghorofa. Mtaji mdogo + mbele ya barabara = bei za juu. Zunguka upande wa nyuma, kisha angalia duka lenye mtaji mkubwa, hapo kuna nafasi ya kupata bei nzuri.
- Usiingie dukani na kununua kwenye maduka yenye wauzaji wengi, hasa wale watakaokurukia. Duka lenye vijana wengi kupigwa ni rahisi zaidi. Hautakuwa na uhuru wa kufikiri vizuri kwani watakuzonga sana.
- Hakikisha unamtambua mwenye biashara au msimamizi wa duka. Hawa mara nyingi hawatakupokea na huwa ndani wakishughulikia shughuli za duka kama hesabu. Ukiona mtu anajifanya yupo busy, mfuate huyo na uliza bei.
- Usiwe mwepesi kuuliza bei. Zunguka dukani kama unashangaa bidhaa kabla hawajajua unataka kununua nini. Baada ya muda utajua mazingira ya duka na kiongozi wa duka ni nani, kisha uliza bei ya bidhaa unayotaka.
- Tekni za kupunguza bei (bargain price techniques). Ikiwa amekutajia bei ya kuanzia laki tatu hadi laki tano unusu, punguza laki moja na hamsini. Mfano, fridge bei yake laki 7, mwambie una laki tano hamsini hadi sabini. Ukimfuata mwenye duka, punguza kidogo kidogo hadi mfikie bei unayoitaka.
Acha nipumzike sasa.
😂😂😂😂😂😂 Mswaki tu Tsh.15⁹⁹Mcity unakutana na bei zimekaa hivi 4000⁰⁰⁰ ni kazazaa kazeezee 🔥