Jinsi ya kuishi na mwanaume mkorofi mwenye visa na gubu

Jinsi ya kuishi na mwanaume mkorofi mwenye visa na gubu

Ethan Cruz

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2021
Posts
231
Reaction score
331
wanaume wa aina hii wapo wengi
Sasa ukikutana na mwanaume wa aina hii ujue kuna kitu
labda anataka muachane au ana mchepuko ama ni hulka yake tu kuwa mkorofi.
Visa huwa haviishi sasa unatakiwa ujue jinsi ya kuishi naye;

Mfano akianzisha ugomvi fanya kumuacha aendelee ili umsaidie kutoa yote ya moyoni wewe kaa kimya usimjibu,tena fanya kama unamsikiliza kwa makini
usiwe mwepesi kujitetea acha amalize yote
kama atakupa muda wa kujieleze muelezee taratibu kwa upendo

Kama akianzisha mzozo ambao hujui chanzo chake wewe jifanye kichwani hazimo jinyamazie.
Waswahili wanasema jitoe fahamu,maana ni chanzo cha ugomvi anatafuta,
Akimaliza kelele zake cha kufanya wewe anzisha jambo lingine kabisa mfano mwambie ulimmis sana na umemis manjonjo yake kitandani tena kimapenzi kabisa ama mwambie muende matembezi ufukweni au sehemu mliyozoea kwenda pamoja.

DAWA KUBWA YA MWANAUME MKOROFI NI KUWA MNYEYEKEVU.

Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mnyenyekevu hata ungekuwa umemkosea nini ukijishusha ukanyenyekea analainika labda awe na mapepo ndio unyenyekevu wako hautagusa moyo wake....
Mume hafokewi, mume hagombezwi, mume humfanyii jeuri na kiburi, akinuna na wewe unanuna asipokutafuta na wewe humtafuti, utapoteza ndoa yako.

Ni mume wako wa ndoa unaruhusiwa kumng'ang'ania kama ruba,kuwa na tabia ya kumpapatikia mmeo,kumpapatikia mumeo sio kujipendekeza bali ni mapenzi mdada wewe upo hapo?
Asipokutafuta mtafute, asipoongea na wewe ongea naye wewe kwa lugha ya mahaba sauti ya kike. Hakunaga mke anaambiwaga anajipendekeza kwa mumewe.

Kunyenyekea hakukugeuzi housegirl na ukapoteza nafasi yako ya kuwa mke, ila kiburi na jeuri ndio vitakufukuza kwenye hicho kiti na hiyo nafasi ya kuwa mke haraka sana

Ujeuri weka pembeni!
#ndivyo wanavyofanya waliodumu kwenye ndoa zao#MWANAMKE JENGA NDOA YAKO HAIJALISHI MMEO YUKO VIPI UNYENYEKEVU NI DAWA.
NOTE: Kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu. Panapotakiwa hekima na akili zitumie

folks lets roll what do you think
 
Kaka yangu ana hizo sifa.
Shemeji yangu anakuwaga kimya tu na wameishi poa mwaka wa 25 huu.

Anakagua simu kupitiliza
Anarudi home kimya kimya
Hataki shem afanye biashara
Hataki marafiki
Nyumbani mwisho saa 12 jioni uonekane
Kila pesa uliyonayo ijulikane imetoka wapi

Daah shida tupu

All in all mwanamke ni kama mtoto, umleavyo ndivyo akuavyo... Mkunje angali mbichi
 
Asante kwa ujumbe mzuri
Mwisho wa siku mmoja kati ya wawili walio kwenye mahusiano/ndoa anatakiwa kujishusha ili mambo yaende
Nakazia hapo kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu

Namshukuru Mungu sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mkorofi,hata aliyewahi kunitamkia neno 'mjinga' sijawahi
 
Asante kwa ujumbe mzuri
Mwisho wa siku mmoja kati ya wawili walio kwenye mahusiano/ndoa anatakiwa kujishusha ili mambo yaende
Nakazia hapo kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu

Namshukuru Mungu sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mkorofi,hata aliyewahi kunitamkia neno 'mjinga' sijawahi
Kimekaribia kuumana.. anaependa zaidi ndio huwa anayalea mapenzi Kama yai! Kila kitu kiwe na kiasi ukorofi uwepo lkn wa kiasi na unyenyekevu pia by the way hongera lkn nakuombea uje upate wa jino kwa jino..🤣🤣
 
Asante kwa ujumbe mzuri
Mwisho wa siku mmoja kati ya wawili walio kwenye mahusiano/ndoa anatakiwa kujishusha ili mambo yaende
Nakazia hapo kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu

Namshukuru Mungu sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mkorofi,hata aliyewahi kunitamkia neno 'mjinga' sijawahi
Nakuunga mkono kwenye kukazia....
nami nakazia
 
