Jinsi ya kuepuka kupigwa na mawinga Kariakoo

Jinsi ya kuepuka kupigwa na mawinga Kariakoo

kwa niaba ya mawinga wenzangu nasemaje nimesoma kidogo tu uzi wako ila Mungu hatokei mkoani kwako, riziki mafungu saba na sikuizi kama hujui hao wenye maduka ndo mawinga namba moja 😂maana mitaji imekata

alafu uzuri wa kwenye electronics store kwenye wanawajua mawinga wote 😂so mwenye duka na winga wanapewa bei moja 😂
wizi unaitwa riziki.
 
Mawinga hawana shida kama mwenye duka ametengeneza mfumo mzuri maana wenye duka wengine huwapa price ya bidhaa kwa bei ya jumla kwahiyo mtu anapambana kutafuta wateja huku na kule na kupitia mitandao ya kijamii pia. Akija mteja anapandia Kwa juu kutokana na mteja amekujaje ukija kichwa kichwa unakula za uso ambapo hata ukienda kwa mwenye duka pia anakupa za uso pia.

Kikubwa ni kufanya window shopping kabla ya kununua bidhaa maana hata mawinga sometimes husaidia pia kukusomea ramani especially ukiwa na namba mbili tatu za waouza bidhaa k/koo
 
Back
Top Bottom