Jinsi ya kufungua codes za SIRI zilizoandikwa katika kitabu kiitwacho Biblia/ Neno la Mungu

Jinsi ya kufungua codes za SIRI zilizoandikwa katika kitabu kiitwacho Biblia/ Neno la Mungu

Ni Kweli, HEKIMA za Mungu hazichunguziki,

Pia Mungu ametutaka tumtafute na kumjua Kwa bidii Kwa kusoma neno na kulitafakari mchana na usiku.

Asemapo hachunguziki, amaanisha kumchunguza na kumtafuta Kwa kutumia akili za kibinadamu bila kuomba kufundishwa na Yeye mwenyewe kupitia Roho mtakatifu.

Ubarikiwe 🙏
Ukiwa Roho mtakatifu atakuonyesha kile pekee Mungu anachoruhusu wewe ukijue na ni kwasababu maalumu. Kila mtu anapewa uwezo flan ili kwa nafasi hiyo umfae mwingine mwenye uwezo mwingine. Huwez kupewa vyote kwa wakat mmoja.
 
Nimerudia kusoma nilichoandika,

Nimegundua Si Mimi Wala akili ZANGU zilizonipa kuandika niliyoandika,

Bali ni Kwa uwezo wa Mungu kupitia Roho MTAKATIFU.

Mungu awabariki wote wasomao Ili wasibaki kama walivyo kupitia thread hii.

Amen
 
Ukiwa Roho mtakatifu atakuonyesha kile pekee Mungu anachoruhusu wewe ukijue na ni kwasababu maalumu. Kila mtu anapewa uwezo flan ili kwa nafasi hiyo umfae mwingine mwenye uwezo mwingine. Huwez kupewa vyote kwa wakat mmoja.
Ni Kweli,

Huwezi pewa vyote na kujua vyote,

Nami sijui yote, niyajuayo ni Kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Ndio maana tunasoma na kusikiza preaching na mafunuo ya wengine kadri walivyofunuliwa Ili kuongeza ufahamu na Maarifa zaidi na zaidi.

Ndugu kitali andika pia threads tujifunze Toka kwako maana naamini nawe umepewa vitu vizuri vya kuwajenga wengine.

Ubarikiwe.
 
Sio biblia tu inayoleta mkanganyiko au isiyoeleweka kwa watu wote

Mahesabu pia yanahitaji mtu mwenye uelewa kuyaelewa na kuwafundisha wengine waelewe na bado sio wote wanaozielewa hesabu

Vitu makini vyote vinawekwa kwa codes ili wajanja wanyanyue maarifa

Soma bible usipoelewa sehemu omba usaidizi wa roho mtakatifu au wa watumishi wa kweli wa bwana
Zimefichwa Ili ukisoma bila msaada wake ,usome lakini usielewe.
 
Bangi zipigwe tu marufuku kwakweli
 
Naona nisikukabe sana hapo, huna jibu la maandiko, unaanza porojo zako binafsi. Maswali yangu yamelenga kukufikirisha vizuri, majibu unayoyapata ukijifikiria si lazima uyaweke wazi.

Yesu alitumwa na nani?
Una lengo la kumfikirisha au kumtoa alipo.
 
Back
Top Bottom