Jinsi ya kuepuka kupigwa na mawinga Kariakoo

Jinsi ya kuepuka kupigwa na mawinga Kariakoo

Jana nileenda kununua tyre za gari full mawinga dukani wako 6 na mm nilienda na msela wangu yy akabakia nje ya Duka nilimpanga kua akitoka ww mfate nyumanyuma tu kisha lijue duka analo kwenda kuchukua Tyre. Akaja na bei zake za k.i.s.e.n.g.e na mm nikataja bei kichaa KABISA.winga kwa asila akaenda kurudisha mzigo. Mm na msela wangu tukasepa mpk kwenye Duka la mzigo usika.maajabu bei aliotaja kwetu ni kubwa kabisa ila hata nilipo fikia mm alikua anapata pesa kiasi lakini kaona bora kukosa. Kwenye duka usika tumeokoa pesa ndefu tu.
All the best
 
Huyo mwenye duka anaeruhusu watu kumharibia biashara anakuwa anajua au hajui??
Mkuu habari, hatimae tumekutana tena huku japo lengo la kufungua huu uzi ni kutokana na ile thread yako ya nyuma kdg, maana nipo nafatilia kwa ukaribu zaidi, Baada ya ukimya kwa muda mrefu hukuweza kujibu, Samahani mkuu unaweza kunielekeza kwa yule Mwarabu ulipokua unaenda kuchulia bidhaa kipindi hicho, Au ikiwezekana nitajie hizo bidhaa na majina yake kabisa inbox, Nitashukuru sana mkuu, ila samahani kuwa kinyume na mada husika, Na kama ni usafiri nishanunua shida bidhaa hizo mkuu natanguliza shukran me nipo mkoani!!
 
Chukua machimbo ya biashara ukafanye biashara (Namba za simu 600 za machimbo na location zake)!

KINAUZWA
Kitabu cha Machimbo ya Biashara
Kitabu chenye machimbo 600 ya biashara kwa TSH 15,000 tu!

Kitabu hiki kina namba za simu 600 za wauzaji wa bidhaa kwa bei nafuu, jumla na rejareja.

Jinsi ya kukipata WHATSAPP: 0612607426
CALL: 0687746471

Unaweza kupakua kitabu hiki kupitia link hii:

Kwa msaada wa kupakua, wasiliana kupitia:
WhatsApp: 0612607426
Call: 0687746471

Kitabu kina sura 68 kama ifuatavyo:

Sura ya 1 hadi 5: Machimbo ya nguo za watoto, vifaa vya ofisini (stationery), vifaa vya ujenzi (hardware), dawa (pharmacy), na vinywaji.

Sura ya 6 hadi 10: Kahawa, maremba, vifaa vya mazoezi, miwani, na nywele bandia kama rasta na wigs.

Sura ya 11 hadi 20: Shati za shifoni, viatu, kofia, gauni za usiku, vitambaa vya masofa, hereni na cheni, vyombo vya jikoni, na vifaa vya michezo.

Sura ya 21 hadi 30: Pajamas, balo za mitumba, masweta, maturubai, pipi, jeans, jezi, na vifaa vya kufungashia.

Sura ya 31 hadi 40: Toys, T-shirts, diaper, bidhaa za supermarket, manukato, madera, mitandio, abaya, hijabu, na vitenge.

Sura ya 41 hadi 50: Khanga, vitambaa vya kushona, vipodozi, nguo za watoto, pochi, vifaa vya simu, mikeka, bidhaa za wachina, na sufuria sets.

Sura ya 51 hadi 60: Chupa za maji, midoli, lubricants za magari, maduvets, mashuka, mapazia, majora ya mapazia, T-shirts zinazotrend, na bidhaa za ubuyu wa Zanzibar.

Sura ya 61 hadi 68: Maua artificial, pipi, vifaa vya masofa, bidhaa za mitumba, vifaa vya kuandaa keki, na bidhaa kutoka kwa wachina moja kwa moja.
 
Ndio wanapondwa na maghorofa wizi na utapeli ni laana
 
Mawinga wanaboa sana Ila ukijua kuwatumia Kuna FAIDA sana ..Nina zaidi ya miaka 15kwenye biashara za kkoo zamani ilikuwa unakutana na msaidizi wa mwenye Ali mf msomal au mchina..mnapiga dili unasepa hivi majuzi imekuwa ngumu mf..nimeenda window shop karatasi niliyoiacha mwanza inauzwa 53 dsm kk naikuta inauzwa 52...maduka zaidi ya manner nikasema Hawa jumla ama Nini kumbe mawinga..nkashindwa kabisa kufunga mzigo...Kuna winga wa kwenye mabalo yamitumba mnazi mmoja ndio nilimwini akijua nafunga mzigo siku hio kanitembeza godown zaidi ya 10 upanga Mara pugu...kote nalipia Tex jioni nkamtia 20kesho nkarudi nipo huru kumchagua mazigo niutakao kwa muuzaji halisi...Ila ukishapelekwa na winga 10k yao IPO kwenye kila ballo utakalouziwa mchina aligoma kunipunguzia akasema atakuja kudai hela yake nikitoka maana alinileta kiasi nkawa nshajua namna ya kucheza nao unapotea njia wakati wa kwenda Ila si kurudi
 
Back
Top Bottom