Nnayo Ndo maana nimesikitishwa na kauli yako kumbe mume anaweza kupoteza hamu kisa stretch mark
Hiyo ni ya .....kama mwanaFA alivyo sema[emoji4]Haya hyo hapo mkuu
Kwani inakaaga nyuma ya goti Tu? Yangu haiko nyuma ya goti
Kwanza wao wenyewe hawaipendi kabisawengine wagonjwa sio kila mwenye mistari hiyo ni mautamu
Weka pichami nnayo unene na minyama uzembeee!
Chipsi mayai hizoMiaka 10 iliyopita kukutana na mtu mwenye michirizi ilikuwa adim axaiv hali ni mbaya unadhani ni kwa nini?
ipo wapKwani inakaaga nyuma ya goti Tu? Yangu haiko nyuma ya goti
Ilikuwepo ila walikuwa wanavaa vizuri kuistiri miili yao kuiona ilikuwa ngumu saiv uvaaji umekuwa changamotoMiaka 10 iliyopita kukutana na mtu mwenye michirizi ilikuwa adim axaiv hali ni mbaya unadhani ni kwa nini?
let mpya mkuu!!!!Watu mmezoea kuona visigino vilivyopasuka kwa kukesha mashambani, visigino vinavyochana shuka lazma uone ajabu hito michirizi ya utamu. Fanyeni haraka safari ya dodoma mji dar waachieni wenyewe
Inaashiria unene. Kama wewe ni mwembamba basi ipo siku utanenepa.nashangaa kwangu boni ninayo halaf ipo sehemu nyingi tu ila nataka kujua ina maana gani
bora aisee ninavyopenda uneneInaashiria unene. Kama wewe ni mwembamba basi ipo siku utanenepa.