Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Mkuu ile format yako nimeipata vema😅😅 22k yey angesem 33 ,27 ongeza 3 uchukue fresh😃Hapo ungemwambia Una 22k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ile format yako nimeipata vema😅😅 22k yey angesem 33 ,27 ongeza 3 uchukue fresh😃Hapo ungemwambia Una 22k
au sio 😂😂😂Mimi nikifika Kariakoo hainipi shida kutambua mwenye Duka.
Najua Bidhaa inauzwa laki Mbili mwenye Duka kaongeza faîda y kufuru 70k. Yà ani 270k Mimi nakutaji 220k. Alafu kawaida naenda mida ya kufunga jioni Kabisa😂😂
Kwanini hawana kosa? Mm nakuja kununua jeki ya gari yangu winga anaongea na mwenye duka wananiuzia laki ilihali ni elfu arubaini si ni wote wezi tu?
Mkuu ile format yako nimeipata vema😅😅 22k yey angesem 33 ,27 ongeza 3 uchukue fresh
wizi upi? mbona soda inayouzwa kwa mangi 600 ukienda samaki samaki unauziwa 5000 na kwengine mpaka 7000wizi unaitwa riziki.
au sio 😂😂😂
me sishindi huko😂Kesho nakuja Huko mnisumbue
😂😂😂😂😂😂wauzaji wenyewe hawa wakwepa kodi au 😂alafu risit mbona sio issue kabisaKatika biashara zenye mawinga mwenye mali muuzaji huwa anatoaje risiti ikiwa ameweka pesa ya winga?
Sijui wanataka tukale wapiuzuri me wateja wangu nawapa bei sawa na ya mwenye duka au saingine ndogo kuliko mwenye duka namsaidia kufanya uchaguzi😂 na kumshauri
Mkuu kuna bidhaa sinunui kkoo mm nanunua mtaani naelewa wahuni wamejaa kkoo,Kkoo ya sasa sio ile ya enzi za Kikwete , mwenye sikio na asikieSemà Vijana wanapata tabu Sana hivyo wakikutana na mteja wanamsumbua na kumuambukiza taabu yao
uzuri me wateja wangu nawapa bei sawa na ya mwenye duka au saingine ndogo kuliko mwenye duka namsaidia kufanya uchaguzi😂 na kumshauri
me sishindi huko😂
Ukiingia umevaa ndala hawakuzingatii kabisa wanakupandisha na kukushusha km huyu nae katokea wapi, hizo ndio mbinu zangu japo haifanyi kazi kiviile, mawinga ni kero kubwa mno imeanza taratibu tu hivi ila itafikia wakati ama wateja au wenye maduka watapoteza pakubwa na watapunguza kuendekeza huo udalaliNilienda kununua kitu Cha Laki 7+ huku nimevaa ndala
Hizi manunuzi unaenda Kama unasifiri, hamtaacha kupigwa daima
😂😂😂😂hiyo haikwepeki kikubwa we uwe na bajeti yako hata simu mnaweza kuwa na aina moja mmenunua sehemu moja na bei ikawa tofautiHatuna shida na ninyi 😂😂
Tunaondoka tukiwa tumeridhika Kabisa lakini shida inaanzia pale unatoka tuu unakutana na Bidhaa ileile inauzwa kwa bei nafuu pungufu ya Laki Moja yà ani umepigwa zaidi ya Laki Moja Hapo ñdipo fumba la mate lazima umeze kupunguza uchungu
Huwa wanakera sana washenzi wale....Kuna duka nilienda kununua Stand za Microphones.... Wajinga walinikwaza sana wale....baada ya kugundua, niligombana sana na muuzaji....Nachukua sana mawinga, nikikuta duka lina mawinga naondoka