Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #181
Huwa napenda kitambo tu, sasa kwakua sahivi nmepata kababy nitaanza mazoezi ya kurudisha gushepu katika hali yake ndo nmeona niunganishe na harakati za kulainisha unoNa sikuhizi hakuna kwenda India, samahani kwa kukuuliza hili swali, "imekuwaje umepata mahitaji ya kujifunza hili jambo, ni shemela amekuwa harudi nyumbani muda muafaka au umekamata msg za kusifia kiuno? Au umepata kazi nje ya nchi? Nimetanguliza samahani lakini.
Aisee mi mzima sana sana namshukuru Mwenyezi MUNGU ananipigania all days,Ha ha ha Monaco hujambo lakini
😀😀😀Aisee mi mzima sana sana namshukuru Mwenyezi MUNGU ananipigania all days,
Kiukweli napenda nipate nafasi hiyo ya kufanya kiuno chako kiwe chepesi nahisi "sitokuangusha" kama "itakupendeza" "ukinitunuku" nafasi hiyo adhimu.then utajifanyia evaluation wewe mwenyewe...
"nakuombea" ili ulitafakari sana wazo langu pata muda meditate..."sikiliza moyo wako",sema na moyo wako,ukipata "ugumu" kwenye kusema na moyo wako rudi kwangu uniulize haraka..."nirekebishe"...mi nilishasema zamani kuwa nataka nikufundishe ili niwe mwalimu mzuri kwako...😀😀😀
Unanilegeza magoti sio
Kay nbona povuTatizo lenu cku hzi mnatuambia tumwage nje mara kondomu ndo maaana viuno vinakaza....mtoto kama ww unatakiwa umwagiwe bao ndani
Bao ni kama lubricant fulan hv, inaenda kulainisha viuno ndani humo
Cku hz wanawake mnatembea ka mnakula cement....mbele haisomi wala nyuma haisomiii.....hatakama mna chura, chura ka amepigwa na shoti ya umeme....ah.
Nikutakie mafunzo mema, ukihitaji msaada mwengine jaribu tena kutushirikisha, ila pia kwa ushauri wangu jaribu kuwaona wacheza show wa bendi kubwa. Jaribu kuweka nao urafiki labda wanaweza kukufunza kidogo.Huwa napenda kitambo tu, sasa kwakua sahivi nmepata kababy nitaanza mazoezi ya kurudisha gushepu katika hali yake ndo nmeona niunganishe na harakati za kulainisha uno
Twerking tu shoga akeUnataka kujua mauno ya kutwerk tuu au pamoja na yale ya juu ya kitanda shoga!??
Gashinaga!!!!Sisi wa kanda ya ziwa, wala hakunaga mbwembwe nyingi kama za watani zetu wa pwani + makonde. Lakini huwa tukikutana nazo huwa tunamalizia hapo pesa za ng'ombe wote tuliokuja kuwauza hapa Dar.
Loooh kumbe ndo anampa h/work hvyTokea umpate GuDume naona unajitahidi kujifunza kila aina ya style!!
Hahahaaa, hemu webajaga akampango nakawone akankimbili umoo kalii ehaha tamuu. Ikubela sana, hahahaaGashinaga!!!!
Lekaga niitaidi lolo
Ikubela 😀😀Hahahaaa, hemu webajaga akampango nakawone akankimbili umoo kalii ehaha tamuu. Ikubela sana, hahahaa
[emoji13] [emoji13] [emoji13] sio espy huyo?Watu tumekulia mazingira tofauti... kuna binti mmoja hawa majirani zangu nikawa namlazimisha twende twende anaona aibu siku nikamlazimisha.
Daah kufika kwenye kucheza nilichoka anazungusha mwili mzima basi hadi ifike saa 7 anavuja jasho kama yupo kiwandani.