Jinsi ya kuifunga Yanga ya Gamondi

Jinsi ya kuifunga Yanga ya Gamondi

Maanake haujiamini kuhusu mbinu yako. Kama unajiamini jilipue kaombe kazi ya ukufunzi wa kuifunga Yanga.
Mkeka ulioweka unavutia, ngoja nifanye mambo labda naweza kumalizia banda langu kule Kisemvule kabla mwaka haujaisha. Mechi tatu zinazofuata za Yanga ni zipi nianze mchakato?
 
Mimi naomba kuuliza ndugu zangu, kwani anaefanya uchambuzi Yanga na kujua mchezaji huyu anafaa kucheza vizuri ni nani natamani tu kumjua maana anatisha. Haiwezekani unatuletea mtu kama Max kakijana kadogo kwanza hakana jina kubwa ila mechi mbili tu tumewasahau akina Chama na mmakonde, mtu kama Yao kweli ndio anatukomesha hivi
Mpaka leo scouting team ya Yanga haijulikani, mchambuzi wa nani asajiliwe hajulikani.
Sijui Yanga wamewezaje kutunza siri hii kwa misimu mitatu mfululizo.
 
Nimeshuhudia ASAS Djibouti, KMC na hata JKT wote wakicheza mpira unaofanana walipocheza na Yanga ambao umesababisha wakaadhibiwa vibaya. Leo nitatoa maoni yangu kwa timu zingine zitakazokuja kucheza na Yanga siku, wiki na miezi inayokuja nini wanatakiwa wafanye ili wapate matokeo.

Kwanza punguzeni pasi za kurudisha mipira nyuma (backpasses). Yanga ni timu ambayo sasa hivi inazingatia sana kukaba sana na wanakaba kwa ile filosofia ambayo kocha wa Simba Robertinho amekuwa anaiongelea sana, kukabia kutokea juu. Maana yake timu pinzani zinapata ugumu wa kufikisha mipira hata katikati ya dimba. Tumeshuhudia KMC hawakupiga shuti hata moja on target wala off target langoni kwa Yanga kwa dakika zote 90. Sasa cha kushangaza pamoja na ugumu huu, timu zote hizi zilizofungwa zilikuwa na tabia wanaweza kufika katikati ya uwanja au kunyang'anya mpira kutoka kwa mchezaji wa Yanga, ila badala ya kuongeza pressure kwenda mbele wanarudi nyuma, matokeo yake unashindwa tena kufika hata kati kabla ya kupokonywa mipira. Jana JKT kila walivyokuwa wanarudisha mpira nyuma nilikuwa nasema hawataweza tena kuufikisha tena kati kabla ya kuupoteza na kweli ilikuwa hivyo. Ukiangalia ASAS walipojaribu kupress mwishoni mwa kipindi cha kwanza kama nakumbuka vizuri, kidogo walionekana kusumbua ila hawakuwa na muendelezo huo wakaishia kufanya hayo niliyosema hapo juu. Hili nalisisitiza sana maana ndiyo tatizo sugu.

Pili, acheni kucheza vipasipasi visivyo na maana mkiwa eneo lenu la ulinzi. Focus kwenda mbele haraka inavyowezekana. Afadhali uoshe halafu mpira upotee kwenye final third ya mpinzani kuliko upotee kwenye eneo lenu la ulinzi. Jambo rahisi kulielewa lakini inashangaza timu nyingi zinashindwa kulitekeleza.

Tatu, labda kama timu yako ina wachezaji kama Denis Kibu wanaoweza kupambania mipira mirefu ya juu na kuishinda, epuka kucheza mipira mirefu ya kugombania. Asilimia 98 ya mipira yote mirefu ya JKT ilikuwa inapotea. Cheza mpira wa chini wa kwenda mbele ukzingatia jambo la kwanza nililosema. Kwa kiasi kikubwa inavyowezekana mipira mirefu ya juu labda iwe ya kona, krosi au faulo. Kwa viwanja vya mikoani vyenye milima na mabonde, timu zote mbili zinapata shida kucheza mpira wa chini kwa hiyo mipira mirefu inaweza kutumika.

Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, wiki 2 kabla ya mechi nyang'anya simu wachezaji wenu au kama kuna uwezo monitor mawasiliano yao yote. Kinga ni bora kuliko tiba.

Ila najua haya mawazo wala hayatazingatiwa maana hivi vitimu wala havijitambui. Hivi wewe mchezaji wa Jeshi la Kujenga Taifa unasukumwa na mtu kama Musonda halafu unanyong'onyea?

Kwa sasa unatakiwa uwape mbinu za kupunguza idadi ya magoli
 
Mpaka leo scouting team ya Yanga haijulikani, mchambuzi wa nani asajiliwe hajulikani.
Sijui Yanga wamewezaje kutunza siri hii kwa misimu mitatu mfululizo.
Aisee nahisi kuna mtu ana jicho Kali sana huko na kama ataendelea kuwepo atasumbua sana maana sio kwa kutuletea vyuma vya maana hivi
 
Mpaka leo scouting team ya Yanga haijulikani, mchambuzi wa nani asajiliwe hajulikani.
Sijui Yanga wamewezaje kutunza siri hii kwa misimu mitatu mfululizo.
Aisee nahisi kuna mtu ana jicho Kali sana huko na kama ataendelea kuwepo atasumbua sana maana sio kwa kutuletea vyuma vya maana hivi
Kutambua mchezaji mzuri wala haihitaji jicho kali kama mnavyodhani. Kuna watu wameamua tu kuwaangusha wenzao. Tena Africa hii vipaji vipo tele vya bei chee, ni wewe tu kama uko serious kujipakulia minyama.
 
Nimeshuhudia ASAS Djibouti, KMC na hata JKT wote wakicheza mpira unaofanana walipocheza na Yanga ambao umesababisha wakaadhibiwa vibaya. Leo nitatoa maoni yangu kwa timu zingine zitakazokuja kucheza na Yanga siku, wiki na miezi inayokuja nini wanatakiwa wafanye ili wapate matokeo.

Kwanza punguzeni pasi za kurudisha mipira nyuma (backpasses). Yanga ni timu ambayo sasa hivi inazingatia sana kukaba sana na wanakaba kwa ile filosofia ambayo kocha wa Simba Robertinho amekuwa anaiongelea sana, kukabia kutokea juu. Maana yake timu pinzani zinapata ugumu wa kufikisha mipira hata katikati ya dimba. Tumeshuhudia KMC hawakupiga shuti hata moja on target wala off target langoni kwa Yanga kwa dakika zote 90. Sasa cha kushangaza pamoja na ugumu huu, timu zote hizi zilizofungwa zilikuwa na tabia wanaweza kufika katikati ya uwanja au kunyang'anya mpira kutoka kwa mchezaji wa Yanga, ila badala ya kuongeza pressure kwenda mbele wanarudi nyuma, matokeo yake unashindwa tena kufika hata kati kabla ya kupokonywa mipira. Jana JKT kila walivyokuwa wanarudisha mpira nyuma nilikuwa nasema hawataweza tena kuufikisha tena kati kabla ya kuupoteza na kweli ilikuwa hivyo. Ukiangalia ASAS walipojaribu kupress mwishoni mwa kipindi cha kwanza kama nakumbuka vizuri, kidogo walionekana kusumbua ila hawakuwa na muendelezo huo wakaishia kufanya hayo niliyosema hapo juu. Hili nalisisitiza sana maana ndiyo tatizo sugu.

Pili, acheni kucheza vipasipasi visivyo na maana mkiwa eneo lenu la ulinzi. Focus kwenda mbele haraka inavyowezekana. Afadhali uoshe halafu mpira upotee kwenye final third ya mpinzani kuliko upotee kwenye eneo lenu la ulinzi. Jambo rahisi kulielewa lakini inashangaza timu nyingi zinashindwa kulitekeleza.

Tatu, labda kama timu yako ina wachezaji kama Denis Kibu wanaoweza kupambania mipira mirefu ya juu na kuishinda, epuka kucheza mipira mirefu ya kugombania. Asilimia 98 ya mipira yote mirefu ya JKT ilikuwa inapotea. Cheza mpira wa chini wa kwenda mbele ukzingatia jambo la kwanza nililosema. Kwa kiasi kikubwa inavyowezekana mipira mirefu ya juu labda iwe ya kona, krosi au faulo. Kwa viwanja vya mikoani vyenye milima na mabonde, timu zote mbili zinapata shida kucheza mpira wa chini kwa hiyo mipira mirefu inaweza kutumika.

Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, wiki 2 kabla ya mechi nyang'anya simu wachezaji wenu au kama kuna uwezo monitor mawasiliano yao yote. Kinga ni bora kuliko tiba.

Ila najua haya mawazo wala hayatazingatiwa maana hivi vitimu wala havijitambui. Hivi wewe mchezaji wa Jeshi la Kujenga Taifa unasukumwa na mtu kama Musonda halafu unanyong'onyea?
"Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, wiki 2 kabla ya mechi nyang'anya simu wachezaji wenu au kama kuna uwezo monitor mawasiliano yao yote. Kinga ni bora kuliko tiba." huu ni ugonjwa unaosumbua timu nyingi sana za daraja la kati na chini
 
Kutambua mchezaji mzuri wala haihitaji jicho kali kama mnavyodhani. Kuna watu wameamua tu kuwaangusha wenzao. Tena Africa hii vipaji vipo tele vya bei chee, ni wewe tu kama uko serious kujipakulia minyama.
Kama haihitaji jicho kali, timu nyingine zinakwama wapi kuwapata hao wachezaji?
 
Maanake haujiamini kuhusu mbinu yako. Kama unajiamini jilipue kaombe kazi ya ukufunzi wa kuifunga Yanga.
Timu zote ambazo zina nia ya kuifunga Yanga, someni huu uzi kwa makini maana Wanayanga baada ya kuusoma wanajikojo**** Chezeni kama kina Bacca, Mwamnyeto na Job walivyokuwa wanacheza jana kule Algeria. Pasi mbili mnaosha watajuana mbele kwa mbele ila msiwe na mshambuliaji mzururaji kama Mzize
 
Nimeshuhudia ASAS Djibouti, KMC na hata JKT wote wakicheza mpira unaofanana walipocheza na Yanga ambao umesababisha wakaadhibiwa vibaya. Leo nitatoa maoni yangu kwa timu zingine zitakazokuja kucheza na Yanga siku, wiki na miezi inayokuja nini wanatakiwa wafanye ili wapate matokeo.

Kwanza punguzeni pasi za kurudisha mipira nyuma (backpasses). Yanga ni timu ambayo sasa hivi inazingatia sana kukaba sana na wanakaba kwa ile filosofia ambayo kocha wa Simba Robertinho amekuwa anaiongelea sana, kukabia kutokea juu. Maana yake timu pinzani zinapata ugumu wa kufikisha mipira hata katikati ya dimba. Tumeshuhudia KMC hawakupiga shuti hata moja on target wala off target langoni kwa Yanga kwa dakika zote 90. Sasa cha kushangaza pamoja na ugumu huu, timu zote hizi zilizofungwa zilikuwa na tabia wanaweza kufika katikati ya uwanja au kunyang'anya mpira kutoka kwa mchezaji wa Yanga, ila badala ya kuongeza pressure kwenda mbele wanarudi nyuma, matokeo yake unashindwa tena kufika hata kati kabla ya kupokonywa mipira. Jana JKT kila walivyokuwa wanarudisha mpira nyuma nilikuwa nasema hawataweza tena kuufikisha tena kati kabla ya kuupoteza na kweli ilikuwa hivyo. Ukiangalia ASAS walipojaribu kupress mwishoni mwa kipindi cha kwanza kama nakumbuka vizuri, kidogo walionekana kusumbua ila hawakuwa na muendelezo huo wakaishia kufanya hayo niliyosema hapo juu. Hili nalisisitiza sana maana ndiyo tatizo sugu.

Pili, acheni kucheza vipasipasi visivyo na maana mkiwa eneo lenu la ulinzi. Focus kwenda mbele haraka inavyowezekana. Afadhali uoshe halafu mpira upotee kwenye final third ya mpinzani kuliko upotee kwenye eneo lenu la ulinzi. Jambo rahisi kulielewa lakini inashangaza timu nyingi zinashindwa kulitekeleza.

