ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
Ngoja nakutumia pmNaingoja...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nakutumia pmNaingoja...
pitishia na kwangu piaNgoja nakutumia pm
Michirizi ya kuzaa kwa kiasi kikubwa unakuta ni ya ukooMwingine anapata michirizi baada ya kuzaa, ila zamani mtu anazaa watoto 7 ila humkuti hata na kimstari kimoja.
Wapo wanaopaka baby care na wana michirizi.
Mmh ntakataa kwetu wote hawana michirizi ya uzazi, ila mimi ninayo tumboni ingawa si mingi. Na sijawai tumia cream hata siku moja ila parachute imenisaidia sana kuipunguza.Michirizi ya kuzaa kwa kiasi kikubwa unakuta ni ya ukoo
Usijali nitakupatiA piapitishia na kwangu pia
Parachute? Kivipi?Mmh ntakataa kwetu wote hawana michirizi ya uzazi, ila mimi ninayo tumboni ingawa si mingi. Na sijawai tumia cream hata siku moja ila parachute imenisaidia sana kuipunguza.
Mafuta ya nazi ya parachute, unapaka kwa siku mara 2. Ndani ya mwezi tu unaona mabadiliko makubwa.Parachute? Kivipi?
LooohUkhuty tuonyeshe tuamini
Utajuta leo[emoji23][emoji23][emoji23]Loooh
OkMafuta ya nazi ya parachute, unapaka kwa siku mara 2. Ndani ya mwezi tu unaona mabadiliko makubwa.
Mkuu ushaharibu, mpaka sasa hivi bila bilapitishia na kwangu pia
Siamini mpaka pichamimi nna michirizi kibao
niliacha kutafuta dawa badala ya baby kusema anaipenda
saivi nmeiacha nishasahau kama nna michirizi
Kwahiyo wale wengine ipo mpaka kwenye makalio na mapajani, wanapaka machemical huko?michirizi inasababishwa na mavipodozi yenye machemical mabaya paka zako nazi uone kama utapata mchirizi
mi nitajuajae jamani?Kwahiyo wale wengine ipo mpaka kwenye makalio na mapajani, wanapaka machemical huko?
Yaani hawaambiwi kitu duuUtajuta leo[emoji23][emoji23][emoji23]