Ndugu mleta mada wewe ni kungwi?..maana umetoka kuandika Uzi wa wanawake now wanaume
 
Acha au punguza uchawi
Na bado unaniita mchawi! Walahi nasali sala zote mpk uonje joto la mahaba..🤣 haiwezekani sisi wengine tupate kaa la Moto halafu wengine muinjoi tu hivi upishawahi kutendwa mpk ukifumba macho unaona maandishi mekundu yakisomeka "YOTE KHERI" hasa nyie wadada ndio huwa wakorofi.
 
wanaume wa aina hii wapo wengi
Sasa ukikutana na mwanaume wa aina hii ujue kuna kitu
labda anataka muachane au ana mchepuko ama ni hulka yake tu kuwa mkorofi.
Visa huwa haviishi sasa unatakiwa ujue jinsi ya kuishi naye;

Mfano akianzisha ugomvi fanya kumuacha aendelee ili umsaidie kutoa yote ya moyoni wewe kaa kimya usimjibu,tena fanya kama unamsikiliza kwa makini
usiwe mwepesi kujitetea acha amalize yote
kama atakupa muda wa kujieleze muelezee taratibu kwa upendo

Kama akianzisha mzozo ambao hujui chanzo chake wewe jifanye kichwani hazimo jinyamazie.
Waswahili wanasema jitoe fahamu,maana ni chanzo cha ugomvi anatafuta,
Akimaliza kelele zake cha kufanya wewe anzisha jambo lingine kabisa mfano mwambie ulimmis sana na umemis manjonjo yake kitandani tena kimapenzi kabisa ama mwambie muende matembezi ufukweni au sehemu mliyozoea kwenda pamoja.

DAWA KUBWA YA MWANAUME MKOROFI NI KUWA MNYEYEKEVU.

Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mnyenyekevu hata ungekuwa umemkosea nini ukijishusha ukanyenyekea analainika labda awe na mapepo ndio unyenyekevu wako hautagusa moyo wake....
Mume hafokewi, mume hagombezwi, mume humfanyii jeuri na kiburi, akinuna na wewe unanuna asipokutafuta na wewe humtafuti, utapoteza ndoa yako.

Ni mume wako wa ndoa unaruhusiwa kumng'ang'ania kama ruba,kuwa na tabia ya kumpapatikia mmeo,kumpapatikia mumeo sio kujipendekeza bali ni mapenzi bibi wewe upo hapo?
Asipokutafuta mtafute, asipoongea na wewe ongea naye wewe kwa lugha ya mahaba sauti ya kike. Hakunaga mke anaambiwaga anajipendekeza kwa mumewe.

Kunyenyekea hakukugeuzi housegirl na ukapoteza nafasi yako ya kuwa mke, ila kiburi na jeuri ndio vitakufukuza kwenye hicho kiti na hiyo nafasi ya kuwa mke haraka sana

Ujeuri weka pembeni!
#ndivyo wanavyofanya waliodumu kwenye ndoa zao#MWANAMKE JENGA NDOA YAKO HAIJALISHI MMEO YUKO VIPI UNYENYEKEVU NI DAWA.
NOTE: Kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu. Panapotakiwa hekima na akili zitumie

folks lets roll what do you think
Mungu akubariki sana,
 
Ndoa ni mtihani ambao maswali unayotakiwa kujibu kwako sio majibu ambayo jirani yako atakutana nayo, hivyo ukiona uvumilivu umekushinda muachane kwa amani tu , ukijidai kichwa runguu shauri zako.
 
Kaka yangu ana hizo sifa.
Shemeji yangu anakuwaga kimya tu na wameishi poa mwaka wa 25 huu.

Anakagua simu kupitiliza
Anarudi home kimya kimya
Hataki shem afanye biashara
Hataki marafiki
Nyumbani mwisho saa 12 jioni uonekane
Kila pesa uliyonayo ijulikane imetoka wapi

Daah shida tupu

All in all mwanamke ni kama mtoto, umleavyo ndivyo akuavyo... Mkunje angali mbichi
nikajua ni kwangu tu yapo haya
 
Asante kwa ujumbe mzuri
Mwisho wa siku mmoja kati ya wawili walio kwenye mahusiano/ndoa anatakiwa kujishusha ili mambo yaende
Nakazia hapo kuwa mnyenyekevu sio kuwa mpumbavu

Namshukuru Mungu sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume mkorofi,hata aliyewahi kunitamkia neno 'mjinga' sijawahi
great
 
Mtoa mada ungempa credit zake mtumishi 'Rose Shebika' maana umekopi na kupaste hadi nukta

Mahubiri ya ndoa.jpg
 
Back
Top Bottom