Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

We ndo mshamba wa Kinyakyusa toka Mwakaleli unaeona ajabu mtu kwenda Sweden. Nimechoka na tambo zenu huyo dada yako namrudisha ili mjifunze[/QUOTtE]hahaaahaaaaas sawa mwakaleli mwenzangu wewe naona ni mzungu kabisa,......mwakaleli oyerrrrrrrr
 
tatizo hatutaki unafiki kumsifia kumbe sio hiyo ndio mbaya
 
Mkuu,baada ya kufkia pointbya kuongea na mama yake imenib niishie tu hapo maana dah,nahis ata zitakaxofuata zitakuwa kama hiyo,kuwa na.mazoea kias cha kucheka na mam mkwe ni kosa la.jinai otherwize umekula LIMBWATA
 
Wakati fulani anakiri kuwa huwa anapata hasira na hajui sababu. Nimechunguza kwao mama yao ni kisirani mpaka kuna Wakati baba mkwe alitaka waachane but watu wa kanisani Moravian-Mabibo wakaingilia kati. Dada mtu nae mtata kwa mume kiasi kwamba (mume mwenzangu=tuliooa nyumba 1 anakuja kwangu kutaka ushauri, akidhani kwangu ni shwari kumbe nakufa na donge langu shingoni kimya kimya) Navuta muda nikishindwa nabwaga manyanga asb na mapema. Watoto nitawahudumia kwa kila kitu
Nitumie namba yake inbox mkuu, nimpime kama ni mwaminifu kwako
 
Hi members,
.2.Msifie kila anapopika chakula.Kisifie na shukuru kila umalizapo kula.Mwambie amepika chakula kitamu kuliko jana.Kama una mfanyakaz wa ndani, hakikisha ukisifii chakula chake mbele ya mkeo, onyesha kutoridhika kila ukila chakula alichopika mtu mwingine tofauti na yeye.
Hii sawa.

7.Kila baada ya sex mwambie ye ni mtaalam hata kama hua analala kama jiwe.Mwambie yeye ni mwanamke wa maisha yako.Mwambie anakuridhisha sana na huna haja na mtu mwingine.mwambie anajua kukata mauno na muulize kam alifundwa ama la!, Mwambie kwamba ulipokua mdogo ulitaka kuoa wanawake wawili lakini kwa sababu yake huna mpango tena.Hakikisha kama mwanaume umemridhisha kweli ili kuziba loop holes za yeye kupigwa na men wengine.Mnyonye kila mahala na umfanyie vitu adimu ambavyo unahisi huko shule, chuona popote kabla yako hakufanyiwa.Mpe staili zote ngeni unazojua.Mfanyie rough sex mara kwa mara maana hiyo hua inawapagawisha wengi.
.
.Mmmmh!
 
Very nice, japo ni ngumu kuitekeleza. mwanaume ukitekeleza hayo halafu ukaona limkeo bado linanuna nuna piga chini fasta, huna mtu hapo.
 
Free ideas mm wangu hata ukisema muende outing (mostly beach hotels) mtaishia kugombana huko huko. Toka Aprili nilikuwa Sweden kikazi nikarudi wk iliyopita ile tumeanza vizuri tu pale nimekuja jion yake tukapiga sex adimu, tukarudia tena alfajiri. Kufika kwenye saa 5 asubuhi (ilikuwa weekend) akaanza kisirani daah ile hamu yote ya kummis ikapotea. Nimeamua kukaa kimya nafocus kwa watoto tu Ndo furaha yangu iliyobaki. Hapa mke nimeoa *boya flan amazing* haeleweki. Natamani mchepuko ingawa nilijaribu baadhi nao ni pasua kichwa
Boy flan amazing lisalimie pls ahahaha nimecheka kwa saut kwana nalo lafanana na mjusi butuku?
 
Huo ni utumwa aisee, hivi kwa maisha haya unapata wapi muda wa kufanya hayo yote? Unaweza ukamfanyia yote hayo lkn mwisho wa siku akaliwa kizembe tu.
 
Back
Top Bottom