Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mawinga wanapendeza kuliko mabossBora Tuhamie Tandika Tuu , kkoo unakuta duka Lina mawinga ata sita wote wanakutolea mimacho😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawinga wanapendeza kuliko mabossBora Tuhamie Tandika Tuu , kkoo unakuta duka Lina mawinga ata sita wote wanakutolea mimacho😅
ukishindwana na huyu wa pemben anakupokea 😂Bora Tuhamie Tandika Tuu , kkoo unakuta duka Lina mawinga ata sita wote wanakutolea mimacho😅
Ukienda samaki samaki kama soda wanauza 5000 kwa sababu ya hadhi ya eneo wote tunauziwa 5000, ila soda wangekua wanauza mawinga mimi nauziwa 2000, kuna mwengine 3000, mwengine 1000 na mwengine 5000. Huu sasa ndo wizi wenyewe tunaofanyiwa hapo mjini kariakoowizi upi? mbona soda inayouzwa kwa mangi 600 ukienda samaki samaki unauziwa 5000 na kwengine mpaka 7000
Uzuri wateja wengi hawapo jf, kama huamini post bidhaa humu uone.View attachment 3113533
humu tu😂
Winga kidalix😂tusamehe😂ni katika kutafuta hela tu tuna kodi na marejesho
hatulipi kodi ya frem😂😂😂wala TRAMawinga wanapendeza kuliko maboss
Tandika nako mambo yanaanza kuchanganya ni ishu ya muda tu.Bora Tuhamie Tandika Tuu , kkoo unakuta duka Lina mawinga ata sita wote wanakutolea mimacho😅
😂😂😂nna uhakika humu sio wanunuajihuku watafuta wachumba na wapenziUzuri wateja wengi hawapo jf, kama huamini post bidhaa humu uone.
Mnakera sana.... Na ninyi kafungueni maduka yenu...tusamehe😂ni katika kutafuta hela tu tuna kodi na marejesho
Nakubali😂hatulipi kodi ya frem😂😂😂wala TRA
ila Tandika unaijua vizuri mkuuuBora Tuhamie Tandika Tuu , kkoo unakuta duka Lina mawinga ata sita wote wanakutolea mimacho😅
na nyie si muendege malls kununua vitu vilivyo na fixed price😎Mnakera sana.... Na ninyi kafungueni maduka yenu...
Humu ni kutoa malalamiko na mbinu za kuepuka mawinga ila kununua aaah😂😂😂😂nna uhakika humu sio wanunuajihuku watafuta wachumba na wapenzi
Na wana hela,akikosa kwa siku ni 50,ila laki tatu kwa siku kawaida tuMawinga watoke mjini waende mashambani kulima.
Kumiliki duka k/koo sio jambo la kukurupuka.Mnakera sana.... Na ninyi kafungueni maduka yenu...
Amini hakuna kingine zaidi ya umasikini ndio unampeleka mtu Kariakoo. Hata aina ya wateja unaowakuta madukani mwonekano tu unakwambia life analotokeaUmaskini tu unasumbua
kila mtu anajua bidhaa anaipambania vipi huwezi lazimisha fixed peice ndo maana kuna ku bargain muuzaj akiona inamlipa anakupa hujashikwa mkono hujalazimishwa 😂ukiridhia bei nakuuzia umekataa sio rizki nenda kwingine ila msiforce tuuze bei mzitakazoUkienda samaki samaki kama soda wanauza 5000 kwa sababu ya hadhi ya eneo wote tunauziwa 5000, ila soda wangekua wanauza mawinga mimi nauziwa 2000, kuna mwengine 3000, mwengine 1000 na mwengine 5000. Huu sasa ndo wizi wenyewe tunaofanyiwa hapo mjini kariakoo