Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Nnayo Ndo maana nimesikitishwa na kauli yako kumbe mume anaweza kupoteza hamu kisa stretch mark


Pole mkuu. Ila usiogope kuna wengine wanaipenda sana hii kitu. Watu tunatofautiana. Pia kuna mambo mengi kwenye ndoa ambayo yanaweza kupoteza hamu kama kauli, uzembe kwenye mechi, uchafu, kufanya vitu kwa mazoea na mengineyo. Cha muhimu ni mawasiliano tu na mambo yanakwenda.
 
wengine wagonjwa sio kila mwenye mistari hiyo ni mautamu
 
Kuna michirizi ya utamu na kuna mengine mibaya na yakuogopesha utazan mwenye miwaya..!
 
Hata Mimi mkuu kwenye migegedo nayakuta sana haya machirizi ila mm huwa natafuna tuh mbele kwa mbele
 
Miaka 10 iliyopita kukutana na mtu mwenye michirizi ilikuwa adim axaiv hali ni mbaya unadhani ni kwa nini?
Ilikuwepo ila walikuwa wanavaa vizuri kuistiri miili yao kuiona ilikuwa ngumu saiv uvaaji umekuwa changamoto
 
Watu mmezoea kuona visigino vilivyopasuka kwa kukesha mashambani, visigino vinavyochana shuka lazma uone ajabu hito michirizi ya utamu. Fanyeni haraka safari ya dodoma mji dar waachieni wenyewe
let mpya mkuu!!!!

hiyo safari ni lini kwa kukisia?
 
Hiyo makitu mi nikiona uwa inanikata handasi kabisa,

Ata demu awe mkali vipi akiwa na hiyo makitu mi hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…