Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Hahaha huyo aliyeweka hiyo option ya kuwa na 4WD kwenye IST sijui aliwaza nini4WD kwny ka IST ni ujinga tu,hakuna kitu katafanya.
[emoji3][emoji3][emoji3]Sawa taahira mwenye Hilux ambayo 4wd yake inashindwa kupita lkn IST 4WD inapita.
Hii safi!! Sijui mpaka bongo itakuwa Tsh ngapi??
Mkuu, nimekuchagulia hiyo... Chukua hii. Gari bado mpya kabisa. Imetembea km 25,913 tu!
Bila shaka hio Hilux itakua na shida au mbovu..mimi natumia Hilux Surf napita sehemu yoyote ile na wala situmiagi 4WD yani nikishusha gia kwenye L au 2 napita popote pale...siangalii hapa pana mchanga, utelezi au niniWewe ndio mjinga unayeishi kwa assumptions. Ulishawahi kuwa nayo?
Mdau unayetaka kununua IST, mimi nakushauri nunua yenye 4WD kama unaishi maeneo yenye miinuko yenye utelezi au mchanga. Mimi nina site yangu Kibaha Misugusugu, nina Hilux Single Cabin inashindwa kupita kufika kwenye kiwanja lakini IST ndio naitegemea sababu ya mchanga
Unaongea kitoto toto kama nilivyokuwa mdogo wakati gari zote nilikuwa naziita 'PIJO' Eti unapita popote! Hakuna gari yenye uwezo wa kupita popote na ndio maana mengine yamewekwa 4WD kuyaongezea uwezo. Hizo ni porojo za watu ambao hata gari lenyewe hawajui kuendesha, hiyo moja.Bila shaka hio Hilux itakua na shida au mbovu..mimi natumia Hilux Surf napita sehemu yoyote ile na wala situmiagi 4WD yani nikishusha gia kwenye L au 2 napita popote pale...siangalii hapa pana mchanga, utelezi au nini
Taahira ni wewe unayekurupuka na assumptions. Kuna sehemu nimesema Hilux yangu ina 4WD? Tuliza kichwa dogoSawa taahira mwenye Hilux ambayo 4wd yake inashindwa kupita lkn IST 4WD inapita.
Gari zote hizo(hilux na hilix surf) zina engine moja kama ni 2L,3L na 1KZ chassis moja hata kama ni nyepesi hio hilux tofauti yake ni 200Kg kwaio kiuhalisia hakuna sehemu itakayo kua na mchanga mkubwa kuishinda hizo gari mbili yani sehemu ikwame Hilux ije ipite ISTUnaongea kitoto toto kama nilivyokuwa mdogo wakati gari zote nilikuwa naziita 'PIJO' Eti unapita popote! Hakuna gari yenye uwezo wa kupita popote na ndio maana mengine yamewekwa 4WD kuyaongezea uwezo. Hizo ni porojo za watu ambao hata gari lenyewe hawajui kuendesha, hiyo moja.
Mbili, kuna tofauti kubwa sana kati ya Hilux Surf (SUV) na Hilux Pick Up kwa namna zitakavyoperform kwenye rough roads. Pick Up ni nyepesi sana nyuma kiasi kwamba haikwami kwenye mchanga tu, hata kwenye surface iliyo uneven, kitendo tu cha tairi moja ya nyuma kutokugusa chini unaweza kulazimika kurudi nyuma kidogo upite kwa kasi. Ni kwa sababu hii Kirikuu zimewekwa four wheel sababu zenyewe ni nyepesi zaidi.
Tatu, gari langu si bovu japo ni la zamani sana (1991) na halina L na 2 kwa sababu ni manual. Kama unakaa mjini basi mara moja moja tembea nje ya mji uzijue changamoto za njia na barabara za nchi yetu. Yapo maeneo kule Kilema hata gari zenye four wheel zinanasa kwenye tope.
We ni chizi tu na hilux yako ya makopo inayoshindwa kupiga kazi na ka IST.Taahira ni wewe unayekurupuka na assumptions. Kuna sehemu nimesema Hilux yangu ina 4WD? Tuliza kichwa dogo
Ndio maana nikakushauri uwe mtafiti kuliko muongeaji. Haya magari mawili yameachana mbali sana. Labda unakurupuka kurupuka tu hata usijue ni hilux ipi naizungumzia. Hii pickup kaiingize pale Coco Beach wanakocheza mpira ndio utajua mziki wake. Unaendesha gari mjini lkn unajiapiza HAKUNA SEHEMU ITAKAYOKUWA NA MCHANGA MKUBWA KUISHINDA KUPITA, unazungumzia mchanga huu unaofagiliwa kwenye lami au unasikia tu mchanga huuelewi?Gari zote hizo(hilux na hilix surf) zina engine moja kama ni 2L,3L na 1KZ chassis moja hata kama ni nyepesi hio hilux tofauti yake ni 200Kg kwaio kiuhalisia hakuna sehemu itakayo kua na mchanga mkubwa kuishinda hizo gari mbili yani sehemu ikwame Hilux ije ipite IST
Hata IST nayoizungumzia pia ni yangu. Sina cha kukusaidia maana mimi sio ndie niliyekuumba.We ni chizi tu na hilux yako ya makopo inayoshindwa kupiga kazi na ka IST.
