Jinsi ya kufungua codes za SIRI zilizoandikwa katika kitabu kiitwacho Biblia/ Neno la Mungu

πŸ˜„ sawa
 
Spirituals?????
Hapa ndio unazidi kujipambanua jinsi fuvu lilivyojaa tope na kinyesi
Siku zote mtu mjinga na asiyejua kitu hujidhihilisha kwenye kushindwa kujenga hoja na kuishia kutukana hovyo,
Kama ungekua mwelewa hilo ungelitambua mapema na kurekebisha error na kulitolea ufafanuzi hapa inadhihilisha wewe ndugu yangu ni zero brain,hujui kujenga hoja ila unapayuka kama kahaba kanyimwa ujira hivyo napenda kukupa taarifa utaondoka kama ulivyokuja kingine kubali hujui tu kwani kama hujui si unafundishwa kuliko kujifanya mjuaji na hujui?
😁
 
Ni kweli umenielewa au umeamua yaishe?
Sema neno tueleweshane haya mambo ya dini
Kuna siku nilisha kuambia usipo fanya tafakuru ya kina utaendelea kubakia cheap labour 😁 ,unatakiwa uvuke hiyo level.
 
Kuna siku nilisha kuambia usipo fanya tafakuru ya kina utaendelea kubakia cheap labour 😁 ,unatakiwa uvuke hiyo level.
Mimi sio cheap labour!
Naamini Mungu yupo na dini yangu ni upendo.
 
Nipen andiko ukristo n dini?yesu mungu?alaf nipen logic ya neno mungu na yesu.
 
Biblia haina cha code wala nini ukisikia mtu anakuambia eti ina code jua anakupeleka chocho akakupige za uso , ipo wazi na inaeleweka kuliko hata kitabu cha ngoswe penzi tovu la uzembe.
 
Ahsante mtumishi.

Mwanzo 40:8 - Kutafsiri ni kazi ya Mungu .
 
Mkuu Rabbon

Kadri watu Wanavyo zidi kujiuliza maswali kujihusu Wao na ulimwengu ,ndio bible inaonekana ni kitabu cha uongo.

Bible imeficha Historia ya binadamu Kwa makusudi , Hata Historia ya yesu Tu πŸ˜‚ nayo imeficha,haieleweki,

Bible Sio kitabu kilichotoka Kwa Mungu .

RC walimfanyia Galileo ujambazi mpaka kumuua ,
Lakini Leo hii ulaya nzima , wanaadhimisha na kumtambua Galileo kwenye sayansi.
Chombo na kituo cha Anga za mbali cha ulaya kimepewa jina la Galileo.

Ni wapi yesu katumika kwenye mafanikio ya kisayansi , Kwa kuwa yy si Mungu angetakiwa kwenye kila idara atuonyeshe na kutupa Elimu.
 
RIPAKASI
 
Unazidi kuukalia!
Kuonyesha unaamini haya maupupu maana yake wewe mbulula
Bado akili imejaa tope, huna uwezo wa kujitambua mpaka unaendeshwa na vitu vya kusadikika
Hahaha una ushahidi ya kwamba hivi ni vitu vya kusadikika?
Au na wewe unaingia kundi hilo hilo la mambulula maana kama unajua kuna vitu vya kusadikika umejuaje kusadikika kuna exist?
Toka nje ya box!
 
ila ,dah!kwa hiyo lugha ya kunena hafundishwi mtu?huwa inakuja tu automatic?..sio wanapandisha mapepo halfu wanaongea maneno yasiyoeleweka halfu mnasema roho mtakatifu ameshuka...Mimi akili yangu haujaona ukweli wa hili natamani mtu aniaminishe kwa uwazi kuwa sio mapepo bali roho mtakatifu?na roho mtakatifu kwa nini isiongee lugha ambayo wote tutaelewa anasema nini?mpaka aongee maneno yasiyoeleweka ili iweje sasa?ROHO MTAKATIFU ANACHAGUA LUGHA YA KUZUNGUMZA NA WACHACHE NDIO WAELEWE??MASWALI NI MENGI SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…