Mkuu huna tofauti na MimiFree ideas mm wangu hata ukisema muende outing (mostly beach hotels) mtaishia kugombana huko huko. Toka Aprili nilikuwa Sweden kikazi nikarudi wk iliyopita ile tumeanza vizuri tu pale nimekuja jion yake tukapiga sex adimu, tukarudia tena alfajiri. Kufika kwenye saa 5 asubuhi (ilikuwa weekend) akaanza kisirani daah ile hamu yote ya kummis ikapotea. Nimeamua kukaa kimya nafocus kwa watoto tu Ndo furaha yangu iliyobaki. Hapa mke nimeoa *boya flan amazing* haeleweki. Natamani mchepuko ingawa nilijaribu baadhi nao ni pasua kichwa
Hayo makabila mawili ni Shida.Mfanyakazi (msaidizi wa nyumbani) ana busara kuliko mke wangu
Mkuu Blessings mkeo ni mnyakyusa au Mmachame? Au chotara?
Mnyakyusa!!! Natema mate chini. Sijawahi kuona wanawake kibri na jueri kama Mnyakyusa.Hao ndo tabia zao mkuu wana viburi sio vya nchi hii
Mnyakyusa umkosee, usimkosee yeye na kiburi/dharau ni kawaida.duuuuh......jaribu kujua tatizo huenda hata wewe unamkosea.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa kifupi ukitaka uishi na mwanamke kwa amani uwe MNAFIKI.
Mkuu lazima occasionally umdanganye, lazima baadhi ya hizo njia alizoleta mleta mada zitumike, kazi ipoHahahahahahahaha lol! utakufa siku si zako ukiamua kuwa hivi.
Haha ha ha ha.Aiseee kumbe kuoa ndo shida ivi ?Mi wangu ni wakutafuta trouble atashika Simu atachunguza akikosa ataenda kukagua gari akikosa mabag yangu maana mi mtu wa safari akikosa kote ataanzisha na watu tunaoishi nao humu ndani na mkigombana atataka kila mtu ajue au watu wajue tunachogombana
Yani hii case yako imenifurahisha cause kwa mbali inahusiana na yangu. Nliwahi kuwa na bibie wa Kinyakyusa pia na kiukweli alikuwa ananipenda, i could feel it cause hakuwa mtu wakutaka vitu kwangu ila anajitafutia, sasa cha ajabu ni hizo attitude(kisirani), yani from no where anaweza kuanzisha ugomvi bila sababu mf. Anahisi mi natembea na mmoja wa rafiki zake behind her back, yani bila hata evidence ye anahisi tu. Kitu kingine ni kutaka kunicontrol kwa kila move, anachotaka yeye ndo kiwe na mi nikubali tu.Wakati fulani anakiri kuwa huwa anapata hasira na hajui sababu. Nimechunguza kwao mama yao ni kisirani mpaka kuna Wakati baba mkwe alitaka waachane but watu wa kanisani Moravian-Mabibo wakaingilia kati. Dada mtu nae mtata kwa mume kiasi kwamba (mume mwenzangu=tuliooa nyumba 1 anakuja kwangu kutaka ushauri, akidhani kwangu ni shwari kumbe nakufa na donge langu shingoni kimya kimya) Navuta muda nikishindwa nabwaga manyanga asb na mapema. Watoto nitawahudumia kwa kila kitu
Hujakutana na wanawake vichwa maji wewe, hakuna kitu utafanya aelewe.Mkuu hakika hiyo ni sumu, maneno yanaumba mleta mada kaleta dawa mujarabu sana, kwa watakaoitumia hakika ndoa zitadumu. Tatizo lako unahisi unayo alternative ya mama kwa wanao which at large is very wrong, Lau ukijua thamani ya Ku sacrifice (maana kwa hakika kuyatenda yote aliyoyasema mleta Uzi ni kujitoa muhanga) kwa ajili ya future ya familia na wanao hutojiuliza kuufata ushauri wa mleta mada