Labda uliyeumba Hilux toy.Hata IST nayoizungumzia pia ni yangu. Sina cha kukusaidia maana mimi sio ndie niliyekuumba.
Achana nae njoo nikuuzie bajaj three wheel drive halaf uje kubishana nae tena, mwambie hiyo bajaj inapita hata kwenye pangoLabda uliyeumba Hilux toy.
Kama nilivyokuambia hata hio Hilux uliyoiweka na IST hio tofauti yake ni 200kg swala sio kukurupuka wewe ndo uliyekua huelewi umetaja Hilux bila kusema ni ipi hivyo vidogo au zile kubwa mwisho wa siku nasema hivi hakuna sehemu inase Hilux ije kupita ISTNdio maana nikakushauri uwe mtafiti kuliko muongeaji. Haya magari mawili yameachana mbali sana. Labda unakurupuka kurupuka tu hata usijue ni hilux ipi naizungumzia. Hii pickup kaiingize pale Coco Beach wanakocheza mpira ndio utajua mziki wake. Unaendesha gari mjini lkn unajiapiza HAKUNA SEHEMU ITAKAYOKUWA NA MCHANGA MKUBWA KUISHINDA KUPITA, unazungumzia mchanga huu unaofagiliwa kwenye lami au unasikia tu mchanga huuelewi?
View attachment 1187534
View attachment 1187547
Pengine suala la kuambiwa kuwa IST yenye fourwheel drive inaperform vizuri kwenye mchanga ndio linakutesa kwa namna unavyoiunderestimate IST. The thing is, size ya gari sio issue, issued ni mechanism. Canter ya 5tonnes na 3490cc itakwama kwenye mchanga ambao Kirikuu yenye fourwheel drive itapita.
Mimi nazungumzia experience ya magari mawili ambayo yote ninayo na ninafanya kazi kwenye mazingira ya michanga, wewe unazungumzia assumption. Hiyo pick up tairi za nyuma ndio zinasukuma at the same time nyuma uzito ni mdogo, ikikutana na mchanga mwingi, tairi za mbele kwa kuwa zenyewe zinasukumwa tu, zinatend kuzama ndani ya mchanga na kwa kuwa uzito mkubwa upo mbele kwenye engine tairi za nyuma zinapata extra load ya kuzikwamua za mbele kwenye mchanga, hapo ndio utajua maana gari imekalia.
Sina hakika kama umeshaendesha gari
Labda jibu langu hili ni General zaidi ya swali lako, lakini nimesema ngoja nilitoe tu.
Gari yoyote ya 4WD au AWD huwa inandikwa pale nyuma. 4WD ni nzuri kuliko magari yote kwani unaweza kuitumia kama 2WD na vile vile kama 4WD ukihitaji hasa kwenye utelezi, na kwa magari kama Jeep, una uhuru wa kuweka part-time 4WD kuwa iwapo barabara itakuwa na utelezi basi gari linajiingiza 4WD automatically na baada ya hapo linarudi 2WD. AWD inakuwa kwenye 4WD muda wote na huenda hali hiyo haihitajiki kwenye barabara za kawaida, na hiyo inaweza kuwa inakula mafuta mengi bure, na vile vile imbalance ndogo tu inaweza kusababisha gari kuwa linatikisika sana.
Soma nyuma ya gari pale kutakuwa na alama ama 4WD au AWD, magari mengine huweza pia kuonyesha 2WD lakini hiyo ndiyo standard, kwa hiyo wasipoonyesa inakuwa na maana kuwa ni 2WD. Halafu pia uwe makini, kuna magari mengine kwa mfano Ford F150 ambayo ili uliweke kwenye 4WD lazima ukaze nati fulani kwenye matairi ya mbele, jambo ambalo linaweza kuwa kero sana ukiwa barabarani, na hivyo unaweza kujikuta unaliendesha katika AWD ingawa halikuwa lengo lako.
KukibustSasa 4WD kwa IST ya nini
Hehehee. Mkuu nahisi Hilux yake ni 2WD pekee au hajui kutumia low range gears na diff locks.Sawa taahira mwenye Hilux ambayo 4wd yake inashindwa kupita lkn IST 4WD inapita.
Tumia lugha nzuri mzee wangu; kwanza tambua kuwa Toyota ni gari zuri kuliko Nissan by all standards, ndiyo maana Nissan ilishindwa kuhimilia mikiki ya soko ikanunuliwa na makampuni ya Ulaya Renault na Daimler, wakati Toyota iko pale pale. Binafsi nilishafanya kazi pale Toyota Nagoya na Nissan Sendai mwanzoni mwa miaka ya tisini nikiwa training, najua culture yao na sifa zao.My Nissan Dualis ni 4WD lakini haijaandikwa nyuma labda hayo ma toyota yenu