Jinsi ya kufanya kiuno kigumu kiwe laini

Huwa napenda kitambo tu, sasa kwakua sahivi nmepata kababy nitaanza mazoezi ya kurudisha gushepu katika hali yake ndo nmeona niunganishe na harakati za kulainisha uno
 
Ha ha ha Monaco hujambo lakini
Aisee mi mzima sana sana namshukuru Mwenyezi MUNGU ananipigania all days,
Kiukweli napenda nipate nafasi hiyo ya kufanya kiuno chako kiwe chepesi nahisi "sitokuangusha" kama "itakupendeza" "ukinitunuku" nafasi hiyo adhimu.then utajifanyia evaluation wewe mwenyewe...
 
😀😀😀
Unanilegeza magoti sio
 
😀😀😀
Unanilegeza magoti sio
"nakuombea" ili ulitafakari sana wazo langu pata muda meditate..."sikiliza moyo wako",sema na moyo wako,ukipata "ugumu" kwenye kusema na moyo wako rudi kwangu uniulize haraka..."nirekebishe"...mi nilishasema zamani kuwa nataka nikufundishe ili niwe mwalimu mzuri kwako...
Usikubali uendelee kiuno kuwa kigumu kamwe...kataa hiyo nafsi ya "kushindwa"
usipingane na nafsi yako please...
 
Kay nbona povu
 
Unataka kujua mauno ya kutwerk tuu au pamoja na yale ya juu ya kitanda shoga!??
 
Huwa napenda kitambo tu, sasa kwakua sahivi nmepata kababy nitaanza mazoezi ya kurudisha gushepu katika hali yake ndo nmeona niunganishe na harakati za kulainisha uno
Nikutakie mafunzo mema, ukihitaji msaada mwengine jaribu tena kutushirikisha, ila pia kwa ushauri wangu jaribu kuwaona wacheza show wa bendi kubwa. Jaribu kuweka nao urafiki labda wanaweza kukufunza kidogo.
 
Sisi wa kanda ya ziwa, wala hakunaga mbwembwe nyingi kama za watani zetu wa pwani + makonde. Lakini huwa tukikutana nazo huwa tunamalizia hapo pesa za ng'ombe wote tuliokuja kuwauza hapa Dar.
 
Sisi wa kanda ya ziwa, wala hakunaga mbwembwe nyingi kama za watani zetu wa pwani + makonde. Lakini huwa tukikutana nazo huwa tunamalizia hapo pesa za ng'ombe wote tuliokuja kuwauza hapa Dar.
Gashinaga!!!!
Lekaga niitaidi lolo
 
Nenda uswaz aisee, lazima kuna mafundi kule. Mi ntakukuja kukufanya asesimenti kama utakidhi nakuajiri kwenye Singeli
 
Kuna kitu kinaitwa yoga kinasaidia.... Ila kama kutwerk weka mzki lala kitandani anza kufuatisha midundo...anza na Slow Songs!!ukizoea anza ukiwa umesimama kwa kufuatisha midundo ya wimbo unaoupenda na unaokupa Mzuka!!
Angalia Yoga pie you tube
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] sio espy huyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…