Jinsi ya kuepuka kupigwa na mawinga Kariakoo

Jinsi ya kuepuka kupigwa na mawinga Kariakoo

Ishu ya msingi ni mawinga kuondolewa Kariakoo,usumbufu mkubwa wa kubishana bei,maduka ya wenzetu ulaya bei zimeandika hakuna kubishana, mawinga ni wa kufukuza, mtu anaamka tu asubuhi hana duka anaenda kusumbua watu. Kwanza kwa usumbufu kama ule mi siwezi kununua tena naona kama natapeliwa
 
Ishu ya msingi ni mawinga kuondolewa Kariakoo,usumbufu mkubwa wa kubishana bei,maduka ya wenzetu ulaya bei zimeandika hakuna kubishana, mawinga ni wa kufukuza, mtu anaamka tu asubuhi hana duka anaenda kusumbua watu. Kwanza kwa usumbufu kama ule mi siwezi kununua tena naona kama natapeliwa
Yaani...watimuliwe kabisa...
 
kila mtu anajua bidhaa anaipambania vipi huwezi lazimisha fixed peice ndo maana kuna ku bargain muuzaj akiona inamlipa anakupa hujashikwa mkono hujalazimishwa 😂ukiridhia bei nakuuzia umekataa sio rizki nenda kwingine ila msiforce tuuze bei mzitakazo

ndo maana ni rahisi mwenye duka kukujibu hiko sina 😂ila sina huwezi isikia kutika kwa winga lazima akwambia kaa hapo nikakufatie nakuletea alafu anaenda chocho ambazo wewe huwezi fika wala huyo mwenye duka awezi acha duka lake aende 😂😂😂

fungua ofisi kataa winga uone 😂
Mimi hoja nimeiwasilisha
 
Ishu ya msingi ni mawinga kuondolewa Kariakoo,usumbufu mkubwa wa kubishana bei,maduka ya wenzetu ulaya bei zimeandika hakuna kubishana, mawinga ni wa kufukuza, mtu anaamka tu asubuhi hana duka anaenda kusumbua watu. Kwanza kwa usumbufu kama ule mi siwezi kununua tena naona kama natapeliwa
Mawinga wapo kwa ajili ya watu wa nje ya nchi,mteja mmoja mtu anapiga m3,nyie wa kwenda ukinunua jozi moja ya viatu ni kwa ajili ya vocha tu
 
Back
Top Bottom