Jinsi ya kujitoa Mange Kimambi app

Ninachoshangaa ni vile wanakuwa nayo halafu wanajifanya hawana, yaani wanajifanya hawamfatilii mange kutwa kumponda. Huo unafiki ndo unanishangaza...otherwise kila mtu afate anachotaka
 
Niliwahi kusema hii....

Au mtu anakuambia sija'mfollow Mange....Wakati page yake siyo Private..hivyo umfollow usimfollow utaingia na utasoma Udaku wote....
 
Aise yani unatoa na hela kabisa kufuatilia umbea maisha ya watu ,halafu inakusaidia nini kuinua maisha yako ukishajua aibu za wenzako
 
Gharama ya umbea kwa 2,300 unalalamika? hapo hutoki ng'oo na tumeboresha mitambo yetu hakuna mtu kutoka, ndio ukome sasa kufuatilia umbea
[emoji16][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…