raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mcity unakutana na bei zimekaa hivi 4000⁰⁰⁰ ni kazazaa kazeezee 🔥Haya mazoezi ndio maana wenye hela wanajimalizaga Mlimani City tu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mcity unakutana na bei zimekaa hivi 4000⁰⁰⁰ ni kazazaa kazeezee 🔥Haya mazoezi ndio maana wenye hela wanajimalizaga Mlimani City tu😂
Lete story kilichokukutaHuko kwa mabwabwa
Hii sehemu inachekesha Sana kila nikionaga zile fremu sema tutafute hela 😅😅 mule bei za kava za simu unanunua simu kkoo serious..😂😂😂aende na makumbusho kwenye maduka ya simu 😂
Baadhi ya bidhaa bei ni kama kariakoo tu hasa hizo electronics na vipodozi, kingine walau kuna uhakika wa kupata vitu vyenye ubora,😂😂
Mlimani City panatisha Sana.
Unaambiwa kama wewe Pesa yako ya mawazo epuka kupata huduma au kununua Bidhaa sehemu isiyo na kelele Bidhaa au huduma zîpo bei juu
weeeeHuko kwa mabwabwa
cover ziko 20 frem kodi 500k per monthHii sehemu inachekesha Sana kila nikionaga zile fremu sema tutafute hela 😅😅 mule bei za kava za simu unanunua simu kkoo serious..
hatutashindwanaNtakujaa ofisini sema usiongeze bei😅
Unakadiriaje bei ya kitu maana mwishowe inalenga mle mleNi
Kweli mkuu tuna kipaji cha ku bargain, hata mie ninacho na naona kinazidi kuimarika kadri siku zinavyoenda
Baadhi ya bidhaa bei ni kama kariakoo tu hasa hizo electronics na vipodozi, kingine walau kuna uhakika wa kupata vitu vyenye ubora,
190k-210kHivi wakuu kwa mfano TV YA ALITOP INCH 32 KWA lindi kuna kipindi nilinunua 260000 je mnamaanisha kwamba kwa kariakoo assume bila winga unaweza kuipata kwa 200000?
Wamama tunauliza sana madukani online marafiki nk, na wabongo tunajuana tabia za umachinga tunazo awe muuzaji au mnunuziUnakadiriaje bei ya kitu maana mwishowe inalenga mle mle
LoSisi waswahili Bila purukushani na kuzongwa hatutaridhika. Tunataka Kariakoo
Wanazingatiwa engo huko saluni na supablaki nyingiiiiiiweeee
Sina story mkuuLete story kilichokukuta
50,000 × ¾ = 37,500popote kwenye kupatania bei kata robo tatu ya bei tajwa
Mawinga, Madalali, Sarange na wengineo washawahi fremu za pale kabla hata hapajakamilikaTusubiri mall ya mchina pale ubungo