Jinsi ya kujizuia usimpende sana mtu

Jinsi ya kujizuia usimpende sana mtu

Kama ulitendwa ukipata mwingine ishi nae kama hujawahi kutendwa mpende na mthamini pia huenda ndio fungu lako, cku zote ukiwa unafikiria negative na kwel ndo itakuwa outcome yake et be careful bro hamna dawa ya kujizuia kupenda kama ipo na mm wanipe.
Haaaa haaaa aisee eti na wewe unataka dawa ya kujizuia kupenda...
 
ww oa hyhy chamsingi anakupnda n ww unampnda angalizo ninachoamini mungu apungukiwi na kitu kama hy binti hata kuwa chaguo lako basi uwe na imani utapata mwngne jiamini tumeumbiwa moyo w kupndana lakini tumia n akili ndg
Naunga mkono hoja.. Akili pia lazima ihusike
 
Maneno ya waenga/wakubwa ni tiba kabsa.penda wastani.
 
Yaan m naona kama umethbitsha anakupenda, nawew mpende tuu,waschna tumetofautiana,yamkin ndio mungu kakuletea uyo,ila kwa htua ya awali usimuonyeshe kuwa unampenda saaana,yaaan kama cm kumpgia iwe kias,kama n kumpa ela kias,kama n msg kias,
 
Yes yes yes yes yes Ofcourrrrrse
You have to follow your heart but carry your brain with you.
Otherwise.......
Nakupenda sana ila

Wacha nifunge domo langu mie
cc: Smart911


Exactly follow your heart but never leave your brain behind...
Tell me otherwise unanipenda sana ila nini love?

usifunge hako ka mdomo kako... sema anything you feel like to me...

love you more mahondaw
 
Kupenda sana ni sawa na kujichorea mazombi kichwani then yanaza kukutisha mwenyewe.Ukipenda sana mambo yakianza kuharibika utahisi kuna kuna maTom and Jerry yanakimbizana kichwani mwako.
 
Mkuu swala la kumpenda sana mtu huwa kuna madhara makubwa sana huko mbele ya safari

Hakuna madhara yoyote katika kumpenda mtu. Madhara yanaweza yakawepo endapo utampenda mtu ambaye hakupendi kwa dhati maana mtu huyo anaweza kuutumia upendo wako kama silaha.
 
Mkuu nifanyaje sasa.. Maana mimi sitaki kumchezea tu mtoto wa watu...
Kaka sikia. Endelea tu na huyo binti...enjoy.... Akikuzingua huko mbele utaumia na utapona tu. Then ukipata maumivu kama mara tatu au nne hivi moyo utazoea tu wenyewe na utaelewa hii game.

Speaking from experience......!
 
Kaka sikia. Endelea tu na huyo binti...enjoy.... Akikuzingua huko mbele utaumia na utapona tu. Then ukipata maumivu kama mara tatu au nne hivi moyo utazoea tu wenyewe na utaelewa hii game.

Speaking from experience......!
Nimekuelewa sana mkuu.. Ahsante sana
 
Hakuna madhara yoyote katika kumpenda mtu. Madhara yanaweza yakawepo endapo utampenda mtu ambaye hakupendi kwa dhati maana mtu huyo anaweza kuutumia upendo wako kama silaha.
Mkuu nashkuru kwa ushauri wako mzuri ahsante sana...
 
Sasa shida inakuja sehemu moja... Nahisi kumpenda sana huyu binti kwa jinsi alivokuwa mzuri wa sura,umbo mpaka tabia.. Nahofia sana kumuamini maana naogopa sana kuumia moyo wangu tena... Kuna misemo mingi sana inayotoa onyo kali kuhusu kumuamini mtu na kumpenda sana..
..

Mkuu hapo unajidanganya, upendo wa kweli hauna sababu.
Hayo mambo ya sura, umbo na tabia ni kutamani tu!!
 
Habari za maisha ndugu zangu wa jf.. Matumaini yangu ni wazima wa afya njema huku mkiendelea na majukumu yenu ya kila siku..

Back to the main point..

Ni mwaka mmoja sasa umepita tangu niachane na mpenzi wangu niliempenda sana.. Nilijikuta katika wakati mgumu sana kuishi bila yeye maana nilikosa furaha mpaka nafsi ilikata tamaa.. Aliondoka kwa nyodo na dharau nyingi sana.. Nilikuja hapa jukwaani kuomba ushauri na nyinyi ndugu zangu mlinishauri vizuri sana..

Wapo walio sema ntapata mwingine na nitasahau yote ya nyuma na wapo pia walio sema kuwa sitakiwi kuingia mzima mzima katika mapenzi.. Pia nakumbuka kuna siku nlikuwa napiga story na baba akanambia"ukimpenda sana mwanamke utakuwa mpumbavu unatakiwa umpende kwa kiwango cha wastani tu ili usimpe ufunguo wa furaha yako".

Dhumuni la kuomba ushauri ni kwamba katika harakati zangu za kimaisha nimekutana na binti mmoja mzuri sana tena ana vigezo na sifa nyinyi hata kuliko yule alie utesa moyo wangu..

Nikasema nae mtoto akanielewa na akasema she loves me the way i am.. Na kiukweli kwa matendo yake tu inaonesha ananipenda sana kwa jinsi anavotumia muda wake mwingi kuwa na mimi na pia ananishauri vitu vya msingi sana katika maisha.. Hapa pia navoandika huu ujumbe namsubiri aje getto tukachek afya zetu...

Sasa shida inakuja sehemu moja... Nahisi kumpenda sana huyu binti kwa jinsi alivokuwa mzuri wa sura,umbo mpaka tabia.. Nahofia sana kumuamini maana naogopa sana kuumia moyo wangu tena... Kuna misemo mingi sana inayotoa onyo kali kuhusu kumuamini mtu na kumpenda sana..

Sasa ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyeje ili huyu mrembo ni mchukulie easy tu maana nahisi atanikolea sana..
Pole sana
 
Back
Top Bottom