Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

Huo msukule wa kikinga ndo ukoje sasa lol maana ndoa hizi zina misukule mingi usikute mi pia msukule ila sijijui wa wapi wanaume mungu anawaonaisipokuwa blessing wewe wanakyusa wanakuona
 
Mm mke wangu ni mwalimu chalinze mm nafanya shughuli zangu dar nimefunga nae ndoa mwaka juzi na tumejaaliwa kupata mtoto 1 hayo yote nilifanya mwanzon lkn waaaap!!!! Amekuwa ana kisirani hatari,dhalau imepitiliza sana...yan kifup ni kwa akirud likizo anataka tushindane ndan ya nyumba kama vile yy ndio mwanaume kuna siku ndio tulikuwa na mwezi 1 wa ndoa nilimpiga sana nikamrudisha kwao lkn wkt yuko kwao hakawa hana nidhamu....baada ya mwaka tukapa mtoto akiwa na miez minne akaleta tabia ya kushinda na mm nika mtandika sana wakat kabla ya tukio ilo nimesha vumilia saaana vimatukio tukio....akarudi kwao nikaitwa kikao akaonekana ana makosa akabaki kwao....baada kurudi kazini mwezi uliopita kanijibu shit nilikuwa cool mpk leo cjapiga cm wa yy kutuma sms NAMPANGO WA KUMWACHA ndio maana siku Hz ndoa za kikristo pindi mnafunga ndoa kanisani padri anatoa nasaa ya karibu maasa ma3 maana anajua azidumu.....wanawake wamekuwa pasua kichwaaaaaa ndio maana wapemba wako light sana mwanamke kaa ndani lea familia hakuna kufanya kazi sokoni ntakwenda mwenyewe
 
Eti " itikia kizembe kama redio ilioisha betri" khaa..!! Kuna watoto wakali kitaa, demi wako lazima umpe changamoto. Sio kila kitu kumsifia tu, inatakiwa ajiongeze ili na ww ufurahie maisha, awajibike, we veepe!!!?
 
Mi nadhani ili kuishi na mwanamke kwa amani lazima umpe changamoto flani akuheshimu na akuogope. Ukitaka kwenda nae kwa staili hiyo ya kumdekeza hakuna rangi utaacha ona na mwisho ni dharau tu. Wanawake hasa wa Kitanzania wengi wamezoea kupelekwa mchakamchaka na hio ni toka enzi za mababu.

NB: Hio ni tokana na experience yangu kwa wanawake wa kibongo, nimedate na wadada wenye kaliba ya wife material kabisa ila still wanazinguaga, i use the same approach hio ulioanisha hapo kwa bandiko.
 
Unaweza ukafanya yote hayo bado ukatoka kapa..hawa wanawake hawaeleweki na kuwaelewa yataka moyo...ni kuishi nao kwa akili tu
Mi huwa nina formula yangu kuwa mi nitabaki kuwa kama nilivo mwanamke atakayependezwa nam basi tutaenda sawa vnginevyo apite kulia m kushoto maisha yanasonga..
Somo la kumrizisha mwanamke bado silielewagi maana its very trick.. sometimes nadhan kwa wanaume wanaokubalika sana na wanawake wana kismat tu ila sio kwamba wanafuata haya mavitu..

Unaweza mkuta mwanaume kauzu ila anaopoa kilaini tu and the vice-versa applies..
 
Mzee usibaki na madini peke ako..
Hem mwaga reality ya jinsi ya kuishi na mwanamke
 
sahihi kabisa mkuu
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwel n shida apo polesana kaka
 
Nimeanza kutafuna Hausigel (humo humo ndani) naenjoy **** mnatoooo na nnyege kwishney
Kaka usiharibu maisha ya huyo huose girl tafadhali. Ikitokea akapata mimba bahati mbaya hapo sijui atakuwa mgeni wa nani maana wewe na mkeo mtamfukuza matokeo yake atarudi kijiji kwao kwenda kuongeza umasikini. Utampa maisha ya shida sana. Bora utafute mwanamke yoyote huko kwenye mishe zako kuliko kuharibu maisha ya huyo dada. Huyo mkeo alivo kisirani anaweza hata mkata kichwa. Tafadhali usiahatarishe maisha yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…