Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
LOLMm mtu aliyejichubua huwa sitaki kuona hata paja lake maana najua nitakutana na michirizi isiyovutia kama hii...ni sawa na kuangalia nyama iliyo buchani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LOLMm mtu aliyejichubua huwa sitaki kuona hata paja lake maana najua nitakutana na michirizi isiyovutia kama hii...ni sawa na kuangalia nyama iliyo buchani
Yap inavutiaaInavutiaga sana...
Tumia vyakula vifuatavyo kwa wingi:Maziwa fresh, maziwa mgando, asali, mboga za majani, matunda, vyakula vya mizizi(tangawizi, majimbi,mihogo,viazi vitamu, viazi mviringo e. t. c),ugali dona,juice za mboga za majani,uji wa lishe,chapati zenye mafuta kidogo,kunywa maji mengi kwa siku(3 litres),pendelea kula vyakula vibichi kwa wingi kwa vile vyakula vinavyofaa kuliwa vibichi kama vile mihogo,nyanya, karoti e. t. c bila kusahau kufanya mazoezi kwa wingi!Sasa kama vyakula hivi vinasababisha kuzeeka haraka,ttumie vyakula gani walau kuzuia hilo lisitokee mapema japo litakuwepo tu
Duuh,nitajaribu ila ni ngumu kidogo kuacha nyama kavu aiseeTumia vyakula vifuatavyo kwa wingi:Maziwa fresh, maziwa mgando, asali, mboga za majani, vyakula vya mizizi(tangawizi, majimbi,mihogo,viazi vitamu, viazi mviringo e. t. c),ugali dona,juice za mboga za majani,uji wa lishe,chapati zenye mafuta kidogo,kunywa maji mengi kwa siku(3 litres)
Kula kwa kiasi kidogo kabisa vitu vifuatavyo au acha kabisa:Wali, pilau,sembe, nyama, soda, bia, sukari ya chai, chumvi,juice za madukani, vyakula vya supermarket, chips yai, vyakula vya kurost/kukaanga kwa mafuta mengi,mayai ya kizungu!
Nyama kavu ndo killer namba moja!Duuh,nitajaribu ila ni ngumu kidogo kuacha nyama kavu aisee
Unashindwa hata kunyonya paja bwana
Poa nitaacha haina shida mkuu kwn nyama kitugani bwana,ila ubarikiwe sanaNyama kavu ndo killer namba moja!
Nyingine ni sifa ujueJamaniiiiii mbona mnapenda kutuchambua?? Mbn yenu pia tunayajua lkn hatusemi?? Tuheshimuni bac na nyie pia mnayo iyo michirizi.
Hahahahahaaaaaa.. mkuu wewe ndo wale mnanyonya mpaka vidole vya mguu nini???Unashindwa hata kunyonya paja bwana
Kama hutojali, nitajie dau la kuja nalo! Dollars au tsh?Alaa.
Me ndio ninayo km hii. Inanikera hadi kutumia dawa ila haitoki.
Kuna wanaume wanayayo au unafanya masihara tuJamaniiiiii mbona mnapenda kutuchambua?? Mbn yenu pia tunayajua lkn hatusemi?? Tuheshimuni bac na nyie pia mnayo iyo michirizi.
Na me naonaNyingine ni sifa ujue
Acha kujifanya hupendi hizo mambo wwHahahahahaaaaaa.. mkuu wewe ndo wale mnanyonya mpaka vidole vya mguu nini???
Mbona wanayo, unajua ile inatokana na unene most of the time? Ukinenepa tu ndo inakuja na ss wanawake ukizaa inakuja hasa tumboni na kwenye kiuno.Kuna wanaume wanayayo au unafanya masihara tu
Mkuu kuna asiependa kufanyiwa kitu kinachompa utamu??Acha kujifanya hupendi hizo mambo ww
Mm huwa nafanya ukaguzi kila sehem unapoamua kufanya mapenzi inabidi uwe kamili uhakikishe unampa mtu raha hakai dakika 15 hajatuma msgMkuu kuna asiependa kufanyiwa kitu kinachompa utamu??
Mkuu hamna mwanaume anaejishusha kuwa hajui kutumikia hilo tendo. Basi tu hatuwezagi kuwajaribu kuona kama kweli yaliyomo yamo. Ila ukifanya vizuri lazima usumbuliwe kwa simu na msg kuhakikisha hakuna mwingine anakula hizo rahaMm huwa nafanya ukaguzi kila sehem unapoamua kufanya mapenzi inabidi uwe kamili uhakikishe unampa mtu raha hakai dakika 15 hajatuma msg