Tatu, labda kama timu yako ina wachezaji kama Denis Kibu wanaoweza kupambania mipira mirefu ya juu na kuishinda, epuka kucheza mipira mirefu ya kugombania. Asilimia 98 ya mipira yote mirefu ya JKT ilikuwa inapotea. Cheza mpira wa chini wa kwenda mbele ukzingatia jambo la kwanza nililosema. Kwa kiasi kikubwa inavyowezekana mipira mirefu ya juu labda iwe ya kona, krosi au faulo. Kwa viwanja vya mikoani vyenye milima na mabonde, timu zote mbili zinapata shida kucheza mpira wa chini kwa hiyo mipira mirefu inaweza kutumika.

Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, wiki 2 kabla ya mechi nyang'anya simu wachezaji wenu au kama kuna uwezo monitor mawasiliano yao yote. Kinga ni bora kuliko tiba.

Ila najua haya mawazo wala hayatazingatiwa maana hivi vitimu wala havijitambui. Hivi wewe mchezaji wa Jeshi la Kujenga Taifa unasukumwa na mtu kama Musonda halafu unanyong'onyea?
Hapo kwenye kunyang'anya simu wachezaji umepuyanga na kwa akili yako umepandikiza zile fikra za kwamba wanauza mechi, na sio ubora wa yanga walionao, kama ni ivyo basi kuanzia timu yako ya simba iwe inawanyanga'nya simu wachezaji wake kwa maana ata wao walizidiwa pakubwa na ubora wa yanga pale mkwakwani kabla ya waganga wao wa kienyeji kuwanusuru na kichapo!
 
Umeongea vyema. Ila kwa mtizamo wangu, timu inayoshambulia mwanzo mwisho ni ngumu kuihimili kama na ww hauishambulii kurudisha nyuma wingback zake pamoja na viungo.

Kwa style ya uchezaji wa yanga wa sasa itaimudu pekee timu ambayo ni giant yenye wachezaji wazuri ambao wataweza kupishana na yanga bila shida na kuilazimisha yanga kurudi nyuma ikishambulia kwa kwa umakini.

Mfano Azam aliamua kutumia misuli na miguvu bila akili mwishowe akapasuka. Simba nae aliamua kupak bass huku akisukuma counter attack ingawa yanga alishindwa kupata goli.
Ni kweli Simba ngao ya jamii ilipaki bus lakini ilifungwa magoli 2 yaliyokataliwa.

Wachambuzi wasilolijua ni uwezo wa wachezaji Konkon, Gift Fred na Skudu

Konkon, mshambuliaji wa kati wa Yanga, ni hatari sana kwa mabeki kisiki na atakuwa muhimu kwa Timu kwenye mechi dhidi ya mabeki hodari.

Skudu Makudubela, ni winga hatari na msumbufu sana kwa mabeki wakabaji. Atatumika kumwezesha Konkon kufunga magoli.

Uwezo wa Gift Fred, ni beki ambaye pia atakuwa msaada mkubwa kwenye mechi dhidi ya timu yenye washambuliaji wanaotumia vichwa sana.

Kimsingi, timu ya Yanga imekamilika kwa mifumo ya uchezaji na ina wachezaji wenye vipaji vikubwa na stamina.
 
Ujawaambia wamkabe nani[emoji28]

Yaoyao
Pacome
Max
Key
Mudathiri
Aucho
Musonda
Mzinze
Konkoni ..
Utawachagulia wakumkaba afu uwalete wapigwe holaaaa 5
Hahahahahahahahahahahahahah....
umemfanya afikilie sana na hawezi kupata jibu.

Utasikia mtangaziji anasema aziz k anatoka....mpinzani anasema afadhari atoke aje mwingine..
Unakaa kidogo unatafakali nani sasa huyo mwingine..

Unasikia anaingia max zengeli....
nina uhakika kama unamoyo wa wasiwasi unaanguka na presha.
 
Hahahahahahahahahahahahahah....
umemfanya afikilie sana na hawezi kupata jibu.

Utasikia mtangaziji anasema aziz k anatoka....mpinzani anasema afadhari atoke aje mwingine..
Unakaa kidogo unatafakali nani sasa huyo mwingine..

