Jinsi ya kufungua codes za SIRI zilizoandikwa katika kitabu kiitwacho Biblia/ Neno la Mungu

Ukiwa Roho mtakatifu atakuonyesha kile pekee Mungu anachoruhusu wewe ukijue na ni kwasababu maalumu. Kila mtu anapewa uwezo flan ili kwa nafasi hiyo umfae mwingine mwenye uwezo mwingine. Huwez kupewa vyote kwa wakat mmoja.
 
Nimerudia kusoma nilichoandika,

Nimegundua Si Mimi Wala akili ZANGU zilizonipa kuandika niliyoandika,

Bali ni Kwa uwezo wa Mungu kupitia Roho MTAKATIFU.

Mungu awabariki wote wasomao Ili wasibaki kama walivyo kupitia thread hii.

Amen
 
Ukiwa Roho mtakatifu atakuonyesha kile pekee Mungu anachoruhusu wewe ukijue na ni kwasababu maalumu. Kila mtu anapewa uwezo flan ili kwa nafasi hiyo umfae mwingine mwenye uwezo mwingine. Huwez kupewa vyote kwa wakat mmoja.
Ni Kweli,

Huwezi pewa vyote na kujua vyote,

Nami sijui yote, niyajuayo ni Kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Ndio maana tunasoma na kusikiza preaching na mafunuo ya wengine kadri walivyofunuliwa Ili kuongeza ufahamu na Maarifa zaidi na zaidi.

Ndugu kitali andika pia threads tujifunze Toka kwako maana naamini nawe umepewa vitu vizuri vya kuwajenga wengine.

Ubarikiwe.
 
Zimefichwa Ili ukisoma bila msaada wake ,usome lakini usielewe.
 
Bangi zipigwe tu marufuku kwakweli
 
Naona nisikukabe sana hapo, huna jibu la maandiko, unaanza porojo zako binafsi. Maswali yangu yamelenga kukufikirisha vizuri, majibu unayoyapata ukijifikiria si lazima uyaweke wazi.

Yesu alitumwa na nani?
Una lengo la kumfikirisha au kumtoa alipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…