Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

Free ideas mm wangu hata ukisema muende outing (mostly beach hotels) mtaishia kugombana huko huko. Toka Aprili nilikuwa Sweden kikazi nikarudi wk iliyopita ile tumeanza vizuri tu pale nimekuja jion yake tukapiga sex adimu, tukarudia tena alfajiri. Kufika kwenye saa 5 asubuhi (ilikuwa weekend) akaanza kisirani daah ile hamu yote ya kummis ikapotea. Nimeamua kukaa kimya nafocus kwa watoto tu Ndo furaha yangu iliyobaki. Hapa mke nimeoa *boya flan amazing* haeleweki. Natamani mchepuko ingawa nilijaribu baadhi nao ni pasua kichwa
Mkuu huna tofauti na Mimi
 
Wewe blessings umeoa mchagga au mnyakyusaa.... maana Uzi mwingine ulianzisha umeoa mchagga huku mnyakyusaa.. au unatuzenguaaaa
 
Tumche Mola
 

Attachments

  • 8d991b5e2a07d4ecffec99c401cd559e.jpg
    8d991b5e2a07d4ecffec99c401cd559e.jpg
    23.1 KB · Views: 43
Hakika mleta mada umeleta kitu kizito sana, nimeona na nimejifunza na baadhi ya mbinu ulizoandika nimewahi kuzitumia kweli zimenisaidia. Lazima tukubali wanawake akili zao ni tofauti sana na zetu, na ukitumia ubabe ni kuwaumiza na kuvuruga ndoa
 
Mi wangu ni wakutafuta trouble atashika Simu atachunguza akikosa ataenda kukagua gari akikosa mabag yangu maana mi mtu wa safari akikosa kote ataanzisha na watu tunaoishi nao humu ndani na mkigombana atataka kila mtu ajue au watu wajue tunachogombana
Haha ha ha ha.Aiseee kumbe kuoa ndo shida ivi ?
 
Wakati fulani anakiri kuwa huwa anapata hasira na hajui sababu. Nimechunguza kwao mama yao ni kisirani mpaka kuna Wakati baba mkwe alitaka waachane but watu wa kanisani Moravian-Mabibo wakaingilia kati. Dada mtu nae mtata kwa mume kiasi kwamba (mume mwenzangu=tuliooa nyumba 1 anakuja kwangu kutaka ushauri, akidhani kwangu ni shwari kumbe nakufa na donge langu shingoni kimya kimya) Navuta muda nikishindwa nabwaga manyanga asb na mapema. Watoto nitawahudumia kwa kila kitu
Yani hii case yako imenifurahisha cause kwa mbali inahusiana na yangu. Nliwahi kuwa na bibie wa Kinyakyusa pia na kiukweli alikuwa ananipenda, i could feel it cause hakuwa mtu wakutaka vitu kwangu ila anajitafutia, sasa cha ajabu ni hizo attitude(kisirani), yani from no where anaweza kuanzisha ugomvi bila sababu mf. Anahisi mi natembea na mmoja wa rafiki zake behind her back, yani bila hata evidence ye anahisi tu. Kitu kingine ni kutaka kunicontrol kwa kila move, anachotaka yeye ndo kiwe na mi nikubali tu.
Nlivyomuacha hata ye hakuamini, nna hakika sahv ananichukia sana
 
Mkuu hakika hiyo ni sumu, maneno yanaumba mleta mada kaleta dawa mujarabu sana, kwa watakaoitumia hakika ndoa zitadumu. Tatizo lako unahisi unayo alternative ya mama kwa wanao which at large is very wrong, Lau ukijua thamani ya Ku sacrifice (maana kwa hakika kuyatenda yote aliyoyasema mleta Uzi ni kujitoa muhanga) kwa ajili ya future ya familia na wanao hutojiuliza kuufata ushauri wa mleta mada
Hujakutana na wanawake vichwa maji wewe, hakuna kitu utafanya aelewe.
 
Back
Top Bottom