Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Bora tandika aisee duka unakuta mtu mmoja au wawili unajua jinsi ya kujipanga.ila Tandika unaijua vizuri mkuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora tandika aisee duka unakuta mtu mmoja au wawili unajua jinsi ya kujipanga.ila Tandika unaijua vizuri mkuuu
angalia wanaosoma wanaelewa sasa😂😂Humu ni kutoa malalamiko na mbinu za kuepuka mawinga ila kununua aaah😂
bei ya tandika sasa kama kwa winga labda vitambaaa na vyakulaBora tandika aisee duka unakuta mtu mmoja au wawili unajua jinsi ya kujipanga.
Sasa ndo ufanye kazi ya uwinga...huoni unaleta Kero kwa wanunuzi?Kumiliki duka k/koo sio jambo la kukurupuka.
SureKuna watu watajifanya wanajua sana kkoo na maelezo hayo waliyopewa. Njoeni ground muone. Alafu story ya kusadikika hiyo. Usinunue vitu online, njoo kkoo ingia duka lolote uliza bei. Achaneni na hizo story
Ya brand gani?Nilienda pale lampard sound bar ya 1.5M nikamshusha mpaka 1.2M
lakitatu yote nikafyeka hebu imagine
Yaani...watimuliwe kabisa...Ishu ya msingi ni mawinga kuondolewa Kariakoo,usumbufu mkubwa wa kubishana bei,maduka ya wenzetu ulaya bei zimeandika hakuna kubishana, mawinga ni wa kufukuza, mtu anaamka tu asubuhi hana duka anaenda kusumbua watu. Kwanza kwa usumbufu kama ule mi siwezi kununua tena naona kama natapeliwa
SONY 1000WYa brand gani?
Mimi hoja nimeiwasilishakila mtu anajua bidhaa anaipambania vipi huwezi lazimisha fixed peice ndo maana kuna ku bargain muuzaj akiona inamlipa anakupa hujashikwa mkono hujalazimishwa 😂ukiridhia bei nakuuzia umekataa sio rizki nenda kwingine ila msiforce tuuze bei mzitakazo
ndo maana ni rahisi mwenye duka kukujibu hiko sina 😂ila sina huwezi isikia kutika kwa winga lazima akwambia kaa hapo nikakufatie nakuletea alafu anaenda chocho ambazo wewe huwezi fika wala huyo mwenye duka awezi acha duka lake aende 😂😂😂
fungua ofisi kataa winga uone 😂
Mawinga wapo kwa ajili ya watu wa nje ya nchi,mteja mmoja mtu anapiga m3,nyie wa kwenda ukinunua jozi moja ya viatu ni kwa ajili ya vocha tuIshu ya msingi ni mawinga kuondolewa Kariakoo,usumbufu mkubwa wa kubishana bei,maduka ya wenzetu ulaya bei zimeandika hakuna kubishana, mawinga ni wa kufukuza, mtu anaamka tu asubuhi hana duka anaenda kusumbua watu. Kwanza kwa usumbufu kama ule mi siwezi kununua tena naona kama natapeliwa
Au we ndo expensive wingerna nyie si muendege malls kununua vitu vilivyo na fixed price😎
OkSONY 1000W
😂😂😂😂😂😂😂dahAu we ndo expensive winger
Wew acha ujeuri ungekubali bidhaa ya 10k uuziwe 20k kisa mawinga !na nyie si muendege malls kununua vitu vilivyo na fixed price😎
kama nimeshindwa kuipata mahali inapouzwa 10k then its okay ni uzembe wangu ila kama naweza kuipata naendaWew acha ujeuri ungekubali bidhaa ya 10k uuziwe 20k kisa mawinga !
Kero ipi na wanatutafuta wenyewe?Sasa ndo ufanye kazi ya uwinga...huoni unaleta Kero kwa wanunuzi?