Jinsi ya kuifunga Yanga ya Gamondi

Hii ni ela kwako ndugu mchambuzi, nenda kwa kila klabu waambie kuwa una mbinu ya kuifunga Yanga. Kisha kwenye mechi dhidi ya Yanga wewe ndio uwe sehemu ya mtengeneza mipango ya ushindi na uwaambie kabisa ukishinda wakupe nini na ukifungwa wakufanye nini. Kuna mechi 30 zitakazochezwa dhidi ya Yanga, kama kila mechi utalipwa 200,000 mfano basi kwa mechi 30 una 6,000,000/= nenda kaombe kibarua cha kukabiliana na Yanga. Kama unaona mpira ni kama hesabu za kuhesabu na vidole.
 
Ukitaka kuifunga Yanga msimu huu,hakikisha unaanza mechi DAKIKA 45 kabla ya muda kamili..
Yaani mechi ikianza saa moja jion wewe Anza mechi saa 12 cheza peke Yako funga magoli ya kutosha...mechi ikianza uwe unaongoza GOLI 5 hivi
[emoji23][emoji23]
 
Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, wiki 2 kabla ya mechi nyang'anya simu wachezaji wenu au kama kuna uwezo monitor mawasiliano yao yote. Kinga ni bora kuliko tiba.


Ndugu mtoa post naomba ufafanuzi kidogo kwenye hayo maelezo yako hapo juu. Kwanini wachezaji wachukuliwe simu zao tena wiki mbili kabla ya kucheza na Yanga?
 
Swali, kwann kwenye mechi ya Ngao huyo Robertinho alishindwa kuikabia Yanga juu? Muda wote team ikawa nyuma inazuia??
 
Mimi naomba kuuliza ndugu zangu, kwani anaefanya uchambuzi Yanga na kujua mchezaji huyu anafaa kucheza vizuri ni nani natamani tu kumjua maana anatisha. Haiwezekani unatuletea mtu kama Max kakijana kadogo kwanza hakana jina kubwa ila mechi mbili tu tumewasahau akina Chama na mmakonde, mtu kama Yao kweli ndio anatukomesha hivi
 
Safari ndiyo imeanza
 

Attachments

  • D0FD1DD1-BDC1-4098-A3BD-2A889E615D0C.jpeg
    97.6 KB · Views: 10
Swali, kwann kwenye mechi ya Ngao huyo Robertinho alishindwa kuikabia Yanga juu? Muda wote team ikawa nyuma inazuia??
Sina uhakika kama unalosema ni sahihi ila wakati mwingine kocha anaamua kutumia mbinu tofauti na unayoitegemea. Ni sehemu ya kumvuruga mpinzani wako.
 
Hesabu zako zimekaa kama zile za kuuza matikiti ili uwe bilionea.
 
Kuepuka hujma zozote zinazoweza kufanyika. Kama nilivyomalizia "kinga ni bora kuliko tiba"
 
Point nzuri nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa ila hizi timu hazikukaa nyuma kihivyo. Wangepaki basi tusingeona Yanga wakiwa na uhuru vile kupenya katika ngome zao. JKT walikuwa wanacheza mpira wa wazi ila wa kukamia.
 
Kuifunga Yanga ya sasa na kuondoka na Ushindi ni jambo gumu sana

Labda itokee katimu kabahatishe kuifunga kwa Penalties kama ilivyotokea kwa Simba na kipa wao wa kutokeza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngao imebebwaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na bado mkakosa Ngao. Woiiiih
 
Makolo wajipange sana wakija hovyo wanapigwa 8 otherwise watakula Mkono.
Ngao mliporwaa juzi tyuuh hapa, 2012 tuliwashona 5 kwa bila, had leo hamjalipaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnajifarijiiii woiiiih
 
Hayo hayatoshi kama ndani ya uwanja unafanya makosa ya msingi huku kocha amebaki kujikunyata kwenye benchi ameshika kichwa tu
Kwenye makocha waimarishe pia,Gamondi huwezi fananisha na kocha km Jkt Tanzania, Ki mbinu ,ki exposure ,

Hata maandalizi yao ya kambi ni tofauti
 
Ujawaambia wamkabe nani😅

Yaoyao
Pacome
Max
Key
Mudathiri
Aucho
Musonda
Mzinze
Konkoni ..
Utawachagulia wakumkaba afu uwalete wapigwe holaaaa 5
Hapo bila mbinu na uwezo lzm muonekane vibonde
 
Afu asijue YaoYaoo na max lasivyo wanakupiga 10 ukimtoa 5 unabaki na 5G
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…