Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
😅😅Mnaanza ukurasa upya kam wale walianzia 300k huku washapean ishara waanzia 270k kukulainishaukishindwana na huyu wa pemben anakupokea 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Mnaanza ukurasa upya kam wale walianzia 300k huku washapean ishara waanzia 270k kukulainishaukishindwana na huyu wa pemben anakupokea 😂
Kwenye soko huria serikali haiwezi kupanga bei elekezi kwenye bidhaa za kawaida ambazo zinauzwa K/koo
Wataisoma namba na watakuja tuangalia wanaosoma wanaelewa sasa😂😂
Lakini kwenye kazi ya kubishana bei mbona wamama wanaweza sana, unaweza kuenda na mmama wakianza ku-bargain hadi we utamhurumia mwuzaji,sijui wamama wanajulia wapi bei halisi za vitu au kwa kutazama tu kwa macho wanajua bei?
Robert Heriel Mtibeli mkuu unajua kwasas ni kam mtu anaamua tu aende Wavuvi , samaki samaki,mliman city au aende Pub ya mtaani. Uamue uende kkoo au utafute chimbo mtaani😅
Haya mazoezi ndio maana wenye hela wanajimalizaga Mlimani City tu😂
sasa je maisha ndo yako hivyo tuhurumieni😂😅😅Mnaanza ukurasa upya kam wale walianzia 300k huku washapean ishara waanzia 270k kukulainisha
Mkuu vocha ya Mia tano mlimani city ni sh ngap?😂😂
Mlimani City panatisha Sana.
Unaambiwa kama wewe Pesa yako ya mawazo epuka kupata huduma au kununua Bidhaa sehemu isiyo na kelele Bidhaa au huduma zîpo bei juu
Hadi feri ukienda kununua samaki kuna mawingaKîla Kona Siku hizi Pameingiliwa.
Tuacheni Vijana tujiajiri. Kilimo NI kigumuHadi feri ukienda kununua samaki kuna mawinga
Mkuu vocha ya Mia tano mlimani city ni sh ngap?
😂😂😂aende na makumbusho kwenye maduka ya simu 😂Kero ipi na wanatutafuta wenyewe?
Mawinga wananunua bidhaa kwa jumla wanaihold kwa kuhifadhi stoo na kuuza, sio lazima kusumbuana na wateja inategemea ni winga wa nini. Pale aggrey kwenye simu na electronics ndio kuna hizo kero.
hela ngumu😂😂😂Hadi feri ukienda kununua samaki kuna mawinga
Aah nisije jichanganya aisee Mara unaambiwa lipia na hela ya mrembo muuza vocha Elfu tano 😅😅😃😃
Mia Tano hiyohiyo
ewaaaaUpande wa pili winga Wana faida wanajua machimbo ya bidhaa feki na Original na wapi wanapotoa bidhaa kwa bei ndogo..
Ntakujaa ofisini sema usiongeze bei😅ewaaaa
Kweli mkuu tuna kipaji cha ku bargain, hata mie ninacho na naona kinazidi kuimarika kadri siku zinavyoendaLakini kwenye kazi ya kubishana bei mbona wamama wanaweza sana, unaweza kuenda na mmama wakianza ku-bargain hadi we utamhurumia mwuzaji,sijui wamama wanajulia wapi bei halisi za vitu au kwa kutazama tu kwa macho wanajua bei?
Huko kwa mabwabwa😂😂😂aende na makumbusho kwenye maduka ya simu 😂