Uncle anajua upo hapa aunt?Mkuu hamna mwanaume anaejishusha kuwa hajui kutumikia hilo tendo. Basi tu hatuwezagi kuwajaribu kuona kama kweli yaliyomo yamo. Ila ukifanya vizuri lazima usumbuliwe kwa simu na msg kuhakikisha hakuna mwingine anakula hizo raha
Heee. Hongereni kwa kuaminiana [emoji6]we mtoto ina maana umeanza kumlindia anko wake mali zake sio? Sema anko wako tunaaminia hana shida na hili [emoji6] [emoji6]
I like youkwa Kiingilishi inaitwa 'stretch marks', kama jina linavyojieleza inasababishwa na ngozi kutanuka kwa mimba au unene.
Naam ya mkorogo ndo mbaya lakini ya asili mikono hukimbiloa hukoNa me naona
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeiona wapi???Naam ya mkorogo ndo mbaya lakini ya asili mikono hukimbiloa huko
Na amini unayo
Ukiona mtu anasema asante kabla hajakaribishwa ujue njaa imemzidi mkaribishe kama hotojali[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeiona wapi???
You are most welcome[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukiona mtu anasema asante kabla hajakaribishwa ujue njaa imemzidi mkaribishe kama hotojali
Natumai umenielewa
Raha ya wakubwa ndo hiiYou are most welcome[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nampenda sana mwanamke mwenye stretch markUkiona michirizi ujue kitu natural hicho.
Usipate taabu mimi napenda watu kma weweAlaa.
Me ndio ninayo km hii. Inanikera hadi kutumia dawa ila haitoki.
Haya ni mabaka cio michiriziutamu mtupu huo....
Mbona wanaume hawana kma fact ni chakulaWala siyo vipodozi bali kitaalam husababishwa na abruptly aging of the skin ambayo husababishwa na kutokunywa maji kwa wingi pamoja na ulaji wa vyakula vibovu na visivyorutubisha ngozi kama vile chips yai, pilau, wali, sembe e.t.c. Vyakula hivi ndo ambavyo huzeesha ngozi upesi na kusababisha michirizi hiyo.Michirizi ni matokeo ya abruptly skin aging!....ila pia kuna vipodozi ambavyo huwa vinazeesha ngozi haraka na kusababisha michirizi hiyo ila siyo common sana ukilinganisha na vyakula
hahahaha..... mzee wa KA.TAHuyo kwa avatar yako ni nani mbona mlafi hivo anakunywa kunywa vitu asivyovijua
Mzoefu wa wanaume ehhh? Umechunguza wangapi?Na wanaume wanayo pia. Haswa sehemu za kwenye makwapa. Mngetuambia na nyie inatokana na nini?