Ndio maana nikakushauri uwe mtafiti kuliko muongeaji. Haya magari mawili yameachana mbali sana. Labda unakurupuka kurupuka tu hata usijue ni hilux ipi naizungumzia. Hii pickup kaiingize pale Coco Beach wanakocheza mpira ndio utajua mziki wake. Unaendesha gari mjini lkn unajiapiza HAKUNA SEHEMU ITAKAYOKUWA NA MCHANGA MKUBWA KUISHINDA KUPITA, unazungumzia mchanga huu unaofagiliwa kwenye lami au unasikia tu mchanga huuelewi?
View attachment 1187534
View attachment 1187547
Pengine suala la kuambiwa kuwa IST yenye fourwheel drive inaperform vizuri kwenye mchanga ndio linakutesa kwa namna unavyoiunderestimate IST. The thing is, size ya gari sio issue, issued ni mechanism. Canter ya 5tonnes na 3490cc itakwama kwenye mchanga ambao Kirikuu yenye fourwheel drive itapita.
Mimi nazungumzia experience ya magari mawili ambayo yote ninayo na ninafanya kazi kwenye mazingira ya michanga, wewe unazungumzia assumption. Hiyo pick up tairi za nyuma ndio zinasukuma at the same time nyuma uzito ni mdogo, ikikutana na mchanga mwingi, tairi za mbele kwa kuwa zenyewe zinasukumwa tu, zinatend kuzama ndani ya mchanga na kwa kuwa uzito mkubwa upo mbele kwenye engine tairi za nyuma zinapata extra load ya kuzikwamua za mbele kwenye mchanga, hapo ndio utajua maana gari imekalia.
Sina hakika kama umeshaendesha gari