Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Mkuu hamna mwanaume anaejishusha kuwa hajui kutumikia hilo tendo. Basi tu hatuwezagi kuwajaribu kuona kama kweli yaliyomo yamo. Ila ukifanya vizuri lazima usumbuliwe kwa simu na msg kuhakikisha hakuna mwingine anakula hizo raha
Uncle anajua upo hapa aunt?
Cc Daby
 
1cda41debd9cc30c05e30893e5f913f3.jpg
utamu mtupu huo....
Haya ni mabaka cio michirizi
 
Wala siyo vipodozi bali kitaalam husababishwa na abruptly aging of the skin ambayo husababishwa na kutokunywa maji kwa wingi pamoja na ulaji wa vyakula vibovu na visivyorutubisha ngozi kama vile chips yai, pilau, wali, sembe e.t.c. Vyakula hivi ndo ambavyo huzeesha ngozi upesi na kusababisha michirizi hiyo.Michirizi ni matokeo ya abruptly skin aging!....ila pia kuna vipodozi ambavyo huwa vinazeesha ngozi haraka na kusababisha michirizi hiyo ila siyo common sana ukilinganisha na vyakula
Mbona wanaume hawana kma fact ni chakula
 
Back
Top Bottom