Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
ndio njia sahihi tena nunua kama hutaki kwa muda huo yani usionyeshe uwitaji ya hiyo bidha kabisaUtawaua sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio njia sahihi tena nunua kama hutaki kwa muda huo yani usionyeshe uwitaji ya hiyo bidha kabisaUtawaua sasa
kwa niaba ya mawinga wenzangu nasemaje nimesoma kidogo tu uzi wako ila Mungu hatokei mkoani kwako, riziki mafungu saba na sikuizi kama hujui hao wenye maduka ndo mawinga namba moja 😂maana mitaji imekata
alafu uzuri wa kwenye electronics store kwenye wanawajua mawinga wote 😂so mwenye duka na winga wanapewa bei moja 😂
Dola ifanye kazi ya kuwakamata kwa makosa ya uzururaji.
Ukiangukia mikononi mŵa winga bei ni kuanzia mara mbili na kuendeleaHivi wakuu kwa mfano TV YA ALITOP INCH 32 KWA lindi kuna kipindi nilinunua 260000 je mnamaanisha kwamba kwa kariakoo assume bila winga unaweza kuipata kwa 200000?
ndio njia sahihi tena nunua kama hutaki kwa muda huo yani usionyeshe uwitaji ya hiyo bidha kabisa
Hiyo biashara au bhangi
Huwa anajua, hao ni vijana wake wa kumtafutia wateja.Huyo mwenye duka anaeruhusu watu kumharibia biashara anakuwa anajua au hajui??
Itakuwa bangi kweli si kwa taadhari hizoBangi
Uwinga sio ajira.Daah vjana wamejiajir aise ila wanalangua mno😃
Itakuwa bangi kweli si kwa taadhari hizo
shida anaona wanamsaidia kupata watejaHuyo mwenye duka anaeruhusu watu kumharibia biashara anakuwa anajua au hajui??
Kuna winga wa kike au wote ni wa kiume??