Unasikia anaingia max zengeli....
nina uhakika kama unamoyo wa wasiwasi unaanguka na presha.
Msitutishe na litimu lenu
 
Kwahyo mnatuchangia mnapeana mbinu hadi JF
Mtasema mbona bado
 
Kuifunga Yanga ya sasa na kuondoka na Ushindi ni jambo gumu sana

Labda itokee katimu kabahatishe kuifunga kwa Penalties kama ilivyotokea kwa Simba na kipa wao wa kutokeza
🤣🤣🤣
 
Nimeshuhudia ASAS Djibouti, KMC na hata JKT wote wakicheza mpira unaofanana walipocheza na Yanga ambao umesababisha wakaadhibiwa vibaya. Leo nitatoa maoni yangu kwa timu zingine zitakazokuja kucheza na Yanga siku, wiki na miezi inayokuja nini wanatakiwa wafanye ili wapate matokeo.

Kwanza punguzeni pasi za kurudisha mipira nyuma (backpasses). Yanga ni timu ambayo sasa hivi inazingatia sana kukaba sana na wanakaba kwa ile filosofia ambayo kocha wa Simba Robertinho amekuwa anaiongelea sana, kukabia kutokea juu. Maana yake timu pinzani zinapata ugumu wa kufikisha mipira hata katikati ya dimba. Tumeshuhudia KMC hawakupiga shuti hata moja on target wala off target langoni kwa Yanga kwa dakika zote 90. Sasa cha kushangaza pamoja na ugumu huu, timu zote hizi zilizofungwa zilikuwa na tabia wanaweza kufika katikati ya uwanja au kunyang'anya mpira kutoka kwa mchezaji wa Yanga, ila badala ya kuongeza pressure kwenda mbele wanarudi nyuma, matokeo yake unashindwa tena kufika hata kati kabla ya kupokonywa mipira. Jana JKT kila walivyokuwa wanarudisha mpira nyuma nilikuwa nasema hawataweza tena kuufikisha tena kati kabla ya kuupoteza na kweli ilikuwa hivyo. Ukiangalia ASAS walipojaribu kupress mwishoni mwa kipindi cha kwanza kama nakumbuka vizuri, kidogo walionekana kusumbua ila hawakuwa na muendelezo huo wakaishia kufanya hayo niliyosema hapo juu. Hili nalisisitiza sana maana ndiyo tatizo sugu.

Pili, acheni kucheza vipasipasi visivyo na maana mkiwa eneo lenu la ulinzi. Focus kwenda mbele haraka inavyowezekana. Afadhali uoshe halafu mpira upotee kwenye final third ya mpinzani kuliko upotee kwenye eneo lenu la ulinzi. Jambo rahisi kulielewa lakini inashangaza timu nyingi zinashindwa kulitekeleza.

Tatu, labda kama timu yako ina wachezaji kama Denis Kibu wanaoweza kupambania mipira mirefu ya juu na kuishinda, epuka kucheza mipira mirefu ya kugombania. Asilimia 98 ya mipira yote mirefu ya JKT ilikuwa inapotea. Cheza mpira wa chini wa kwenda mbele ukzingatia jambo la kwanza nililosema. Kwa kiasi kikubwa inavyowezekana mipira mirefu ya juu labda iwe ya kona, krosi au faulo. Kwa viwanja vya mikoani vyenye milima na mabonde, timu zote mbili zinapata shida kucheza mpira wa chini kwa hiyo mipira mirefu inaweza kutumika.

Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, wiki 2 kabla ya mechi nyang'anya simu wachezaji wenu au kama kuna uwezo monitor mawasiliano yao yote. Kinga ni bora kuliko tiba.

Ila najua haya mawazo wala hayatazingatiwa maana hivi vitimu wala havijitambui. Hivi wewe mchezaji wa Jeshi la Kujenga Taifa unasukumwa na mtu kama Musonda halafu unanyong'onyea?
Ihefu wapewe maua yao
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kuifunga Yanga ya sasa na kuondoka na Ushindi ni jambo gumu sana

Labda itokee katimu kabahatishe kuifunga kwa Penalties kama ilivyotokea kwa Simba na kipa wao wa kutokeza
Wacha weeeee!!!
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom