Mie ntakupigia kukusalimia. Kumbe umepotelea mndenyi kusaka dawa! Ni kikombe?
Inamfaa sana wema sepetu.
Ni ile michirizi wengine wanaiita 'ya utamu'?
mi ni mchanganyiko wa bidhaa tatu.
Habari njema,, wale wenye hili tatizo tafadhari tuwasiliane kwa no: 0755557094. Dawa ipo tuwasiliane. akhsante.
Nini hiyo, sabuni ya moon toka china? Angalia usiumize watu na kemikali mama
Ni ile michirizi wengine wanaiita 'ya utamu'?
kuna ya asili, kuna ya kutokana na madawa, kuna ya
baada ya kutoka kupata mtoto na kitu kama hicho
ya ze utamu inategemea mtu anavyotaka mwenyewe.
Tutakutafuta mzee maana nyumba ndogo yangu inamichirizi ya baada ya uzazi yenye jina langu.
Mamndenyi huu uzi nimeutafuta baada ya kuwa nimetumiwa SMS jana kuhusu muda.Poa mkuu, karibu.
Mamndenyi huu uzi nimeutafuta baada ya kuwa nimetumiwa SMS jana kuhusu muda.
Watu bado wana doubt nadhani hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa products nyingi zenye chemicals halafu hata hazitibu!
Hii ya kwako inapunguza au inaondoa kabisa na ni kwa muda gani??
Unaweza kutumia asali, pia ukitaka matokeo ya haraka zaidi waweza kuwa unajipaka mkojo wako wa asubuhi kila siku kwa wiki moja.
Unakaa na mkojo kwa muda wa dakika kumi kisha unaoga
Unaweza kutumia asali, pia ukitaka matokeo ya haraka zaidi waweza kuwa unajipaka mkojo wako wa asubuhi kila siku kwa wiki moja.
Unakaa na mkojo kwa muda wa dakika kumi kisha unaoga