lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
We ndo mshamba wa Kinyakyusa toka Mwakaleli unaeona ajabu mtu kwenda Sweden. Nimechoka na tambo zenu huyo dada yako namrudisha ili mjifunze[/QUOTtE]hahaaahaaaaas sawa mwakaleli mwenzangu wewe naona ni mzungu kabisa,......mwakaleli oyerrrrrrrr
Nimeteseka miaka dada wacha dada Tausi anipe miuno na **** tightHapa unakosea sasa, omba toba haraka sana na uache huo mchezo, jina lako haliendani na hii mambo
Nitumie namba yake inbox mkuu, nimpime kama ni mwaminifu kwakoWakati fulani anakiri kuwa huwa anapata hasira na hajui sababu. Nimechunguza kwao mama yao ni kisirani mpaka kuna Wakati baba mkwe alitaka waachane but watu wa kanisani Moravian-Mabibo wakaingilia kati. Dada mtu nae mtata kwa mume kiasi kwamba (mume mwenzangu=tuliooa nyumba 1 anakuja kwangu kutaka ushauri, akidhani kwangu ni shwari kumbe nakufa na donge langu shingoni kimya kimya) Navuta muda nikishindwa nabwaga manyanga asb na mapema. Watoto nitawahudumia kwa kila kitu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii kali aisee!Kwa kifupi ukitaka uishi na mwanamke kwa amani uwe MNAFIKI.
Haha jamani afu sijui kwa nini me nimenyimwa tako na guu. Huyo ni chaguo lakeeeeeeHeaven Sent njoo umtetee dada yako huku!
Hii sawa.Hi members,
.2.Msifie kila anapopika chakula.Kisifie na shukuru kila umalizapo kula.Mwambie amepika chakula kitamu kuliko jana.Kama una mfanyakaz wa ndani, hakikisha ukisifii chakula chake mbele ya mkeo, onyesha kutoridhika kila ukila chakula alichopika mtu mwingine tofauti na yeye.
.Mmmmh!7.Kila baada ya sex mwambie ye ni mtaalam hata kama hua analala kama jiwe.Mwambie yeye ni mwanamke wa maisha yako.Mwambie anakuridhisha sana na huna haja na mtu mwingine.mwambie anajua kukata mauno na muulize kam alifundwa ama la!, Mwambie kwamba ulipokua mdogo ulitaka kuoa wanawake wawili lakini kwa sababu yake huna mpango tena.Hakikisha kama mwanaume umemridhisha kweli ili kuziba loop holes za yeye kupigwa na men wengine.Mnyonye kila mahala na umfanyie vitu adimu ambavyo unahisi huko shule, chuona popote kabla yako hakufanyiwa.Mpe staili zote ngeni unazojua.Mfanyie rough sex mara kwa mara maana hiyo hua inawapagawisha wengi.
.
Heaven Sent, upo best, sijasoma busara zako kitambo.Haha jamani afu sijui kwa nini me nimenyimwa tako na guu. Huyo ni chaguo lakeeeeee
Nipo best, hatujakutana tu. Mzima lakini?Heaven Sent, upo best, sijasoma busara zako kitambo.
Niko na siha njema Heaven Sent, hivi mwanaume akikufanyia yote hayo aliyoandika free ideas bado utaendelea kununa kweli?Nipo best, hatujakutana tu. Mzima lakini?
Hata kama ana kisiraniiiiHuyoooo ni chaguo lakooo[emoji443] [emoji443] [emoji445] [emoji445] [emoji444]
Weee ataishi kama yupo paradiso. Naanzaje kununa sasa, labda kama nina kichaa cha ndoa.Niko na siha njema Heaven Sent, hivi mwanaume akikufanyia yote hayo aliyoandika free ideas bado utaendelea kununa kweli?
Boy flan amazing lisalimie pls ahahaha nimecheka kwa saut kwana nalo lafanana na mjusi butuku?Free ideas mm wangu hata ukisema muende outing (mostly beach hotels) mtaishia kugombana huko huko. Toka Aprili nilikuwa Sweden kikazi nikarudi wk iliyopita ile tumeanza vizuri tu pale nimekuja jion yake tukapiga sex adimu, tukarudia tena alfajiri. Kufika kwenye saa 5 asubuhi (ilikuwa weekend) akaanza kisirani daah ile hamu yote ya kummis ikapotea. Nimeamua kukaa kimya nafocus kwa watoto tu Ndo furaha yangu iliyobaki. Hapa mke nimeoa *boya flan amazing* haeleweki. Natamani mchepuko ingawa nilijaribu baadhi nao ni pasua kichwa